INAUZWA Kitanda, godoro, Sofa, Pasi, Feni, king'amuzi DStv

Mimi nipo zakiem kwa sasa nicheki tufanye biashara fasta kama upo makini
 
Reactions: MC7
Wadau wananiPM kuulizia bei ya kitu kimoja kimoja. Okay bei ni hizi:

1. Kitanda = Tsh 250,000
2. Godoro = Tsh 100,000
2. Sofa = Tsh 120,000
3. Dstv + Feni + Pasi = Tsh 100,000
 
Reactions: MC7
Mbona pm zenyewe hujibu??? Basi si bora ungeeka namba za simu tu.
 
Oya nicheki fasta nipo hapa Mbagala zakiem
 
Wadau wananiPM kuulizia bei ya kitu kimoja kimoja. Okay bei ni hizi:

1. Kitanda = Tsh 250,000
2. Godoro = Tsh 100,000
2. Sofa = Tsh 120,000
3. Dstv + Feni + Pasi = Tsh 100,000
Nicheki fasta 0655646568
 
kuna story moja nimeisoma humu yamtu mmoja maarufu mpigaji wa deal akitumia mbinu nyingi sana,sasa kwa mbali naona 470,000 itamtokea mara 10 atakaye vinunu hivo vitu, nimewaza tu. siku hizi kuna sayansi ya biashara


Hahahaa Mkuu, ondoa shaka kabisa.

BTW... you are entitled to your opinion.
 
Weka mawasiliano mkuu
 
Hilo godoro size gani mkuu??
 
Aiseee hiyo bei haihitaji punguzo ila bongo hapo lazima akushushe hapo ndo utaelewa kwa nini kagera kuna kijiji kinaitwa katerero
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…