Kitambi kwa mwanamke hupoteza mvuto wa mwili

Kitambi kwa mwanamke hupoteza mvuto wa mwili

Nikiwa thieta nasubiri operation pale MNH kuna mama aliletwa kwa emergence mshono umeachia baada ya kufunga tumbo. Amefunikwa lile shuka la kijani limeloa damu chepe chepe. Dr wangu akawapa maelekezo wale madaktari wanafunzi kuwa wamfanyie nini sijui....

Aisee niliogopa. Mie tumbo la operation sifungi,napunguza tu kula na kunywa maji moto tu basi.
Kwahiyo lako lipo vzr kbs?
 
dada zegembe.jpg
 
Nyie wanawake bhana mna matatizo nawaambieni hivi hakuna raha kama kuwa na mwanamke bonge bonge kidogo sio nyama uzembe sasa wengine hiyo mifupa mzee umekondeana hata ukibinywa hubonyei bhana khaaa unene sio mzuri ila ule wa mwanamke akijifungua aaah acha bhana tena kanawiri moaka raha ubu kuleni ndo maana mnasumbuliwa na hormon imbalance
 
Siyo chakula tu mazoezi ya kegel yanasaidia jumlisha muscles exercise


Teh
 
Alafu kinafunika papuchi, Yani mkiwa mpo gesti mnaoga pamoja hata mashine haionekani,na kitandani wanakuwa wavivu sana.
Hii michips na mishkaki
 
Me nikija kuzaa nitakula tu maana sijui kama Nina mwili wa kufutuka.
 
Nikiwa thieta nasubiri operation pale MNH kuna mama aliletwa kwa emergence mshono umeachia baada ya kufunga tumbo. Amefunikwa lile shuka la kijani limeloa damu chepe chepe. Dr wangu akawapa maelekezo wale madaktari wanafunzi kuwa wamfanyie nini sijui....

Aisee niliogopa. Mie tumbo la operation sifungi,napunguza tu kula na kunywa maji moto tu basi.
Huyo labda alilikaza sana mm nilifunga tumbo baada ya masaa 24 kidogo sio pale kwenye mshono
 
Back
Top Bottom