Hii imekaaje wadau, Naona Jaji Mkuu amerudia maraa nyingi sana kuitambua Nafasi ya Makamo wa Rais wa Tanzania Bara kama Makamo wa pili ilhali tuna Nafasi Moja tu ya Makamo wa Raisi kwa Bara , Je matukio haya ni ya bahati mbaya ama alikua anakusudia na kuna Jambo ndani yake ?
Ni zaidi ya mara tano Jaji Mkuu wa Tanzania Profesa Ibrahim Juma Juma anatamka au kutaja kwa nafasi zao Makamu wa Rais kuwa Makamu wa pili wa Rais .
Je, Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tuna Makamu mmoja tu wa Rais ;
Kwa mjibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ibara 47.-(1) inasema; "Kutakuwa na Makamu wa Rais ambaye atakuwa
ndiye Msaidizi Mkuu wa Rais kuhusu mambo yote ya Jamhuri ya Muungano kwa jumla",
Sheria ya 1994Na.34 ib.1,
Sheria ya 2000Na.3 ib.9.
"MKAMU MMOJA
WA RAIS",
Katika hii video Profesa Ibrahim Juma Juma kwa nyakati tofauti amekuwa akimtaja Makamu wa Rais wa Tz kama Makamu wa pili wa Rais.
Amefanya hivyo kwa Rais Samia akiwa Makamu wa Rais wa Hayati Magufuli na amefanya hivyo kwa Dkt Isdor Mpango na kumtaja kuwa Makamu wa pili wa Rais.
Je ni ulimi kuteleza ?
Ni Makusudi
Au anajua sana Katiba na sheria zake mbona amekuwa akitaja bila woga?
Sio kweli. Marekebisho ya Katiba ya 1992 yaliyoruhusu Mfumo wa Vyama Vingi yalimuondoa Rais wa Zanzibar kama Makamu wa Rais. Sasa hivi anatambulika kama RAIS WA ZANZIBAR, MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI ZANZIBAR NA MJUMBE WA BARAZA LA MAWAZIRI LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.
Sio kweli. Marekebisho ya Katiba ya 1992 yaliyoruhusu Mfumo wa Vyama Vingi yalimuondoa Rais wa Zanzibar kama Makamu wa Rais. Sasa hivi anatambulika kama RAIS WA ZANZIBAR, MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI ZANZIBAR NA MJUMBE WA BARAZA LA MAWAZIRI LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.
Acha kupotosha, Rais wa Zanzibar anakuwa mjumbe wa baraza la mawaziri kwa nafasi yake kama rais wa Zanzibar yeye sio sawa na mawaziri wengine wa kisekta ambao ndio wapo chini ya Waziri Mkuu.
Na wakifuata rank anaanza Rais, Makamu wa rais, Rais wa Zanzibar na anayefuata ndio Waziri Mkuu.
Acha kupotosha, Rais wa Zanzibar anakuwa mjumbe wa baraza la mawaziri kwa nafasi yake kama rais wa Zanzibar yeye sio sawa na mawaziri wengine wa kisekta ambao ndio wapo chini ya Waziri Mkuu.
Na wakifuata rank anaanza Rais, Makamu wa rais, Rais wa Zanzibar na anayefuata ndio Waziri Mkuu.
Sio kweli. Marekebisho ya Katiba ya 1992 yaliyoruhusu Mfumo wa Vyama Vingi yalimuondoa Rais wa Zanzibar kama Makamu wa Rais. Sasa hivi anatambulika kama RAIS WA ZANZIBAR, MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI ZANZIBAR NA MJUMBE WA BARAZA LA MAWAZIRI LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.
Ni sawa. Lakini mwenye nchi kutoka Zenjibay kaona iwe hivyo! Tatizo liko wapi? Mbona haukuitishwa uchaguzi mkuu baada ya rais kufia madarakani kama tulivyofundishwa kwenye somo la uraia mashule baada ya mfumo wa vyama vingi? Bwai bwai!
