Taratibu za Kimahakama hauzijui...tulia endelea kuwa nduzakwani Yeye Jaji Mugasha yupo chini ya Rais au Jaji Mkuu?
je huoni Jaji Mugasha alitakiwa kwanza ashauriani na Kiongozi wake ambaye ni Jaji Mkuu kisha Jaji Mkuu ndipo aishauri mamlaka ya juu?
Nawashauri acheni majungu na kufitinianaTaratibu za Kimahakama hauzijui...tulia endelea kuwa nduza
jaji kala kiapo kulinda na kusimamia sheria za nchi sio za Rais.mimi ni mwananchi Mkulima, sijui sheria ila nimesema kitendo cha Jaji Mugasha kuandika Barua kwa Rais kisha kuinakilisha ktk ofisi za chini ya Rais na kusambaza kwenye vyombo na mitandao je? huo sio utovu wa nidhamu?
je? huyo Jaji hakuwa na nafasi ya kuishauri mamlaka kwa njia nyingine? je alishindwa kukutana na Jaji Mkuu aliye ongezewa muda na kumshauri? hadi akaamua kuandika mabarua na kuyasambaza?
Je, kulikuwa na haja ya sisi wananchi kujua mawasiliano yao ya kiofisi?
Wewe ni nduza.Nawashauri acheni majungu na kufitiniana
Ukweli na uwazi una maana gani?
Kwani katiba imeanza kuvunjwa leo? wakati wa JPM kukataza mikutano ya kisiasa alikuwa wapi? wakati wabunge 19 bila chama wanaingizwa bungeni alikuwa wapi? wakati AG anatolewa alikuwa wapi? katiba ikikugusa wewe tu ndio anakumbuka kuna katiba. hawa wote ni walewale tuMbona Sinare aliteuliwa ubalozi aka kataa?
Chawa mmeshazoea uchawa akili mgando.
Huyo mama kwa umri wake asingetueliwa hiyo nafasi, na ametumia haki yake kikatiba kukumbusha kuwa katiba imevunjwa.
Hivi una fahamu kuwa hoja za Fatuma Karume zilikua na mashiko kuhusu A.G ila alikosea kuzi wasilisha?
Je ulitegemea kuna chawa yeyote ukiwemo wewe ange challenge uteuzi ule wa A.G?
Kenge bluu wewe.
Ana miaka mingapi ungesema hapa halafu tujadili. Huyo anataka hata akae mwaka tu kuna maslahi makubwa kuliko kukosa hata mwakaMbona Sinare aliteuliwa ubalozi aka kataa?
Chawa mmeshazoea uchawa akili mgando.
Huyo mama kwa umri wake asingetueliwa hiyo nafasi, na ametumia haki yake kikatiba kukumbusha kuwa katiba imevunjwa.
Hivi una fahamu kuwa hoja za Fatuma Karume zilikua na mashiko kuhusu A.G ila alikosea kuzi wasilisha?
Je ulitegemea kuna chawa yeyote ukiwemo wewe ange challenge uteuzi ule wa A.G?
Kenge bluu wewe.
Uungwana ni kitendo. Kitendo kama Cha jaji. Soma maelezo yake. Then, kaa kwa kutulia.unajua ukiwa mnafiki wa viwango vya juu, tambua iko siku mungu atakuumbua tu bila wewe kujua unacho kifanya kitakuwa na madhara au la.
Rais wetu ni mtu muungwana sana ila kuna baadhi ya viongozi wanataka kutumia uungwana wake kama udhaifu wa kumpelekesha!! lakini hawajui, kamwe usijaribu kumchezea mtu muungwana, au usijifanye mjuaji sana mbele ya mtu muungwana ukadhani hajui kitu!! utaadhirika bila kujua.
Badala ushauri watu waache kuvunja SheriaNawashauri acheni majungu na kufitiniana
soma kwa makini andiko langu, sina tatizo na maoni ya Jaji, anauhuru wa kutoa maoni yake lkn hoja yangu ni utaratibu alio utumia kama kiongozi wa umma.Uungwana ni kitendo. Kitendo kama Cha jaji. Soma maelezo yake. Then, kaa kwa kutulia.
Dogo huna akili ya kudadavuamimi ni mwananchi Mkulima, sijui sheria ila nimesema kitendo cha Jaji Mugasha kuandika Barua kwa Rais kisha kuinakilisha ktk ofisi za chini ya Rais na kusambaza kwenye vyombo na mitandao je? huo sio utovu wa nidhamu?
je? huyo Jaji hakuwa na nafasi ya kuishauri mamlaka kwa njia nyingine? je alishindwa kukutana na Jaji Mkuu aliye ongezewa muda na kumshauri? hadi akaamua kuandika mabarua na kuyasambaza?
