Farolito
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 12,001
- 27,175
Hizi ngumi ni balaaMorogoro tayari wameshaanza kuparuranaView attachment 1508064
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizi ngumi ni balaaMorogoro tayari wameshaanza kuparuranaView attachment 1508064
Unaukana ccm ?? Oky bc nisamehe mkuu
Kwanza nikusahihishe, Fomu zinazonunuliwa ni za CCM siyo za Tume. Hivyo wanaofaidika na huo utitiri wa wagombea ni CCM siyo Tume ya Uchaguzi.Hili linaweza kuwa ajabu lingine la dunia ama linaweza kuingia kwenye kitabu cha rekodi za dunia World Guinness Book of Records, ama linaweza kuvunja rekodi ya nchi na dunia kwa jimbo moja la ubunge kuwa na watia nia wengi kuwahi kutokea na karibia asilimia mia moja wa chama kimoja.
Pamoja na kwamba kibubu cha tume ya uchaguzi ya CCM kitatuna kwa mapato na pengine kuwa jimbo lililoingiza mapato mengi zaidi kwa kuuza form nyingi zaidi lakini madhara yake ni makubwa kuliko hayo mapato.
1. Katika watia nia wote hao 80 nina hakika hawapungui walau 20 wenye nguvu ya pesa, ushawishi ndani ya chama na wale wa mbeleko na vimemo. Kwa kuzingatia hili pekee tayari yatatokea makundi yasiyopungua 10 hivi. Makundi yenye nguvu na misuli ya kila aina. Hapa badala ya kupambana na adui yataanza kupambana yenyewe kwa yenyewe.
Jimbo la Kawe lililomegwa kutoka Kinondoni limekuwa na umaarufu mkubwa kuliko hata Kinondoni yenyewe na hii pengine ni kutokana na jiografia yake na aina ya mtu anayelishikilia.
3. CCM wanalitaka hilo Jimbo kwa hali na mali. Na wamewekeza muda mrefu sana tena kwa gharama kubwa mno. Hivyo kitendo cha kulikosa kitakuwa aibu kubwa, fedheha na hasara kubwa kisiasa.
4. Kitendo cha wanaume na uwekezaji wao wote kuja kushindwa na mwanamke mmoja ni ndoto ya kutisha sana na jinamizi wasilolipenda CCM
5. Kuonesha umwamba na ubabe kuwa wakitaka kitu hawashindwi kwakuwa wana kila kitu kila nyenzo ya kupata ushindi
Ni kwa muktadha huo wa kukamia kulikopitiliza hilo jimbo.. Wamejikuta wanatoa boko. Kwakuwa watatumia muda mwingi sana kwenye:
Mchujo
Kupata tano bora
Kwenye kupata mgombea mmoja
Kwenye kuunganisha makundi
Kwenye kuponya majeraha kabla ya uchaguzi
Kumbuka kila hatua kati ya hizo zote itaacha maumivu kwa kundi fulani
Ni wakati wakihangaika na yote haya Halima Mdee atakuwa busy kuimarisha himaya yake.
Matokeo yake ni nini? Muda utasema
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dah...kibongobongo...kazi ya ubunge ndiyo kazi rahisi kukiko zote ....inahitaji sifa mbili tu ..kujua kusoma na kuandika...wakati Konda wa daladala lazima ajue na kuhesabu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sasa October si watachinjana!!Morogoro tayari wameshaanza kuparuranaView attachment 1508064
wanapigania eneo lao la kazi. wanafanya vile walivyoo haoMorogoro tayari wameshaanza kuparuranaView attachment 1508064
Asante kwa masahihishoKwanza nikusahihishe, Fomu zinazonunuliwa ni za CCM siyo za Tume. Hivyo wanaofaidika na huo utitiri wa wagombea ni CCM siyo Tume ya Uchaguzi.
