Kitambulisho cha Mjasiriamali kilivyoleta mateso katika jamii

Kitambulisho cha Mjasiriamali kilivyoleta mateso katika jamii

Fikiria huyu mama ili atembeze beseni lake la ndizi na machungwa inabidi anunue kitambulisho cha mjasiliamalu 20,000.
Hivi kumbe hivi “vitambulisho vya wajasiliamali” ni kwa wote hata watembeza mchicha na wachoma maandazi vibarazani??

I thought ni kwa Machinga tu na wale wote wanaoingiza biashara zao kwenye masoko yanayotambuliwa na Halmashauri/Manispaa
 
SWALI ILE 20,000 ILIKUWA INAENDA HAZINA KAMA MAPATO MENGINE YA HALMASHAURI???
Vitambulisho vilitoka Ikulu moja kwa moja na mzee alikuwa anahesabu tu vingapi vimekuwa printed ili idadi iwe equivalent na mpunga unaorudi Ikulu😊
 
Ndugu yangu ni mkulima wa jembe la mkono. Analima shamba lake na analimia watu ili kupata pesa ya sukari na sabuni. Kuna siku kazi za kulimia watu zinakosekana. Ikifika hali hii mke wake anadamka alfajiri kuwahi soko la matunda. Ananunua ndizi na machungwa anatembeza kwenye beseni lake kichwani.

Mtaji wake ni sh 10,000 na ikifika jioni anakuwa amepata sh 15,000. Hii ni pesa ya kununua unga na mboga akapikie familia. Fikiria huyu mama ili atembeze beseni lake la ndizi na machungwa inabidi anunue kitambulisho cha mjasiliamalu 20,000.

Mama huyu siku za mvua hawezi kufanya biashara. Katika faida anayopata inabidi aweke kidogo senti zitakazosaidia siku akikosa biashara pia watoto wakiugua.

Kuna mama muuza matunda alidakwa kijiweni kwetu na wazee wa vitambulisho alikua anajifanya kuipenda ccm sana sasa siku ile analia lia hana hela watu tuna mwambia hapa kazi tu toa hela mama!Toka pale akipita kijiwe hataki kusikia ccm!!!
 
Wewe mama huna point hapa. Kama kwa siku anaingiza 5000, kwa mwaka anaingiza 1,590,000/=. Kuna ubaya gani akichangia 20,000 kwa mwaka kwa ajili ya ulinzi wa nchi, huduma za jamii na miundombinu kwa manufaa yetu wenyewe?

Wenzetu huko mbele huona fahari kulipa kodi, sisi tunaona ni adhabu.
Chadema mtajenga nchi kwa fedha kutoka wapi? Kodi mmsema mnafuta, madini mnaweka rehani. Au misaada ya kuhimiza ushoga?
Hicho chama kilishakufa kilichobaki ni kikundi cha waharifu
 
Vitambulisho vilitoka Ikulu moja kwa moja na mzee alikuwa anahesabu tu vingapi vimekuwa printed ili idadi iwe equivalent na mpunga unaorudi Ikulu😊
Wanajua ndio maana hawaji kujibu tuwachane. watuambie ukurasa gani wa ripoti ya CAG umezungumzia hivyo vitambulisho??
 
Mjifunze kuvaa viatu vya umasikini, hii itakufanya uwaonee huruma japo kidogo, Kuna watu hiyo 20000 ni mzigo mkubwa na haipatikani kirahisi, na anaweza akapitisha miezi hajaishika 20000 ya pamoja , kuchangia kweli ni fahari Ila sio Kila mtu yupo kwenye position hiyo


Hao hao wanachangia harusi na vipaimara pesa nyingi tu.
 
Kuchangia chochote kwenye nchi yako ni fahari kubwa. 20K kwa mwaka ni Sawa na 1800 approx kwa mwezi, na 56Tsh kwa siku. Ni program inayofaa na nyepesi zaidi kwa mjasiriamali kuliko ile inayotozwa holela masokoni. Ila hapa uliandika, ili ionekane Serikali ya JPM inawanyanyasa wajasiriamali, sio Sawa hata kidogo.
Sasa fahari ya kulipa kodi ya kazi gani na mnasema madini yanaleta jangusho zla kutosha?

Watalii si wameongezeka maana yake pato pia limeongezeka.?

Wakati mwingine tuwaache hawa masikini waishi bila masononeko kwa vipato vyao vya angalau.

Mnashulumu watu kwa kutumia neno kodi pasipo hata kuangalia mazingira yao ya kufanyia kazi.

Kwa taarifa yenu, hakuna mtu asiyependa kulipa kodi. Ila unalipa kodi kwa misingi ipi?

