Kitendo cha IGP Sirro kutoa hukumu ya Ugaidi wa Mbowe huku kesi ikiwa Mahakamani ni Uhalifu. Napendekeza kesi hiyo ifutwe haraka

Kitendo cha IGP Sirro kutoa hukumu ya Ugaidi wa Mbowe huku kesi ikiwa Mahakamani ni Uhalifu. Napendekeza kesi hiyo ifutwe haraka

SIO POLISI Wote ni wabaya au wanaonea watu lakini mara kadhaa jeshi Hili limelaumiwa sana kwa uongo tena wanaosema huo Uongo ni viongozi wao wakuu...Uzushi...Kuumiza na kujeruhi watu na mengine mengi maovu.

JESHI Hili lina mfungamano Mkubwa sana Na Wanasiasa wa chama chetu kiasi hawawezi kutenganisha kabisa kazi yao na Sisi wana CCM.

Ni wenzetu kabisa lakini Kingine wanadhani Vitisho na kuonea watu itatusaidia sisi Milele.

Ni kweli wengine hatujui matendo ya Mbowe lakini polisi kuanzia miaka ya nyuma wana lawama na madoa mengi..Mahita aliwahi kubumba mavisu akaleta hadharani akisema ameshika makontena..Hatukuona hayo makontena..Yuko anazeeka kwa aibu hana haya.

Sirro unajua kabisa mmeambiwa wazi na Rais mlibambikia watu kesi...kama mm ni wewe nilitakiwa kuacha hiyo kazi mana kwenye kubambika mnaumiza na kudhalilisha watu...Nani atawaamini??? Hamuaminiki...na mnatumia sheria mbaya hizo za ugaidi..Utakatishaji na mengine mengi kuumiza watu.

Hao viongozi wa Serikali waliokua wauwawe na hao akina mbowe ni akina nani??? Mbona Lissu yeye alisemaga anafuatwa na anatishwa hao hawakufuatwa??? Walilalamika wapi???
MSITUHARIBIE HII NCHI...
 
SIO POLISI Wote ni wabaya au wanaonea watu lakini mara kadhaa jeshi Hili limelaumiwa sana kwa uongo tena wanaosema huo Uongo ni viongozi wao wakuu...Uzushi...Kuumiza na kujeruhi watu na mengine mengi maovu.

JESHI Hili lina mfungamano Mkubwa sana Na Wanasiasa wa chama chetu kiasi hawawezi kutenganisha kabisa kazi yao na Sisi wana CCM.

Ni wenzetu kabisa lakini Kingine wanadhani Vitisho na kuonea watu itatusaidia sisi Milele.

Ni kweli wengine hatujui matendo ya Mbowe lakini polisi kuanzia miaka ya nyuma wana lawama na madoa mengi..Mahita aliwahi kubumba mavisu akaleta hadharani akisema ameshika makontena..Hatukuona hayo makontena..Yuko anazeeka kwa aibu hana haya.

Sirro unajua kabisa mmeambiwa wazi na Rais mlibambikia watu kesi...kama mm ni wewe nilitakiwa kuacha hiyo kazi mana kwenye kubambika mnaumiza na kudhalilisha watu...Nani atawaamini??? Hamuaminiki...na mnatumia sheria mbaya hizo za ugaidi..Utakatishaji na mengine mengi kuumiza watu.

Hao viongozi wa Serikali waliokua wauwawe na hao akina mbowe ni akina nani??? Mbona Lissu yeye alisemaga anafuatwa na anatishwa hao hawakufuatwa??? Walilalamika wapi???
MSITUHARIBIE HII NCHI...
Umeandika kizalendo sana !
 
Boss nawe una kazi! KIla siku ni kutetea Mbowe! Au una nini na yeye?
Polisi ni haki yao kutuhumu uharifu. Ndo maana wanakututusa hadi mahakamani. Na ni kazi yao kushawishi mahakama kwamba ushahidi ni huu! sasa wewe unahangaikaaaaa!
Sema pia Ni kazi ya kubambikia watu kesi
 
Ulisema utoshabikia siasa na ulituaga au umebadilisha gia mkuu
 
Wote bila shaka mmemsikia Mkuu wa jeshi la Polisi wa Tanzania Mtukufu IGP Simon Sirro , kauli yake hii ni sawa na kulazimisha mahakama kutenda ayanenayo.

Sirro anafahamu kwamba Sheria inakataza yaliyo Mahakamani kujadiliwa vijiweni , na hasa kama anayejadili ana maslahi kwenye kesi iliyo mahakamani , kama yeye Sirro alivyo na maslahi binafsi kwenye kesi hii , lakini ameamua kupuuza ili kumrahisishia maamuzi hakimu wao wanayemtumia kumkomoa Mbowe na Chadema.

Sirro anapaswa kuleta ushahidi wake Mahakamani , badala ya kupiga filimbi mitaani , OMARI MAHITA alikuwa IGP Ambaye rekodi yake ya ukatili haijavunjwa hadi leo , lakini baada ya kustaafu ALISHITAKIWA MAHAKAMANI KWA KESI YA KUMBAKA HOUSE GIRL WAKE MWENYEWE, NA KUMPACHIKA MIMBA KISHA KURUKA MATUNZO YA MTOTO , wala ccm aliyoipigania haikumuokoa kwenye aibu ile , nani aliyesahau jambo hili ? Sirro ajifunze kutenda haki ili asije kudhalilika huko mbele, Cheo ni dhamana ya muda mfupi tu .

