Kitambulisho cha Mjasiriamali kilivyoleta mateso katika jamii

Kitambulisho cha Mjasiriamali kilivyoleta mateso katika jamii

Vituo vyote vya serikalii, kiwango wanachochangia hakilingani na garama za hospitali binafsi. Chanzo zote ni buree, huduma za wajawazito ni buree, hata kama akiambiwa achangie bado nikiwango kidogoo saana ukiilinganisha na hospitali za watu binafsi
Nielekeze japo kimoja tu kwa DSM,zile 30000 wanazotozwa za Nini,vile vifaa vya kujifungulia he,pamba,kiwembe Cha kukatia kitovu,Moira wanavyoambiwa waende navyo vya nini
 
 
Fanya kwanza biashara ndo uandike,unasahau siku nyingine hayaishi,yanakaa zaidi ya siku moja na mahitaji yako palepale,faida 2000 hauli,jaununui mahitaji yoyote.nyie ndo mnaluma mtandaoni mnaambiana ooh kilimo hiki rahisi, biashara hii rahisi.ingia field jombaa!
hiyo hesabu ni ya gharama za chini kabisa za uendeshaji. Muuza maandazi wa kila siku anapika maandazi zaidi ya 100 kwa siku sio hamsini, mimi nimelelewa na muuza maandazi najua hizi kazi first hand. Waacheni hawa wamama wanajua wapi wametoka.
 
Kumbukeni mjasiriamali naye anafamilia, inayosomeshwa bure na kujifungua bure kwenye hospitali na shule za serlikali, hivyo na yeye kwa sehemu yake ndogo ya kipato anawajibu wa kuchangia maendeleo ya taifa. Kwani mjasilia mali huyohuyo, anahitaji barabara ya lami, umeme wa uhakika, maji, ulinzi wa vyombo vya dola, matibabu hospitalini, n.k, n.k.

Hivyo anawajibu wa kuchangia sehemu ndogo ya pato lake kama mtanzania. Kwahiyo kuja kubwabwaja hapa eti kitambulisho cha mjasiliamali ni mateso, huu ni uelewa wako mdogoo saanaa. Na kwa hali hiiii husitahili hata kuwa kiongozi wa familia. Maendeleo ya taifa lolote, yanajengwa na wanataifa lile kwa kuzingatia uwezo wao wa kipato chao.
Wapi huko kwenye elimu bure na kujifungua bure??

Bure ingekuwepo kweli, kusingekuwa na manung'uniko.

Everyday is Saturday.............................. 😎
 
Chadema ni wapuuzi Sana,hoja zao za kijinga jinga.

Hebu pita kwa wamachinga useme hili wakupasue ukauguzwe na nyumbu wenzio wa ufipa.

Hujui hata ukombozi wa hivi vitambulisho kwa wamachinga.
Hv vitambulisho vimemkomboa machinga kutoka wapi?kumbe hii nchi bado ukombozi unaendelea? Au ndo ile slogani ya unatengeneza tatizo,unalitatua unaonekana shujaa?
 
Hv vitambulisho vimemkomboa machinga kutoka wapi?kumbe hii nchi bado ukombozi unaendelea? Au ndo ile slogani ya unatengeneza tatizo,unalitatua unaonekana shujaa?
Tuachie sisi wamachinga ndo tunajua tumekombolewawapi,wewe kaa nyuma ya keyboard endelea kusubiri nchi ya asali na maziwa toka kwa CDM.

No research no right to speak.
Nyinyi mnatabia ya bendera fuata upepe,akisema Lissu basi kazi yenu ni kuunga mkono na kufata tu
 
Kwanza,nyumbu wewe na ukoo wako lazima tuheshimiane hata Kama hatujuani,jadili hoja.
Hiyo biashara mtu wangu wa karibu anaifanya,naandika kwa ushahidi sio kwa kubuni au kumuangalia mtu,Nina in and out zote za hiyo biashara.sema au uliza ambacjo hukijui nikujuze

Nilijua tu hujui unachosema ndo Mana nikakuita nyumba.by the way,kazi ya nyumbu ni kufata mkumbo tu pindi mmoja akianzisha safari,hata Kama ni bwawa la mamba na hawatumii akili yao hata chembe.