Kuna kodi nyingine hazina kichwa wala masikio
 
Ndugu yangu ni mkulima wa jembe la mkono. Analima shamba lake na analimia watu ili kupata pesa ya sukari na sabuni. Kuna siku kazi za kulimia watu zinakosekana. Ikifika hali hii mke wake anadamka alfajiri kuwahi soko la matunda. Ananunua ndizi na machungwa anatembeza kwenye beseni lake kichwani.

Mtaji wake ni sh 10,000 na ikifika jioni anakuwa amepata sh 15,000. Hii ni pesa ya kununua unga na mboga akapikie familia. Fikiria huyu mama ili atembeze beseni lake la ndizi na machungwa inabidi anunue kitambulisho cha mjasiliamalu 20,000.

Mama huyu siku za mvua hawezi kufanya biashara. Katika faida anayopata inabidi aweke kidogo senti zitakazosaidia siku akikosa biashara pia watoto wakiugua.
2082683_FB_IMG_1559946076802.jpg
 
Nikifa leo nitamuacha na dhiki Kama nitaanza kumlipia. Lakini ni halali kwake kulipa hiyo pesa ilhali mtaji wake ni mdogo na ana tafuta unga wa watoto.
Dhiki kivipi sasa, sindio msaada wa manufaa? Au unaona fahari kuchangia harusi na send off ambazo hazidumu
 
Wewe mama huna point hapa. Kama kwa siku anaingiza 5000, kwa mwaka anaingiza 1,590,000/=. Kuna ubaya gani akichangia 20,000 kwa mwaka kwa ajili ya ulinzi wa nchi, huduma za jamii na miundombinu kwa manufaa yetu wenyewe?

Wenzetu huko mbele huona fahari kulipa kodi, sisi tunaona ni adhabu.
Chadema mtajenga nchi kwa fedha kutoka wapi? Kodi mmsema mnafuta, madini mnaweka rehani. Au misaada ya kuhimiza ushoga?
Unaongea nn ww pumba au 5000

towa pesa ya watoto wakienda shule

Towa pesa ya mboga

Mtoto hajaumwa ujafanya mahitaji yako

Bado hujatoa pesa ya dharura Kama klinik au wapi hajatoa pesa za kutatua shida zake hivi unanzani awalaze watoto njaa aeke pesa asubiri mwaka mzima unaongea nn ww hebu amka uko
 
Ndugu yangu ni mkulima wa jembe la mkono. Analima shamba lake na analimia watu ili kupata pesa ya sukari na sabuni. Kuna siku kazi za kulimia watu zinakosekana. Ikifika hali hii mke wake anadamka alfajiri kuwahi soko la matunda. Ananunua ndizi na machungwa anatembeza kwenye beseni lake kichwani.

Mtaji wake ni sh 10,000 na ikifika jioni anakuwa amepata sh 15,000. Hii ni pesa ya kununua unga na mboga akapikie familia. Fikiria huyu mama ili atembeze beseni lake la ndizi na machungwa inabidi anunue kitambulisho cha mjasiliamalu 20,000.

Mama huyu siku za mvua hawezi kufanya biashara. Katika faida anayopata inabidi aweke kidogo senti zitakazosaidia siku akikosa biashara pia watoto wakiugua.

Hivi ukiwa chadema unakuwa nyumbu automatically? Hivi kweli mtaendeshaji nchi kama watu hawatolipa kodi? Kweli mnataka muanze kuwatoza miatano kwa siku au hawatalipa chochote kabisa?

Hivi kulipa 20000 kwa mwaka ni mbaya kuliko kulipa 500 kwa siku?

Hivi kweli mnaaakili timamu?
 
Si kila siku anauza biashara hii, Kuna siku za mvua na katika 5,000 inabidi aweke akiba kidogo. Huyu alitakiwa kusaidiwa si kukamuliwa 20,000 kwa mwaka.

Kwa hiyo ni bora walipe 500 kila siku? Haahah au waanzr kukimbizwa na mgambo?
 
Wewe mama huna point hapa. Kama kwa siku anaingiza 5000, kwa mwaka anaingiza 1,590,000/=. Kuna ubaya gani akichangia 20,000 kwa mwaka kwa ajili ya ulinzi wa nchi, huduma za jamii na miundombinu kwa manufaa yetu wenyewe?

Wenzetu huko mbele huona fahari kulipa kodi, sisi tunaona ni adhabu.
Chadema mtajenga nchi kwa fedha kutoka wapi? Kodi mmsema mnafuta, madini mnaweka rehani. Au misaada ya kuhimiza ushoga?
Jumla zimekusanywa ngapi??nani kazifanyia auditing??mbona havina picha??maswali ni mengi jibu kwanza.bunge lilipitisha???
 