Pili, kujitokeza kwa watia nia wengi ni ishara ya kuimarika kwa demokrasia ndani ya chama lakini pia ni imani kubwa waliyonayo watanzania kwa CCM kuliko vyama vingine. Na jambo kubwa ni kupungua kwa vitendo vya rushwa. Sasa hivi kila mmoja ana nafasi ya kuweza kuwa mgombea haijalishi una pesa ama la. Ili mradi tu ukubalike.
Tatu, Jimbo la Kawe lilikua lirudi CCM toka 2015. Lakini upepo wa Lowassa ulilinusuru Jimbo hilo pamoja na majimbo mengine ya Dar kubaki upinzani. Ndo maana Halima Mdee, kipindi kile alipewa Uenyekiti wa BAWACHA ili akilikosa jimbo hilo basi aingie Bungeni kwa mgongo wa BAWACHA kama Viti Maalum.
Mwisho, Halima Mdee hawezi kupanga himaya yake kwa wakati huu, halafu akashinda Uchaguzi. Kama hakuweza kuipanga kwa miaka 5 akiwa mbunge hawezi kuipanga kwa hii miezi miwili iliyobakia kuelekea uchaguzi Mkuu.
Kilingeni Msata best huko ndio shina langu liliko na mizizi yake.. Naomba kura yakoMshana Jr unagombea wapi? Huko acha halima akawape tohara ya pili na ya tatu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hili linaweza kuwa ajabu lingine la dunia ama linaweza kuingia kwenye kitabu cha rekodi za dunia World Guinness Book of Records, ama linaweza kuvunja rekodi ya nchi na dunia kwa jimbo moja la ubunge kuwa na watia nia wengi kuwahi kutokea na karibia asilimia mia moja wa chama kimoja.
Pamoja na kwamba kibubu cha tume ya uchaguzi ya CCM kitatuna kwa mapato na pengine kuwa jimbo lililoingiza mapato mengi zaidi kwa kuuza form nyingi zaidi lakini madhara yake ni makubwa kuliko hayo mapato.
1. Katika watia nia wote hao 80 nina hakika hawapungui walau 20 wenye nguvu ya pesa, ushawishi ndani ya chama na wale wa mbeleko na vimemo. Kwa kuzingatia hili pekee tayari yatatokea makundi yasiyopungua 10 hivi. Makundi yenye nguvu na misuli ya kila aina. Hapa badala ya kupambana na adui yataanza kupambana yenyewe kwa yenyewe.
Jimbo la Kawe lililomegwa kutoka Kinondoni limekuwa na umaarufu mkubwa kuliko hata Kinondoni yenyewe na hii pengine ni kutokana na jiografia yake na aina ya mtu anayelishikilia.
3. CCM wanalitaka hilo Jimbo kwa hali na mali. Na wamewekeza muda mrefu sana tena kwa gharama kubwa mno. Hivyo kitendo cha kulikosa kitakuwa aibu kubwa, fedheha na hasara kubwa kisiasa.
4. Kitendo cha wanaume na uwekezaji wao wote kuja kushindwa na mwanamke mmoja ni ndoto ya kutisha sana na jinamizi wasilolipenda CCM
5. Kuonesha umwamba na ubabe kuwa wakitaka kitu hawashindwi kwakuwa wana kila kitu kila nyenzo ya kupata ushindi
Ni kwa muktadha huo wa kukamia kulikopitiliza hilo jimbo.. Wamejikuta wanatoa boko. Kwakuwa watatumia muda mwingi sana kwenye:
Mchujo
Kupata tano bora
Kwenye kupata mgombea mmoja
Kwenye kuunganisha makundi
Kwenye kuponya majeraha kabla ya uchaguzi
Kumbuka kila hatua kati ya hizo zote itaacha maumivu kwa kundi fulani
Ni wakati wakihangaika na yote haya Halima Mdee atakuwa busy kuimarisha himaya yake.
Matokeo yake ni nini? Muda utasema