Uchaguzi 2020 Kitanzi cha CCM Kawe: Watia nia 176 wa ubunge dhidi ya Halima Mdee CHADEMA

Kuwampole
Majibuyataongea kijanaaa subiri matokeoo
Utaelewa KWANN ukimpiga mbu atoi DAMU mpaka.akunyonye yakoo
 
Kuwampole
Majibuyataongea kijanaaa subiri matokeoo
Utaelewa KWANN ukimpiga mbu atoi DAMU mpaka.akunyonye yakoo
[emoji44][emoji44][emoji848][emoji848][emoji848]sawa upwaaa
 
Mi nionavyo wameona kupata ubunge safari hii ni mchekea kuliko miaka yoye tuliyowahi kushuhidia chini ya vyama vingi ila yajayo yanafurahisha
 
Huyo ndio kiongozi wa kitengo cha propaganda cha pale Lumumba kwa jina lao jepesi buku7.
 
Twende na Link hii ili tujadili michakato yote majimboni kwa upana zaidi...
Karibuni.
🇹🇿MCHAKATO⚖️MAJIMBONI 2020🇹🇿
 
Hata wacheza filamu za ngono wanaomba kugombea kupitia CCM.
 
Njozi ya kujitungia mwenyewe inaweza kuwa ya kuvutia lakini itabidi ulazimishe ili inoge
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…