Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,916
- 43,505
Wewe unajua uchawi tuu hesabu wala huzijui... tufanye tuu kwa mfano hapo kawe Halima mdee amepigiwa na wajumbe 71 halafu papo hapo watia nia tuu wa CCM hapo kawe wameshafika 120 yani zaidi ya wajumbe walio mpigia kura Mdee! Kwa kifupi tuu....Kawe kuna wana chama wa CCM wengi kuliko chadema ba uwezekano wa CCM kulipata jimbo hilo ni mkubwa sana kuliko chadema......
Halafu wana CCM kujitokeza wengio sio kawe tuu ni majimbo mengi ya Dares-salaam na ni demokrasia...
Halafu wana CCM kujitokeza wengio sio kawe tuu ni majimbo mengi ya Dares-salaam na ni demokrasia...