Ukienda bush vitambi ni kama hakuna, na hata wanaoshinda wwakicheza bao, hawana vitambi. WHY?
Ni msosi. Mlo mmoja kwa siku, mafuta mpaka siku ya sikukuu ukipikwa wali na maharage. Sukari mpaka mwezi wa ramadhani; vitambi vitoke wapi?
Kina mama,r every other day wanapanda milima kmutafuta kuni (6 hrs walk) bado kuchota maji daily na shamba kipindi cha kulima na kuvuna.
Hivyo kwa bongo vitambi vibahusiana na pesa, uwezo wa kula milo 3 kwa siku, elimu duni ya makundi ya chakula na athari zake, kutoona au kutojua faida ya mazoezi au uvivu (naangukia kundi hili) na kutochukia vitambi.
Kwa ufupi vitambi ni mafuta ya ziada yaliyotunzwa kwa matumizi ya baadaye. Neno kubwa ni ZIADA, ili uondoe kitambi basi unguza hayo mafuta ya ziada kwa kujizuia kuongeeza carbs na fat kupitia chakula. Na utumie zaidi kwa kufanya mazoezi au hata kazi (kulima, kubeba mizigo, kutembea badala ya kukodi taxi au kuweka gas kwa gari. With time kitambi kitaisha.
Ukishapata size/shape uitakayo maintain it kwa kubalance carbs unazokula ziwe sawa na unazounguza kwa shughuli zako za kila siku.