Kwanza matumizi ya vitambulisho hivi yalikuja tu kwa ghafla kupitia tamko la Mheshimiwa. Kama yeye mwenyewe asemavyo, ilitegeme na jinsi alivyoamka siku hiyo. Hakukuwa na utaratibu ulioeleweka juu ya kuanza kwa matumizi yake wala hata haikutungwa sheria ndogo ili kuhalalisha matumizi yake.

Sisi tuliona tu maRAC na maDC wakipewa maagizo, na kisha wakaanza kugawana vitambulisho hivyo, na kisha kuanza kuja na vitisho kama kawaida yao dhidi ya wanyonge wanaowanyonga kwa kisingizio cha kuwatetea. Hatimaye wakazidi kuwajenga hofu ili kuwalazimisha wavinunue pasipo kukosa.

Napata hisia ktk utekelezaji wa zoezi hili, wapo waliotumbuliwa baada ya zoezi kuthibitika kudorora ktk mikoa ama wilaya zao.

Twambie kuna shida gani watu kulipa elfu ishirini mwaka mzima na wakafanya biashara sehemu yeyote bila bugudha ......?
 
Unamlaumu sky ushawahi fanya biashara wewe,unajua mama anaepika maandazi anapata faida isiyozidi 1000tu kwa siku,Tena hapo maandazi yaishe,huyu atapata lini 20000 ya kulipia kitambulisho? Elfu moja inatosha kwa mahitaji ya siku ya mtanzania? Au unadhani wanapata hela nyingi Sana?

Kwa hiyo wewe unaona ni bora alipe 5000kwa siku? Hahahaha tena chini ya uangalizi wa mgambo?
 
Wewe mama huna point hapa. Kama kwa siku anaingiza 5000, kwa mwaka anaingiza 1,590,000/=. Kuna ubaya gani akichangia 20,000 kwa mwaka kwa ajili ya ulinzi wa nchi, huduma za jamii na miundombinu kwa manufaa yetu wenyewe?

Wenzetu huko mbele huona fahari kulipa kodi, sisi tunaona ni adhabu.
Chadema mtajenga nchi kwa fedha kutoka wapi? Kodi mmsema mnafuta, madini mnaweka rehani. Au misaada ya kuhimiza ushoga?
hesabu zako umekosea kuzipiga, au hukumuelewa vizuri,hata wewe mwenyewe ukupiga hesabu ya matumizi na mapato yako unaweza kulia kwamba kwa nini wewe ni maskini lakini ukweli ni kwamba kwanza ujue huyu mama si kila siku anafanya biashara, pili kuna siku anapata hasara,tatu wakati wa kilimo hana muda wa kufanya biashara kabisa. pia ukumbuke kwa sheria yetu ya kodi mtu mwenye mzunguko wa chini ya 4,000,000/= kwa mwaka halipi kodi
 
Acha uongo maandazi ya unga nusu kilo (sh 800) yana faida ya sh kati ya 2500 hadi elfu 2000 ( bila gharama za uendeshaji ) kwa siku. Sasa kwa mwezi hiyo 2000 ni elfu kama mtu atapika nusu kilo( wengi hua wanapika kuanzia kilo moja na nusu) maana yake kwa mwezi atapata 60000, kwa mwaka ni 720000, hii ni faida bila gharama ya mtaji, hapo atoe elfu 20 anabaki na laki 7 kama mtaji.

Tofauti na zamani tulipokua tunalipia 500 kila siku ambayo ni 500 x 30 x 12= 180000/= .Hili jambo liachine tu halina matobo. Watu tunajua wapi tumetoka na watoza ushuru.
Fanya kwanza biashara ndo uandike,unasahau siku nyingine hayaishi,yanakaa zaidi ya siku moja na mahitaji yako palepale,faida 2000 hauli,jaununui mahitaji yoyote.nyie ndo mnaluma mtandaoni mnaambiana ooh kilimo hiki rahisi, biashara hii rahisi.ingia field jombaa!
 
Wewe ni wale wale nyumbu mnaojipa tumaini feki,hamna mlijualo na mnadhihirisha chuki zenu tu Bila kufanya uchunguzi.Eti mandazi yauzwe faida buku.

Ushawahi hata kukanda unga wa mandazi wewe?

Inakua hata yanavyochomwa,au mnataka kujidai kuvaa uhusika bandia
Kwanza,nyumbu wewe na ukoo wako lazima tuheshimiane hata Kama hatujuani,jadili hoja.
Hiyo biashara mtu wangu wa karibu anaifanya,naandika kwa ushahidi sio kwa kubuni au kumuangalia mtu,Nina in and out zote za hiyo biashara.sema au uliza ambacjo hukijui nikujuze
 
Back
Top Bottom