Hii imekaaje wadau, Naona Jaji Mkuu amerudia maraa nyingi sana kuitambua Nafasi ya Makamo wa Rais wa Tanzania Bara kama Makamo wa pili ilhali tuna Nafasi Moja tu ya Makamo wa Raisi kwa Bara , Je matukio haya ni ya bahati mbaya ama alikua anakusudia na kuna Jambo ndani yake ?
Hakuna la ajabu hapo. Ni muendelezo wa viongozi duni tulionao. Utamuona mtu ni profesa kumbe shiiida! Walichojaliwa ni kukosa aibu ya kuzungumza kwenye hadhira.
Hii imekaaje wadau, Naona Jaji Mkuu amerudia maraa nyingi sana kuitambua Nafasi ya Makamo wa Rais wa Tanzania Bara kama Makamo wa pili ilhali tuna Nafasi Moja tu ya Makamo wa Raisi kwa Bara , Je matukio haya ni ya bahati mbaya ama alikua anakusudia na kuna Jambo ndani yake ?
Hatuna makamo wa rais bara mkuu, tuna makamo wa rais wa JMT naye kwa cheo hicho ni mmoja tu. Huyo aliemtambulisha vyinginevyo kafanya kimakosa. Rais wa SMK si makamo wa rais JMT kikatiba lakini ni mjumbe wa baraza la mawaziri wa JMT kwa nafasi yake.
Acha kupotosha, Rais wa Zanzibar anakuwa mjumbe wa baraza la mawaziri kwa nafasi yake kama rais wa Zanzibar yeye sio sawa na mawaziri wengine wa kisekta ambao ndio wapo chini ya Waziri Mkuu.
Na wakifuata rank anaanza Rais, Makamu wa rais, Rais wa Zanzibar na anayefuata ndio Waziri Mkuu.
Kasome katiba waziri anakuwaje juu ya waziri mkuu, kwani wametumia mjumbe was Baraza la mawaziri na sio rahisi wa Zanzibar, waziri mkuu majukumu yake kikatiba yameainishwa
Uko sahihi Mkuu. Lakini, out of good will, wakati wa vikao vya Baraza la Mawaziri, kulia kwa Rais akikaa Makamu wa Rais basi kushoto kwake anakaa Rais wa Zanzibar. The reverse is true.
Makamu wa Rais wa Jamnhuri ya Muungano wa Tanzania ni mmoja tu, Soma kifungu cha 47 cha Katiba.
Nanukuu vifungu vidogo vya kwanza: 47.-(1) Kutakuwa na Makamu wa Rais ambaye atakuwa
ndiye Msaidizi Mkuu wa Rais kuhusu mambo yote ya Jamhuri ya
Muungano kwa jumla, na hususan-
(a) atamsaidia Rais katika kufuatilia utekelezaji wa siku
hata siku za Mambo ya Muungano;
(b) atafanya kazi zote atakazoagizwa na Rais;
(c) atafanya kazi zote za Rais kama Rais hayuko kazini
au yuko nje ya nchi.
(2) Bila ya kuathiri masharti ya ibara ya 37(5), Makamu wa
Rais atapatikana kwa kuchaguliwa katika uchaguzi ule ule kwa
pamoja na Rais, baada ya kupendekezwa na chama chake
wakati ule ule anapopendekezwa mgombea kiti cha Rais na
watapigiwa kura kwa pamoja. Mgombea kiti cha Rais
akichaguliwa basi na Mahakmu wa Rais atakuwa amechaguliwa
Hii imekaaje wadau, Naona Jaji Mkuu amerudia maraa nyingi sana kuitambua Nafasi ya Makamo wa Rais wa Tanzania Bara kama Makamo wa pili ilhali tuna Nafasi Moja tu ya Makamo wa Raisi kwa Bara , Je matukio haya ni ya bahati mbaya ama alikua anakusudia na kuna Jambo ndani yake ?
CJ wetu siyo mtu makini na ile nafasi aliipata kwa itikadi ya ukanda. Japo ni mtu mwema kama binadamu na mwalimu mzuri wa sheria, lakini kuwa CJ ni mzigo mkubwa sana kwake.