Kwahiyo lako lipo vzr kbs?Nikiwa thieta nasubiri operation pale MNH kuna mama aliletwa kwa emergence mshono umeachia baada ya kufunga tumbo. Amefunikwa lile shuka la kijani limeloa damu chepe chepe. Dr wangu akawapa maelekezo wale madaktari wanafunzi kuwa wamfanyie nini sijui....
Aisee niliogopa. Mie tumbo la operation sifungi,napunguza tu kula na kunywa maji moto tu basi.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Kwani mkuu tumbo la mtu binafsi linamkeraje mtu mwingine?!
Haliko kama huyu mdau mtoa post[emoji23]Kwahiyo lako lipo vzr kbs?
HahahahahahahaHaliko kama huyu mdau mtoa post[emoji23]
Ila pia halitishi[emoji12]
Kbs vitambi vya ofa za bia na kitimotoThree kids but still hot nakupa ofa uje uhakiki na ninapeleka msosi balaaa
We unacho kitambi kama cha wacheza sumoSio kweli labda wako Ndio yuko hivyo[emoji23][emoji23][emoji23]
Mungu anakuona ππAlafu kinafunika papuchi, Yani mkiwa mpo gesti mnaoga pamoja hata mashine haionekani,na kitandani wanakuwa wavivu sana.
Hii michips na mishkaki
Dad Agatha ndo uache chipsMungu anakuona ππ
Me sina kitambi na hakiwezi kutoka..Dad Agatha ndo uache chips
Huyo labda alilikaza sana mm nilifunga tumbo baada ya masaa 24 kidogo sio pale kwenye mshonoNikiwa thieta nasubiri operation pale MNH kuna mama aliletwa kwa emergence mshono umeachia baada ya kufunga tumbo. Amefunikwa lile shuka la kijani limeloa damu chepe chepe. Dr wangu akawapa maelekezo wale madaktari wanafunzi kuwa wamfanyie nini sijui....
Aisee niliogopa. Mie tumbo la operation sifungi,napunguza tu kula na kunywa maji moto tu basi.
Naona utakuwa baba bora.[emoji4] [emoji8]Usijibane kula baada ya kujifungua kuogopa tumbo kumbuka mtoto anahitaji maziwa yako pia.
[emoji4]Vitambi vingi vya wanawake wa Dar ni vya chips yai!
[emoji4][emoji4][emoji4]Naona utakuwa baba bora.[emoji4] [emoji8]