Bahati furaha
JF-Expert Member
- Jul 11, 2012
- 3,054
- 1,415
Kwani vyama vilishapitisha na kutangaza wagombea tayari?Ushahidi majimbo ambayo Chadema wamweka wagombea ni asilimia tano tu ya majimbo yote ya uchaguzi Tanzania
Au mimi nipo Urundi!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani vyama vilishapitisha na kutangaza wagombea tayari?Ushahidi majimbo ambayo Chadema wamweka wagombea ni asilimia tano tu ya majimbo yote ya uchaguzi Tanzania
weh kaogopaNilitamani Daudi Albert Bashite achukue fomu Kawe apambane na Mdee.
Issue ni kwamba liwalo na Lowe Kawe lazima irudi ccm.Mdee kumtoa hapo kawe nindoto za mchana kwanza sijaona mtu mwenye sifa za ziada sasa mcheza xxxx Gwajima anapitaje kwa mfano.
siyo wananchi tenaMajimbo yote ya Dar yanarudi CCM.ndo maana kwa Dar watiania wa CCM ni wengi.kwa kila jimbo.maana yake CCM ikikupitisha tyr wewe ni mbunge.
afe kipa afe beki lazima pachimbike mbwa yule atokeIssue ni kwamba liwalo na Lowe Kawe lazima irudi ccm.
umemsahau beki tatu anatakiwa ajue na kuosha vyombo piaDah...kibongobongo...kazi ya ubunge ndiyo kazi rahisi kukiko zote ....inahitaji sifa mbili tu ..kujua kusoma na kuandika...wakati Konda wa daladala lazima ajue na kuhesabu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hili linaweza kuwa ajabu lingine la dunia ama linaweza kuingia kwenye kitabu cha rekodi za dunia World Guinness Book of Records, ama linaweza kuvunja rekodi ya nchi na dunia kwa jimbo moja la ubunge kuwa na watia nia wengi kuwahi kutokea na karibia asilimia mia moja wa chama kimoja.
Pamoja na kwamba kibubu cha tume ya uchaguzi ya CCM kitatuna kwa mapato na pengine kuwa jimbo lililoingiza mapato mengi zaidi kwa kuuza form nyingi zaidi lakini madhara yake ni makubwa kuliko hayo mapato.
1. Katika watia nia wote hao 80 nina hakika hawapungui walau 20 wenye nguvu ya pesa, ushawishi ndani ya chama na wale wa mbeleko na vimemo. Kwa kuzingatia hili pekee tayari yatatokea makundi yasiyopungua 10 hivi. Makundi yenye nguvu na misuli ya kila aina. Hapa badala ya kupambana na adui yataanza kupambana yenyewe kwa yenyewe.
Jimbo la Kawe lililomegwa kutoka Kinondoni limekuwa na umaarufu mkubwa kuliko hata Kinondoni yenyewe na hii pengine ni kutokana na jiografia yake na aina ya mtu anayelishikilia.
3. CCM wanalitaka hilo Jimbo kwa hali na mali. Na wamewekeza muda mrefu sana tena kwa gharama kubwa mno. Hivyo kitendo cha kulikosa kitakuwa aibu kubwa, fedheha na hasara kubwa kisiasa.
4. Kitendo cha wanaume na uwekezaji wao wote kuja kushindwa na mwanamke mmoja ni ndoto ya kutisha sana na jinamizi wasilolipenda CCM
5. Kuonesha umwamba na ubabe kuwa wakitaka kitu hawashindwi kwakuwa wana kila kitu kila nyenzo ya kupata ushindi
Ni kwa muktadha huo wa kukamia kulikopitiliza hilo jimbo.. Wamejikuta wanatoa boko. Kwakuwa watatumia muda mwingi sana kwenye:
Mchujo
Kupata tano bora
Kwenye kupata mgombea mmoja
Kwenye kuunganisha makundi
Kwenye kuponya majeraha kabla ya uchaguzi
Kumbuka kila hatua kati ya hizo zote itaacha maumivu kwa kundi fulani
Ni wakati wakihangaika na yote haya Halima Mdee atakuwa busy kuimarisha himaya yake.
Matokeo yake ni nini? Muda utasema
Hapo shetani yupo, yu hai, ameshika usukani.Morogoro tayari wameshaanza kuparurana
View attachment 1508064
Pole hautaamini.Jipeni moyo tu,umsolopaghaz wanakuja Mdee atafute kazi ingine kwa sasa
Pole hautakuja amini.Jipeni moyo tu,umsolopaghaz wanakuja Mdee atafute kazi ingine kwa sasa
Ulitaka uone nini?Mshana, mbona sioni Halima kulitetea jimbo lake? She is so naive napata maumivu mimi!
Ulitaka uone nini?Mshana, mbona sioni Halima kulitetea jimbo lake? She is so naive napata maumivu mimi!
Jitahidi kujipa moyo kwani hautakuja amini.Mdee angefanya kama Mnyika na Kubenea tu. Kawe na majimbo mengine ya Dar yapo kimkakati, hata kwa faulu tatanishi lazima mengi yaende kwa mataga.
yani ningekuwa raisi hawa ningezuia hata fomu wasipewe kabisa. kwa utaratibu wa sasa na uchukuaji fomu kupigana, ni kuthibitisha wahusika oxygen yao katika siasa ni vurugu,ugomvi na fitina. sasa ni kma samaki kahamishiwa nchi kavu wanalazimishana vurugu
Morogoro tayari wameshaanza kuparurana
View attachment 1508064
Hapana hii ni mara ya nne unakosoa heading za mada zangu.. Na wewe peke yako.. Sasa unataka kunikosoa ila nikijaribu kukuweka sawa unamaind duu...Ungwana ni kukubali kukosea, sikuwahi fikiri unafikra za kitoto namna hii. Good day.