Kitambulisho cha NIDA kwa mara ya pili

Kitambulisho cha NIDA kwa mara ya pili

Nenda nida wana edit hiyo nida yako, ila utaanza taratibu mpya ya kujaza upya taarifa zako kwa kufuata taratibu zote kama utakavyoagizwa na hao maofisa wa nida.
 
Watu wa nida hawataki mchezo tena wapo vizuri sana na kazi zao, nilimkuta jamaa alitaka kufanya kama wewe yaliomkuta sijui yupo wapi nimuulize kama ataweza kurudia tena.


Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
 
Watu wa nida hawataki mchezo tena wapo vizuri sana na kazi zao, nilimkuta jamaa alitaka kufanya kama wewe yaliomkuta sijui yupo wapi nimuulize kama ataweza kurudia tena.


Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
😂😂😂 Bila shaka aliuona moto
 
Habari, mimi tayari nina namba ya nida lakini kuna mambo yametokea yananilazimu nipate namba mpya tofauti na hii nayotumia sasa hivi.

Naomba kuuliza je nikijaza taarifa tofauti na za mara ya kwanza nitaweza kupata namba? Je, kwenye majina yangu, picha yangu na finger prints zangu hazitooneka Kwenye system yao hata nikibadilisha baadhi ya taarifa zangu?
Mkuu umeshaharibu nn ? Unataka kujificha au inakuwaje , ulichoandika hapa wala hakiwezekani , wewe kua mpole tu
 
Mimi nimepata namba sawa, ila nikiingiza namba jina linalotokea lina makosa kwenye herufi moja… sijui nikaushe tu!
 
Nenda nida wana edit hiyo nida yako, ila utaanza taratibu mpya ya kujaza upya taarifa zako kwa kufuata taratibu zote kama utakavyoagizwa na hao maofisa wa nida.
Wanafanya editing ya taarifa ambazo labda unataka kurekebisha kama Jina, sahihi.

Hawawezi kubadili namba, finger print au picha
 
Mimi nimepata namba sawa, ila nikiingiza namba jina linalotokea lina makosa kwenye herufi moja… sijui nikaushe tu!
Unaweza kusahihisha au kubadili jina.
Kuna taratibu za kufuata na malipo kidogo ya kulipia,nenda ofisi za NIDA watakuelekeza vizuri.
 
Mimi hicho kitambulisho mwaka wa nne sasa sijapewa na nilikojiandikisha mkoani wanasema subiri mwezi ujao mpaka leo. Sijui niende NIDA HQ watanipa
 
Habari, mimi tayari nina namba ya nida lakini kuna mambo yametokea yananilazimu nipate namba mpya tofauti na hii nayotumia sasa hivi.

Naomba kuuliza je nikijaza taarifa tofauti na za mara ya kwanza nitaweza kupata namba? Je, kwenye majina yangu, picha yangu na finger prints zangu hazitooneka Kwenye system yao hata nikibadilisha baadhi ya taarifa zangu?
Big Nooo!!!
Umekwama braza, labda ukienda kwa mara ya pili uende ukiwa huna mikono yote miwili ili ujaziwe mlemavu kisha ubadili taarifa.
 
Kurekebisha taarifa zako nadhani inawezekana, kitu cha muhimu sana ni sura na finger print
 
Mkuu umeshaharibu nn ? Unataka kujificha au inakuwaje , ulichoandika hapa wala hakiwezekani , wewe kua mpole tu
Sijaharibu chochote ila bc tuu kuna mambo yaninifanya nitake namba mpya
 
Back
Top Bottom