Somoche
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 6,795
- 9,143
SIO POLISI Wote ni wabaya au wanaonea watu lakini mara kadhaa jeshi Hili limelaumiwa sana kwa uongo tena wanaosema huo Uongo ni viongozi wao wakuu...Uzushi...Kuumiza na kujeruhi watu na mengine mengi maovu.
JESHI Hili lina mfungamano Mkubwa sana Na Wanasiasa wa chama chetu kiasi hawawezi kutenganisha kabisa kazi yao na Sisi wana CCM.
Ni wenzetu kabisa lakini Kingine wanadhani Vitisho na kuonea watu itatusaidia sisi Milele.
Ni kweli wengine hatujui matendo ya Mbowe lakini polisi kuanzia miaka ya nyuma wana lawama na madoa mengi..Mahita aliwahi kubumba mavisu akaleta hadharani akisema ameshika makontena..Hatukuona hayo makontena..Yuko anazeeka kwa aibu hana haya.
Sirro unajua kabisa mmeambiwa wazi na Rais mlibambikia watu kesi...kama mm ni wewe nilitakiwa kuacha hiyo kazi mana kwenye kubambika mnaumiza na kudhalilisha watu...Nani atawaamini??? Hamuaminiki...na mnatumia sheria mbaya hizo za ugaidi..Utakatishaji na mengine mengi kuumiza watu.
Hao viongozi wa Serikali waliokua wauwawe na hao akina mbowe ni akina nani??? Mbona Lissu yeye alisemaga anafuatwa na anatishwa hao hawakufuatwa??? Walilalamika wapi???
MSITUHARIBIE HII NCHI...
JESHI Hili lina mfungamano Mkubwa sana Na Wanasiasa wa chama chetu kiasi hawawezi kutenganisha kabisa kazi yao na Sisi wana CCM.
Ni wenzetu kabisa lakini Kingine wanadhani Vitisho na kuonea watu itatusaidia sisi Milele.
Ni kweli wengine hatujui matendo ya Mbowe lakini polisi kuanzia miaka ya nyuma wana lawama na madoa mengi..Mahita aliwahi kubumba mavisu akaleta hadharani akisema ameshika makontena..Hatukuona hayo makontena..Yuko anazeeka kwa aibu hana haya.
Sirro unajua kabisa mmeambiwa wazi na Rais mlibambikia watu kesi...kama mm ni wewe nilitakiwa kuacha hiyo kazi mana kwenye kubambika mnaumiza na kudhalilisha watu...Nani atawaamini??? Hamuaminiki...na mnatumia sheria mbaya hizo za ugaidi..Utakatishaji na mengine mengi kuumiza watu.
Hao viongozi wa Serikali waliokua wauwawe na hao akina mbowe ni akina nani??? Mbona Lissu yeye alisemaga anafuatwa na anatishwa hao hawakufuatwa??? Walilalamika wapi???
MSITUHARIBIE HII NCHI...