Dah!....tusinyimaneBinafsi I prefer separate beds and better still, different rooms.
Kitanda cha 8*8 ni oda maalum , kawaida mwisho 6*6 , unatengeneza 8*8 na upo kwenye ndoa , huyo jamaa ni bonge la kiazKuna mdau anasema bora avunje vunje kitanda chake cha sasa maana anaona tofauti kubwa kati kitanda kikubwa na kidogo.
Anasema alipooa alikuwa anatumia kitanda cha futi 4 kwa 6 na walikuwa hawakai kipindi kirefu bila kupatana na mke wake ikiwa wamehitilifiana tofauti na sasa.
Anasema akiwa anatumia kitanda cha 4 kwa 6 wakihitilifiana wakaingia kulala lazima wagusane na hasa wakiwa usingizini na walikuwa wanajikuta wamekubatiana au mwingine amemuwekea mikono au miguu kwa mwenzake na kujikuta ugomvi unaisha kiulaini.
Anasema kwa sasa mambo yanakuwa magumu anasema kitanda chake ni 8 kwa 8 ,tangu wameanza kutumia kitanda hicho ugomvi huwa unachukua muda mrefu kuisha.
Anasema wakigombana na mke wake, wakati wa kulala hujibanza kwenye kona ya kitanda bila kutaka kuguswa hata kama kosa lililosababisha mkagombana lilikuwa lake.
Anasema anapojaribu kumsogelea huhama upande mwingine wa kitanda ,au hutulia hapo ila usingizi unapomshika mke wake huhama na kwenda kulala upande mwingine wa kitanda.
Anasema ugomvi huchukua muda mrefu kuisha tofauti na zamani.
Je ni kweli vitanda vya kisasa huchangia ugomvi kutoisha mapema tofauti na vile vya zamani?
Ikiwa jibu ni ndiyo kuna ulazima wa wanandoa kurudia vitanda vya 3 kwa 6 ili kudumisha mahusiano yenu.
Mie nimeweka 2 na nusu Kwa 6Sijajua kwa nini watu wengi wamehamia 5 kwa 6. Binafsi naona 4 kwa 6 inanitosha.
Nikilala kwenye 4 kwa 6 tunatoshea vizuri na shemeji yenu.
Mbali na kitanda sijajua kwa nini mtu anakua na kabati kubwa la vyombo ambavyo havitumiki, unakuta kuna vyombo vya wageni na vya wenyeji.
Kwangu naona ni matumizi mabaya ya rasilimali, tumia vyombo vya kila siku. Kabati dogo la mlango mmoja linatosha sana.
Pia kitanda cha 4 kwa 6 kinatosha sana.
we na nani?Dah!....tusinyimane
Kitanda cha nane kwa nane? Jamaa anapitia wakati mgumu sana.Kuna mdau anasema bora avunje vunje kitanda chake cha sasa maana anaona tofauti kubwa kati kitanda kikubwa na kidogo.
Anasema alipooa alikuwa anatumia kitanda cha futi 4 kwa 6 na walikuwa hawakai kipindi kirefu bila kupatana na mke wake ikiwa wamehitilifiana tofauti na sasa.
Anasema akiwa anatumia kitanda cha 4 kwa 6 wakihitilifiana wakaingia kulala lazima wagusane na hasa wakiwa usingizini na walikuwa wanajikuta wamekubatiana au mwingine amemuwekea mikono au miguu kwa mwenzake na kujikuta ugomvi unaisha kiulaini.
Anasema kwa sasa mambo yanakuwa magumu anasema kitanda chake ni 8 kwa 8 ,tangu wameanza kutumia kitanda hicho ugomvi huwa unachukua muda mrefu kuisha.
Anasema wakigombana na mke wake, wakati wa kulala hujibanza kwenye kona ya kitanda bila kutaka kuguswa hata kama kosa lililosababisha mkagombana lilikuwa lake.
Anasema anapojaribu kumsogelea huhama upande mwingine wa kitanda ,au hutulia hapo ila usingizi unapomshika mke wake huhama na kwenda kulala upande mwingine wa kitanda.
Anasema ugomvi huchukua muda mrefu kuisha tofauti na zamani.
Je ni kweli vitanda vya kisasa huchangia ugomvi kutoisha mapema tofauti na vile vya zamani?
Ikiwa jibu ni ndiyo kuna ulazima wa wanandoa kurudia vitanda vya 3 kwa 6 ili kudumisha mahusiano yenu.