Mtyela Kasanda
JF-Expert Member
- Oct 13, 2018
- 554
- 818
Acha uongo maandazi ya unga nusu kilo (sh 800) yana faida ya sh kati ya 2500 hadi elfu 2000 ( bila gharama za uendeshaji ) kwa siku. Sasa kwa mwezi hiyo 2000 ni elfu kama mtu atapika nusu kilo( wengi hua wanapika kuanzia kilo moja na nusu) maana yake kwa mwezi atapata 60000, kwa mwaka ni 720000, hii ni faida bila gharama ya mtaji, hapo atoe elfu 20 anabaki na laki 7 kama mtaji.Unamlaumu sky ushawahi fanya biashara wewe,unajua mama anaepika maandazi anapata faida isiyozidi 1000tu kwa siku,Tena hapo maandazi yaishe,huyu atapata lini 20000 ya kulipia kitambulisho? Elfu moja inatosha kwa mahitaji ya siku ya mtanzania? Au unadhani wanapata hela nyingi Sana?
Tofauti na zamani tulipokua tunalipia 500 kila siku ambayo ni 500 x 30 x 12= 180000/= .Hili jambo liachine tu halina matobo. Watu tunajua wapi tumetoka na watoza ushuru.