Sasa nyinyi CDM mnaitwa nyumbu kwa kua mkiletewa tu toka kwa viongozi wenu basi mnasupport tu,
Hamjawahi fanya biashara hata kuuza pipi zaid ya kukaa nyuma ya keyboard.

Nyumbu Sana nyinyi,mnatufanya tuwaonege wahuni tu wa siasa
 
Tatizo tunaoongelea hivyo vitambulisho sio wajasiliamali ilipaswa wao ndio waseme kama vina faida au havina faida.
Kwangu mimi naona faida kubwa ni ulinzi wa biashara na mtaji wao, vimewaondolea ile tabia ya kuvamiwa na kuporwa mali zao kwa kusingizio wanachafua jiji.
 
Kama serikali Ina nia ya kuwasaidia hii kodi ya mjasiliamali ingeondolewa kwa wenye mitaji midogo. Fikiria ni lini mtu huyu ataweza kununua mabati na kuboresha mahaki anapolala.
Serikali hii inaweza kumsamehe mfanyabiashara kama Bakhresa kodi ya 1 billion kuliko mjasiriamali kusamehewa sh.200 ya ushuru wa soko,ama kuwasamehe Barrick/ACCASIA US$ 190 Billions kuliko kumsamehe mfanyakazi wa umma PAYE ya shilingi 50,000 kwa mwezi.Haya ni maajabu unayoweza kuyakuta Tanzania pekee hapa duniani.
 
You must be crazy na mtu hopeless! Out of 5,000 anakula ngapi na familia for a day?
TATIZO HUYO dogo yupo Kwa shemiji Yake ,,Anamika Kwa jitihada ya kiuno cha Dada Ake hajui wala bei ya dagaa gengeni, ndo maana ana comment utopolo
 
Mh kuna vitu vingi alibuni kwa nia nzuri, na kimsingi ni vya manufaa kwa jamii, kinachomghlimu ni kutoshirikisha.Kwa watu kutoshirikishwa wamemchukia na mpaka mazuri aliyoyaanzisha wameyachukia, nikifika hapa namkimnika Gaddafi.
 
Heb tuache ushabiki wa kisiasa tuwe wakweli mioyoni mwetu...20,000 kwa mwaka ni sawa na Tsh 55 kwa siku...kweli mtu anaepata 5,000 kwa siku ashindwe kulipa Tsh 55? Hii ni sawa na 1.1% ya mapato yake..

Hatuishi katika ujamaa anymore, na maendeleo hayateletwa na wafanyakazi na wafanyabiashara wakubwa peke yake while wengine wakipata mtelezo.

We sereously need to change our mentalitily...haiwezekani kuna wafanyakazi wanalipa 30% km P.A.Y.E na kuna wengine ht 1.1% wanaona km wanaonewa.

Tunatengeneza jamii ambayo inaona kulipa kodi sio haki yao. Tunahitaji watu wengi zaidi walipe kodi ili wengine wapunguziwe mzigo.
As we speak only 5% ya watanzania ndio walipa kodi rasmi while 95% wanaitegemea hio 5%, how do we expect hii inchi kupata maendeleo, kwa mikopo na misaaada? At what cost and for how long?
 
Wewe mama huna point hapa. Kama kwa siku anaingiza 5000, kwa mwaka anaingiza 1,590,000/=. Kuna ubaya gani akichangia 20,000 kwa mwaka kwa ajili ya ulinzi wa nchi, huduma za jamii na miundombinu kwa manufaa yetu wenyewe?

