Kitambo hicho unaambiwa first half tu timu ishakula mkono

Kwa hiyo mnajisifu kufungwa goli Moja? kumbuka huyo mbabe wenu wa kundi alishindwa kuongoza kundi mbele yetu

 
Reactions: EEX
Kipindo hicho uto inajivunia kupanda ndege tu inaposhiriki kimataifa huku akina Gormahia wakijipigia
 
Mwaka 82 Kuna timu ilipigwa goli tano misri, waliporudi Tena wakala goli 4 siku hizi wanafungwa machache wanajisifu.
 
Yanga iliwahi chinjwa 6-0 na raja casabranca
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…