Stan Mashamba
JF-Expert Member
- Apr 22, 2020
- 3,183
- 2,479
Hii imekaaje wadau, Naona Jaji Mkuu amerudia maraa nyingi sana kuitambua Nafasi ya Makamo wa Rais wa Tanzania Bara kama Makamo wa pili ilhali tuna Nafasi Moja tu ya Makamo wa Raisi kwa Bara , Je matukio haya ni ya bahati mbaya ama alikua anakusudia na kuna Jambo ndani yake ?
Tizama hii[emoji1370]
Katiba hii haiheshimiwi. "A new constitution is needed".