Wenzetu huko mbele huona fahari kulipa kodi, sisi tunaona ni adhabu.
Chadema mtajenga nchi kwa fedha kutoka wapi? Kodi mmsema mnafuta, madini mnaweka rehani. Au misaada ya kuhimiza ushoga?
Ina maana hali? shame on you
 
Unamlaumu sky ushawahi fanya biashara wewe,unajua mama anaepika maandazi anapata faida isiyozidi 1000tu kwa siku,Tena hapo maandazi yaishe,huyu atapata lini 20000 ya kulipia kitambulisho? Elfu moja inatosha kwa mahitaji ya siku ya mtanzania? Au unadhani wanapata hela nyingi Sana?
Tena bado hata haitoshi, kuna kuharibika, kuumwa, matumizi n.k
 
Kuchangia chochote kwenye nchi yako ni fahari kubwa. 20K kwa mwaka ni Sawa na 1800 approx kwa mwezi, na 56Tsh kwa siku. Ni program inayofaa na nyepesi zaidi kwa mjasiriamali kuliko ile inayotozwa holela masokoni. Ila hapa uliandika, ili ionekane Serikali ya JPM inawanyanyasa wajasiriamali, sio Sawa hata kidogo.

Wakati Magufuli anavigawa kwa mara ya kwanza, alisema vitambulisho ni bure ila wamachinga eti wachangie gharama za kuvichapisha.

Umewahi kuona wapi kitambulisho kisicho na quality kama kile kinatengenezwa kwa shilingi 20000?-Lile ni dili la watu tu wamepiga wasituzingue!
 
Kuchangia chochote kwenye nchi yako ni fahari kubwa. 20K kwa mwaka ni Sawa na 1800 approx kwa mwezi, na 56Tsh kwa siku. Ni program inayofaa na nyepesi zaidi kwa mjasiriamali kuliko ile inayotozwa holela masokoni. Ila hapa uliandika, ili ionekane Serikali ya JPM inawanyanyasa wajasiriamali, sio Sawa hata kidogo.
tatizo hii ni biashara ya mtu binafsi
 
Wewe mama huna point hapa. Kama kwa siku anaingiza 5000, kwa mwaka anaingiza 1,590,000/=. Kuna ubaya gani akichangia 20,000 kwa mwaka kwa ajili ya ulinzi wa nchi, huduma za jamii na miundombinu kwa manufaa yetu wenyewe?

Wenzetu huko mbele huona fahari kulipa kodi, sisi tunaona ni adhabu.
Chadema mtajenga nchi kwa fedha kutoka wapi? Kodi mmsema mnafuta, madini mnaweka rehani. Au misaada ya kuhimiza ushoga?
Mnaipenda CCM kwa sababu tayari mnanufaika kwa upambe huko Lumumba kwa sababu ile buku saba unayopewa wewe hulipii hiyo elfu 20 shaini kabisa wewe sisi ni masking kweli usituletee siasa za kishetani kujinuifaisha wewe tu

Naomba bei za vitu hivyo hapo chini kwa familia ya watu wa 4 kwa siku yaani Mama na watoto wake wa 2 na mototo wa marehem Dada yake mmoja sawa Mxieussszzzzz ... !!!

Unga
Nyanya
Kitunguu
Chumvi
Sukari
Mkate
Umeme
Mkaa
Nauli ya watoto shule

Pumbavu kbs unatuletea hesabu za polepole hapa mpaka leo hamjatupa hesabu ya trilioni 1.5 ndio mnaifanyia kampeni saivi
 
Wewe mama huna point hapa. Kama kwa siku anaingiza 5000, kwa mwaka anaingiza 1,590,000/=. Kuna ubaya gani akichangia 20,000 kwa mwaka kwa ajili ya ulinzi wa nchi, huduma za jamii na miundombinu kwa manufaa yetu wenyewe?

Wenzetu huko mbele huona fahari kulipa kodi, sisi tunaona ni adhabu.
Chadema mtajenga nchi kwa fedha kutoka wapi? Kodi mmsema mnafuta, madini mnaweka rehani. Au misaada ya kuhimiza ushoga?
kwanza umekosea hicho kitambulisho ni kwaajili ya utambulizi tu swala la kulipia ulinzi na ela ya taka viko tofauti kabisa ndo mwendo huo tutafika tu tuwe wapole jamani dawa iingie vizuri
 
Back
Top Bottom