Nelson Kileo
JF-Expert Member
- Oct 29, 2011
- 3,053
- 3,259
Hii imekaaje wadau, Naona Jaji Mkuu amerudia maraa nyingi sana kuitambua Nafasi ya Makamo wa Rais wa Tanzania Bara kama Makamo wa pili ilhali tuna Nafasi Moja tu ya Makamo wa Raisi kwa Bara , Je matukio haya ni ya bahati mbaya ama alikua anakusudia na kuna Jambo ndani yake ?
Tizama hii[emoji1370]
-------
Tizama hii[emoji1370]
-------
Wasalaam,
Ni zaidi ya mara tano Jaji Mkuu wa Tanzania Profesa Ibrahim Juma Juma anatamka au kutaja kwa nafasi zao Makamu wa Rais kuwa Makamu wa pili wa Rais .
Je, Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tuna Makamu mmoja tu wa Rais ;
Kwa mjibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ibara 47.-(1) inasema; "Kutakuwa na Makamu wa Rais ambaye atakuwa
ndiye Msaidizi Mkuu wa Rais kuhusu mambo yote ya Jamhuri ya Muungano kwa jumla",
Sheria ya 1994Na.34 ib.1,
Sheria ya 2000Na.3 ib.9.
"MKAMU MMOJA
WA RAIS",
Katika hii video Profesa Ibrahim Juma Juma kwa nyakati tofauti amekuwa akimtaja Makamu wa Rais wa Tz kama Makamu wa pili wa Rais.
Amefanya hivyo kwa Rais Samia akiwa Makamu wa Rais wa Hayati Magufuli na amefanya hivyo kwa Dkt Isdor Mpango na kumtaja kuwa Makamu wa pili wa Rais.
Je ni ulimi kuteleza ?
Ni Makusudi
Au anajua sana Katiba na sheria zake mbona amekuwa akitaja bila woga?
Hii hapa video
View attachment 1979976