Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weee shika adabu yakoVP Mallya, Kimambo, Massawe, Makoi na Mushi?
Salaamu wanaJF, na kheri ya mwaka mpya.
Nauza vitu vyangu vya ndani, kwa bei nafuu kabisa:
1. Kitanda (5x6) na Godoro
2. Sofa moja (ya siti mbili)
3. King'amuzi Dstv + dish + waya
4. Pasi
5. Feni.
PICHA halisi...
View attachment 453744
View attachment 453751 HITILAFU: Sofa imechanika kidoogo (kama sentimita mbili hivi) kwa mbele, hapo nilipozungushia kwa rangi.
View attachment 453764
Nipo Dar, maeneo ya Mbagala - Zakiem.
- Vitu vyote bado vipo katika hali nzuri.
- BEI ni Tsh 470,000 (laki nne na elfu sabini) kwa vitu vyote kwa pamoja.
Kwa yeyote anayehitaji, karibu sana PM kwa mazungumzo na mawasiliano zaidi.
Natanguliza shukrani.
Amani kwenu. Barikiwa sana wote.
Salaamu wanaJF, na kheri ya mwaka mpya.
Nauza vitu vyangu vya ndani, kwa bei nafuu kabisa:
1. Kitanda (5x6) na Godoro
2. Sofa moja (ya siti mbili)
3. King'amuzi Dstv + dish + waya
4. Pasi
5. Feni.
PICHA halisi...
View attachment 453744
View attachment 453751 HITILAFU: Sofa imechanika kidoogo (kama sentimita mbili hivi) kwa mbele, hapo nilipozungushia kwa rangi.
View attachment 453764
Nipo Dar, maeneo ya Mbagala - Zakiem.
- Vitu vyote bado vipo katika hali nzuri.
- BEI ni Tsh 470,000 (laki nne na elfu sabini) kwa vitu vyote kwa pamoja.
Kwa yeyote anayehitaji, karibu sana PM kwa mazungumzo na mawasiliano zaidi.
Natanguliza shukrani.
Amani kwenu. Barikiwa sana wote.
KAGERA KUNA UTALII HAUFAHAMIKI, NAO NI MTO NGONOAiseee hiyo bei haihitaji punguzo ila bongo hapo lazima akushushe hapo ndo utaelewa kwa nini kagera kuna kijiji kinaitwa katerero
mkuu nitumie namba yako tuongeeSalaamu wanaJF, na kheri ya mwaka mpya.
Nauza vitu vyangu vya ndani, kwa bei nafuu kabisa:
1. Kitanda (5x6) na Godoro
2. Sofa moja (ya siti mbili)
3. King'amuzi Dstv + dish + waya
4. Pasi
5. Feni.
PICHA halisi...
View attachment 453744
View attachment 453751 HITILAFU: Sofa imechanika kidoogo (kama sentimita mbili hivi) kwa mbele, hapo nilipozungushia kwa rangi.
View attachment 453764
Nipo Dar, maeneo ya Mbagala - Zakiem.
- Vitu vyote bado vipo katika hali nzuri.
- BEI ni Tsh 470,000 (laki nne na elfu sabini) kwa vitu vyote kwa pamoja.
Kwa yeyote anayehitaji, karibu sana PM kwa mazungumzo na mawasiliano zaidi.
Natanguliza shukrani.
Amani kwenu. Barikiwa sana wote.
Kitanda pamoja na godoro au? Na ni futi ngapi kwa ngap?
Bado Nina hang over mzeeHujui kusoma au?