Pamoja na Omari Mahita kujenga msikiti Morogoro lakini watukufu waislam wamekataa kuutumia ili kuogopa kunajisi udhu wao kwa kuswali kwenye msikiti wa katili aliyeiona ccm ni bora kuliko Allah Subhhannah.

Mwisho napendekeza kesi ya Mbowe ifutiliwe mbali kwa maana ni ya uongo , na IGP Sirro atimuliwe kazi kabla jua halijazama.

Igp kilaza baada ya mahita
Screenshot_20210803-074422_Twitter.jpeg
 
Tulia mama
Mama naskia unakazwa hapo mitaa ya lumumba,bladifakeni
 
Wote bila shaka mmemsikia Mkuu wa jeshi la Polisi wa Tanzania Mtukufu IGP Simon Sirro , kauli yake hii ni sawa na kulazimisha mahakama kutenda ayanenayo.

Sirro anafahamu kwamba Sheria inakataza yaliyo Mahakamani kujadiliwa vijiweni , na hasa kama anayejadili ana maslahi kwenye kesi iliyo mahakamani , kama yeye Sirro alivyo na maslahi binafsi kwenye kesi hii , lakini ameamua kupuuza ili kumrahisishia maamuzi hakimu wao wanayemtumia kumkomoa Mbowe na Chadema.

Sirro anapaswa kuleta ushahidi wake Mahakamani , badala ya kupiga filimbi mitaani , OMARI MAHITA alikuwa IGP Ambaye rekodi yake ya ukatili haijavunjwa hadi leo , lakini baada ya kustaafu ALISHITAKIWA MAHAKAMANI KWA KESI YA KUMBAKA HOUSE GIRL WAKE MWENYEWE, NA KUMPACHIKA MIMBA KISHA KURUKA MATUNZO YA MTOTO , wala ccm aliyoipigania haikumuokoa kwenye aibu ile , nani aliyesahau jambo hili ? Sirro ajifunze kutenda haki ili asije kudhalilika huko mbele, Cheo ni dhamana ya muda mfupi tu .

Pamoja na Omari Mahita kujenga msikiti Morogoro lakini watukufu waislam wamekataa kuutumia ili kuogopa kunajisi udhu wao kwa kuswali kwenye msikiti wa katili aliyeiona ccm ni bora kuliko Allah Subhhannah.

Mwisho napendekeza kesi ya Mbowe ifutiliwe mbali kwa maana ni ya uongo , na IGP Sirro atimuliwe kazi kabla jua halijazama.

Hiyo hukumu iko wapi?
 
Kwani mama yenu mpendwa alisemaje?ukimpinga mama unapigwa laana kama hiyo.DJ awe na adabu asifikiri yupo Casino na libenzi lake na Konyagi.
Pole Ndugu,
Yaonekana dhahiri kuwa umepungukiwa uwezo wa kuelewa hoja iliyopo, matokeo yake washindwa kabisa kujibu wala kujenga hoja imara.
Sijui wanao watakuja kuwa wa sampuli gani.
Ee Mungu twakuomba uwaepushe na kurithi balaa hiyo.
 
Kwani mama yenu mpendwa alisemaje?ukimpinga mama unapigwa laana kama hiyo.DJ awe na adabu asifikiri yupo Casino na libenzi lake na Konyagi.
Pole Ndugu,
Yaonekana dhahiri kuwa umepungukiwa uwezo wa kuelewa hoja iliyopo, matokeo yake washindwa kabisa kujibu wala kujenga hoja imara.
Sijui wanao watakuja kuwa wa sampuli gani.
Ee Mungu twakuomba uwaepushe na kurithi balaa hiyo.
 
Wote bila shaka mmemsikia Mkuu wa jeshi la Polisi wa Tanzania Mtukufu IGP Simon Sirro , kauli yake hii ni sawa na kulazimisha mahakama kutenda ayanenayo.

Sirro anafahamu kwamba Sheria inakataza yaliyo Mahakamani kujadiliwa vijiweni , na hasa kama anayejadili ana maslahi kwenye kesi iliyo mahakamani , kama yeye Sirro alivyo na maslahi binafsi kwenye kesi hii , lakini ameamua kupuuza ili kumrahisishia maamuzi hakimu wao wanayemtumia kumkomoa Mbowe na Chadema.

Sirro anapaswa kuleta ushahidi wake Mahakamani , badala ya kupiga filimbi mitaani , OMARI MAHITA alikuwa IGP Ambaye rekodi yake ya ukatili haijavunjwa hadi leo , lakini baada ya kustaafu ALISHITAKIWA MAHAKAMANI KWA KESI YA KUMBAKA HOUSE GIRL WAKE MWENYEWE, NA KUMPACHIKA MIMBA KISHA KURUKA MATUNZO YA MTOTO , wala ccm aliyoipigania haikumuokoa kwenye aibu ile , nani aliyesahau jambo hili ? Sirro ajifunze kutenda haki ili asije kudhalilika huko mbele, Cheo ni dhamana ya muda mfupi tu .

Pamoja na Omari Mahita kujenga msikiti Morogoro lakini watukufu waislam wamekataa kuutumia ili kuogopa kunajisi udhu wao kwa kuswali kwenye msikiti wa katili aliyeiona ccm ni bora kuliko Allah Subhhannah.

Mwisho napendekeza kesi ya Mbowe ifutiliwe mbali kwa maana ni ya uongo , na IGP Sirro atimuliwe kazi kabla jua halijazama.

Vipi Chadema wanapotoka hadharani na kuongea kwenye press kwamba Mbowe si gaidi wakati kesi iko Mahakamani, hiyo ni sahihi kisheria? Je wao hawajatoa hukumu?
 
Back
Top Bottom