t blj
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 7,035
- 16,705
Kama kawaida mkiwa tricked once Wala hamjisumbui kiumiza kichwa kijinasua , kitambulisho kwa maneno ya kwanza kilikuwa ni 2000 kwa mwako, kwa Sasa hivi vina expire Kila baada ya miezi mitatu,Taifa lolote linahamasisha uwajibikajii, wa kila raia ili lisonge mbele, zaidi. Kwahiyo kila mtanzania kwa kiwango cha pato lake, achangie maendeleo. Hawa wajasiliamali kuchangia elfu 20000 kwa mwaka mzima ni serikali kuwabeba pakubwa saana. Hivyo tunaomba zilaaniwe sera za mwanasiasa yoyote anayepinga ulipaji wa kodi kwa wajasiriamali wadodo wadogo
Seamlessly mjasilamali naye ana four quarters za tax payment just like mfanyabiashara wa kawaida tu