Kitendo cha aliyekuwa CEO wa Simba SC Barbara kum 'Unfollow' Tajiri Mo Dewji na Kumfollow Rais wa Yanga Injinia Hersi sasa Moto utawaka

Alikutapeli nini? Kama utapeli ni njia mojawapo ya kufikia mafanikio aliyonayo Mo bora nawe uwe tapeli ili utajirike.

Huwa mnapenda kuhangaika na watu waliombele maili nyingi sijui kwanini.

Tutafuteni maisha tuache kujifariji.
Sawa Mangungu,,

Ila Mo Ni TAPELI kweli.

Haiwezekani Manara amtuhumu na Babra pia amtuhumu,,

Mo DEWJI anashida mahali lakini tajiri ukimgusa wanaibuka akina Mangungu kutetea.
 
Mwamedi na Hersi wana uadui gani? hebu tujuze.
 
Hahahahaha!!! nakumbuza nyuzi zako za 'kukisanua' ulikuwa unashusha episodes kihasira baada ya kipigo kutuka kwa Orlando pirates.
 
Simba taasisi, watu wanaingia na kutoka, tangu ilpoasisiwa wameingia watu wengi sana na kutoka, viongozi na wachezaji! Simba ipo pale pale na itaendelea kuwepo!
Taasisi imara zinaongozwa Kwa utaratibu na mifumo maulumu- na sio kumtegemea mtu au watu!
 
kosa la kwanza ni la mo kutuletea watu wa ajabu,
huyu dada alifanya vizuri kipindi marehemu Hanspope Yuko hai lakini Hana kitu anachojua kwenye mpira. Hata sajili nyingi alikuwa anafanya kwa kubahatisha muda mwingi alitumia kujibrand binafsi na baada ya kuondoka Simba ameona attention yote aliyokuwa akipewa haipo Tena ndio maana anatafuta pa kitokea.
 
Uzuri Mtani ulikua unawaandikia hapa mambo mengi hawakuelewa hadi maneno kubaiolojiana ulilisema hawakukusikia walihisi ni maneno ya kijiweni haya wakenya wanasema mambo imechemka, ulipotaja virusi wa timu yenu walijikausha yako wapi sasa
Pia wanasema hii imekwenda
 
Mambo ya jikoni ya kukata nyanya na vitunguu tuwaachie wenyewe muda mwingne jenta anahangaika na vitu ambavyo havina umuhimu
 
Nani aliyekuambia Hersi na Mo ni maadui?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…