Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ipo lakini isichukue muda mrefu sana mpaka ikaleta mambo mengine ya kutotimiza wajibu wa ndoa kisa mmenuniana wikiMnakuwa hajatibuana bado aisee,mnaweza lala hata kwa kupandana na nyege zisiwepo kabisa kwa mwenzio.Ivi unajua kukerwa au hujawahi kerwa na mwenza?
Oa mkuuSijajua maana sijawahi kulala na mwanamke kwa Zaid ya week moja
Ndio huchangia.Kuna mdau anasema bora avunje vunje kitanda chake cha sasa maana anaona tofauti kubwa kati kitanda kikubwa na kidogo.
Anasema alipooa alikuwa anatumia kitanda cha futi 4 kwa 6 na walikuwa hawakai kipindi kirefu bila kupatana na mke wake ikiwa wamehitilifiana tofauti na sasa.
Anasema akiwa anatumia kitanda cha 4 kwa 6 wakihitilifiana wakaingia kulala lazima wagusane na hasa wakiwa usingizini na walikuwa wanajikuta wamekubatiana au mwingine amemuwekea mikono au miguu kwa mwenzake na kujikuta ugomvi unaisha kiulaini.
Anasema kwa sasa mambo yanakuwa magumu anasema kitanda chake ni 8 kwa 8 ,tangu wameanza kutumia kitanda hicho ugomvi huwa unachukua muda mrefu kuisha.
Anasema wakigombana na mke wake, wakati wa kulala hujibanza kwenye kona ya kitanda bila kutaka kuguswa hata kama kosa lililosababisha mkagombana lilikuwa lake.
Anasema anapojaribu kumsogelea huhama upande mwingine wa kitanda ,au hutulia hapo ila usingizi unapomshika mke wake huhama na kwenda kulala upande mwingine wa kitanda.
Anasema ugomvi huchukua muda mrefu kuisha tofauti na zamani.
Je ni kweli vitanda vya kisasa huchangia ugomvi kutoisha mapema tofauti na vile vya zamani?
Ikiwa jibu ni ndiyo kuna ulazima wa wanandoa kurudia vitanda vya 3 kwa 6 ili kudumisha mahusiano yenu.
Hivi hakunaga 2 kwa sita? Yani mtatibuana tibuana mchana weee..ikifika usiku mna anza kunena kwa lugha[emoji2][emoji2]hatari sheikh
Hicho ndio kizuri kwa usalama wa ndoa za siku hiziZamani kulikuwa na vitanda vya chuma, chaga zake za springs.... mkilala kinabonyea kati mnajikusanya.[emoji39]
Hicho ndio kizuri kwa usalama wa ndoa za siku hizi
Labda kwa afya ya moyo maaanake India ni mbali sana huwezi fika kwa bodabodaCha ajabu, wa kisasa wanashauri eti vitanda tofauti ndio bora kiafya.... sijui afya gani!
Ni zipi hizo mkuuKuna ID nazicheki hapa...
Nina uhakika hazitakosa kwenye hizi mada za kitandani.