Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acheni upumbavu wenu nyie Lumumba, anacholalamikia Lissu ni ujinga wa mtu mmoja kutoa tamko na kuwa sheria badala ya kufunga sheria kuilinda huyo mjasiliamali. Hivi unajua ni akinamama wangapi wanapoteza mitaji yao kwa kunyang'anywa bidhaa zao na Wagambo wa jiji au Manispaa? Kumbuka kwenye hiyo ya kulipa 100-100 kuna siku walikuwa hawalipi maana siyo kila siku wanaenda sokoni. Kama kungekuwa na sheria hata ya kulinda hayo mapato ingekuwa bora sana lakini sasa hivi nyingi zinaishia mfukoni mwa wajanja huku mitaani! Kwa ufupi Magu anapigwa na hiyo pesa hai-reflect kwenye bajeti yetu! Hebu watupishe huko!!Sky Eclat kulipa hao akina wachuuzi wadogo hapo kabla walikuwa wakilipa kwa siku ushuru wa shilingi 100/= hadi 500/= kwa siku kutegemea na halmashauri. Hapo bado 100/= nyingine kwa siku kama ushuru wa usafi. Piga hesabu kwa mwezi tu alikuwa analipa shilingi ngapi?
Baada ya kuingia Rais Magufuli akaagiza walipe 20,000/= tu kwa mwaka kupitia vitambulisho vya mjasiriamali.
Kwa muktadha huo juu, nani anawatetea wajasiriamali; Lissu au Magufuli? Wajasiriamali, za kuambiwa changanya na zako!!!
Hiyo hoja ya mabeberu imepondwa sana na Mh. Lissu anasema ni hoja ya kijinga na kipumbavu ambayo inapaswa kutolewa na mtu mpumbavu tu! Kwa maana hiyo kama kuna kiongozi wenu mkubwa huko Lumumba anaitoa ni mjinga na mpumbavu! Huwezi kuwaita wafadhili wako mabeberu wakati uchumi wako unawategemea hao hao mabeberu!CHADEMA saccos, wao wakishinda dola watasaidiwa na beberu la Belgium.
Kwahiyo hiyo elf20 ni kodi?Wewe mama huna point hapa. Kama kwa siku anaingiza 5000, kwa mwaka anaingiza 1,590,000/=. Kuna ubaya gani akichangia 20,000 kwa mwaka kwa ajili ya ulinzi wa nchi, huduma za jamii na miundombinu kwa manufaa yetu wenyewe?
Wenzetu huko mbele huona fahari kulipa kodi, sisi tunaona ni adhabu.
Chadema mtajenga nchi kwa fedha kutoka wapi? Kodi mmsema mnafuta, madini mnaweka rehani. Au misaada ya kuhimiza ushoga?
Siwezi Tujibu illogical argument. Kama unaona uko sawa, poa.Acheni upumbavu wenu nyie Lumumba, anacholalamikia Lissu ni ujinga wa mtu mmoja kutoa tamko na kuwa sheria badala ya kufunga sheria kuilinda huyo mjasiliamali. Hivi unajua ni akinamama wangapi wanapoteza mitaji yao kwa kunyang'anywa bidhaa zao na Wagambo wa jiji au Manispaa? Kumbuka kwenye hiyo ya kulipa 100-100 kuna siku walikuwa hawalipi maana siyo kila siku wanaenda sokoni. Kama kungekuwa na sheria hata ya kulinda hayo mapato ingekuwa bora sana lakini sasa hivi nyingi zinaishia mfukoni mwa wajanja huku mitaani! Kwa ufupi Magu anapigwa na hiyo pesa hai-reflect kwenye bajeti yetu! Hebu watupishe huko!!
Mnapiga makelele mengi ambayo hayana maana.Akija .mgombea urais akasema ataondoa PAYE huyo nitamuona wa maana sana.nahisi chadema wote ni mmmantilie,machinga ndiyo maana mnapiga kelele sana.Ndugu yangu ni mkulima wa jembe la mkono. Analima shamba lake na analimia watu ili kupata pesa ya sukari na sabuni. Kuna siku kazi za kulimia watu zinakosekana. Ikifika hali hii mke wake anadamka alfajiri kuwahi soko la matunda. Ananunua ndizi na machungwa anatembeza kwenye beseni lake kichwani
Mtaji wake ni sh 10,000 na ikifika jioni anakuwa amepata sh 15,000. Hii ni pesa ya kununua unga na mboga akapikie familia. Fikiria huyu mama ili atembeze beseni lake la ndizi na machungwa inabidi anunue kitambulisho cha mjasiliamalu 20,000.
Mama huyu siku za mvua hawezi kufanya biashara. Katika faida anayopata inabidi aweke kidogo senti zitakazosaidia siku akikosa biashara pia watoto wakiugua.
Kweli mkuu, tena ni kelele kwenye kila kitu. Wao hata kujengewa hospitali wanaona wanaonewa.Mnapi
Mnapiga makelele mengi ambayo hayana maana.Akija .mgombea urais akasema ataondoa PAYE huyo nitamuona wa maana sana.nahisi chadema wote ni mmmantilie,machinga ndiyo maana mnapiga kelele sana.
Mbona kama una makasiriko mkuu mleta uzi anazungumzia huyu mjasiliamali mwenye mtaji wa 20k ambapo anapata faida ya 5k ambayo anaitumia kuendesha maisha yake kumbuka sukari kilo 3k,mchele kilo2k, unga kilo1.5k, nyama kilo 7k apo bado ajanunua vifaa vya shule kwa watoto, hawajaugua na sio kwamba kila siku anaipata iyo faida wakati mwingine biashara inadunda maana yake maisha yanaenda mbele hayarudi nyuma unamuuzia kitambulisho kwa 20k ambacho hakuna sheria au utaratibu wowote wa kusimamia hivyo vitambulisho na mapato yake zaidi ilikua ni tamko la mtu mmoja zuzu.Wewe mama huna point hapa. Kama kwa siku anaingiza 5000, kwa mwaka anaingiza 1,590,000/=. Kuna ubaya gani akichangia 20,000 kwa mwaka kwa ajili ya ulinzi wa nchi, huduma za jamii na miundombinu kwa manufaa yetu wenyewe?
Wenzetu huko mbele huona fahari kulipa kodi, sisi tunaona ni adhabu.
Chadema mtajenga nchi kwa fedha kutoka wapi? Kodi mmsema mnafuta, madini mnaweka rehani. Au misaada ya kuhimiza ushoga?
KabisaSky Eclat hao wachuuzi wadogo hapo kabla walikuwa wakilipa ushuru wa shilingi 100/= hadi 500/= kwa siku kutegemea na halmashauri. Hapo bado 100/= nyingine kwa siku kama ushuru wa usafi. Piga hesabu kwa mwezi tu alikuwa analipa shilingi ngapi?
Baada ya kuingia Rais Magufuli akaagiza walipe 20,000/= tu kwa mwaka kupitia vitambulisho vya mjasiriamali.
Kwa muktadha huo juu, nani anawatetea wajasiriamali; Lissu au Magufuli? Wajasiriamali, za kuambiwa changanya na zako!!!