Kitambulisho cha NIDA kwa mara ya pili

Kitambulisho cha NIDA kwa mara ya pili

Kusahihisha jina inawezekana, ni Tsh 20,000
Mkuu! 20,000 ni pale tu endapo mhusika atakuwa tiyari ameshapokea kitambulisho chake, na kitambulisho kikawa ndo tiyari kina makosa hayo bila ya yeye kugundua.

Pili, pale ambapo mhusika hajakipokea kitambulisho chake (ana namba ya kitambulisho pekee) lkn makosa yaliyopo ni kutokana na kukosea yeye mhusika mwenyewe katika ujazaji wa fomu zile zenye taarifa zake.

Endapo hujapokea kitambulisho na una uhakika ya kwamba hukukosea ktk kujaza taarifa zako kwenye fomu, marekebisho utafanyiwa bure na NIDA wenyewe kwa kuwasiliana nao kupitia namba zao za huduma kwa mteja.
 
Mkuu! 20,000 ni pale tu endapo mhusika atakuwa tiyari ameshapokea kitambulisho chake, na kitambulisho kikawa ndo tiyari kina makosa hayo bila ya yeye kugundua.

Pili, pale ambapo mhusika hajakipokea kitambulisho chake (ana namba ya kitambulisho pekee) lkn makosa yaliyopo ni kutokana na kukosea yeye mhusika mwenyewe katika ujazaji wa fomu zile zenye taarifa zake.

Endapo hujapokea kitambulisho na una uhakika ya kwamba hukukosea ktk kujaza taarifa zako kwenye fomu, marekebisho utafanyiwa bure na NIDA wenyewe kwa kuwasiliana nao kupitia namba zao za huduma kwa mteja.
Ahsante kwa kusahihisha
 
Sijaharibu chochote ila bc tuu kuna mambo yaninifanya nitake namba mpya
Sio kitu chepesi kabisa.

Zaidi ni kwamba taarifa zako hizo mpya zitakuwa rejected kwa maana kwamba fingerprints zako tiyari zimeshatunzwa kwenye mfumo wa NIDA.
 
Kwa nn usiende kurekebisha? Mimi wakati najiandikisha niliweka namba ya simu ya tigo, kitambulisho kikapotea,nilipoenda kurenew(20k) akaniuliza unataka kubadilisha taarifa gani?
Mfano umeoa,namba ya simu,mtaa,n.k nikabadilisha namba ya simu tu na ikawezekana.
 
Huyu kama sio wakusoma vyeti visije kupishana
Vitu muhimu kama jina nngetumia vilevile ila kuna vitu kama taarifa za wazazi ndo niliwaza nibadilishe ili nione kama nitaweza kupata namba mpya
 
Unataka kubadili tarehe ya kuzaliwa ili kusogeza ajira mbele usistaafu kwa wakati sahihi??
😂😂😂 Sina maana hiyo ila kama ningefanya hvy bc ningeongeza au kupunguza siku moja ila cha msingi ni kupata namba mpya tuu
 
Back
Top Bottom