Je, kulikuwa na haja ya sisi wananchi kujua mawasiliano yao ya kiofisi?
Ana miaka mitatu tuu kustaafu.Ana miaka mingapi ungesema hapa halafu tujadili. Huyo anataka hata akae mwaka tu kuna maslahi makubwa kuliko kukosa hata mwaka
Siamini kama huu upupu umeandika wewe...umesahau kuwa kipindi cha jiwe nyie wote mlikuwa chawa pro max!!!Kwani katiba imeanza kuvunjwa leo? wakati wa JPM kukataza mikutano ya kisiasa alikuwa wapi? wakati wabunge 19 bila chama wanaingizwa bungeni alikuwa wapi? wakati AG anatolewa alikuwa wapi? katiba ikikugusa wewe tu ndio anakumbuka kuna katiba. hawa wote ni walewale tu
Inabidi mtu awe na ujasiri wa uwendawazimu kuitetea katiba.Kitendo cha Jaji wa Mahakama ya Rufaa cha kuandika barua na kuzisambaza kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamii kuhusu au Kukosoa Kitendo cha Rais kumuongezea Jaji Mkuu muda wa kuendelea kuwepo kwenye kiti ni kitendo cha ukosefu wa nidhamu kwa mamlaka zilizo juu yake.
Kutoa maoni ni haki ya kila raia lakini inategemea maoni unyatoa wapi na kwa njia gani, Jaji Mugasha alipaswa aishauri mamlaka kwa njia sahihi sio hii aliyo itumia.
tunafahamu kuwa Jaji Stela Mugasha ni Jaji wa Mahakama ya Rufaa hivyo kwa nafasi yake ni kiongozi mkubwa tu ambaye yupo karibu na viongozi wa juu sasa kwa nini aliamua kuandika mabarua na kusambaza?!
kwahiyo lengo lake lilikuwa sio kujenga bali itatafsiriwa kuwa alilenga kubomoa na kudhalilisha mamlaka.
Jaji Stella Mugasha alikuwa nayo nafasi ya kumshauri hata Prof. Jaji Mkuu aliyepo kabla ya kusambaza mabarua yake.
Je? kulikuwa na haja ya kuandika baru kwa Mhe. Rais na kisha kutoa nakala kila ofisi ambazo zipo chini ya Rais?! Mugasha alikuwa na lengo gani?
wakati mwengine ukijifanya mjuaji sana unakuwa na Kiburi na dharau.
mimi ni mwananchi Mkulima, sijui sheria ila nimesema kitendo cha Jaji Mugasha kuandika Barua kwa Rais kisha kuinakilisha ktk ofisi za chini ya Rais na kusambaza kwenye vyombo na mitandao je? huo sio utovu wa nidhamu?
Je, kulikuwa na haja ya sisi wananchi kujua mawasiliano yao ya kiofisi?
Pia soma: Profesa Ibrahim Juma kuendelea kuwa Jaji Mkuu, Rais Samia anavunja Katiba ya JMT?
Sasa midogo hiyo? yeye akipata hiyo mitatu akija kustaafu ana staafu katika level nyingine kuwa mstaafu judge wa rufaa na judge kiongozi ni big different. Miaka mitatu mingi kwenye position hata miwili inatosha. mama wazi kakereka na hili personal sio kwa faida ya nchiAna miaka mitatu tuu kustaafu.
Hapana uko wrong nenda kwenye post zangu za wakati wa JPM labda 80% nilikuwa namshtumu sana na akifanya vizuri nilikuwa nampa sifa zake lakini sijawahi kukubali kuzuia mikutano wala sera zake za kiuchumi.Siamini kama huu upupu umeandika wewe...umesahau kuwa kipindi cha jiwe nyie wote mlikuwa chawa pro max!!!
Jaji ametimiza wajibu wake wa kikatiba wa checks and balances.Kitendo cha Jaji wa Mahakama ya Rufaa cha kuandika barua na kuzisambaza kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamii kuhusu au Kukosoa Kitendo cha Rais kumuongezea Jaji Mkuu muda wa kuendelea kuwepo kwenye kiti ni kitendo cha ukosefu wa nidhamu kwa mamlaka zilizo juu yake.
Kutoa maoni ni haki ya kila raia lakini inategemea maoni unyatoa wapi na kwa njia gani, Jaji Mugasha alipaswa aishauri mamlaka kwa njia sahihi sio hii aliyo itumia.
tunafahamu kuwa Jaji Stela Mugasha ni Jaji wa Mahakama ya Rufaa hivyo kwa nafasi yake ni kiongozi mkubwa tu ambaye yupo karibu na viongozi wa juu sasa kwa nini aliamua kuandika mabarua na kusambaza?!
kwahiyo lengo lake lilikuwa sio kujenga bali itatafsiriwa kuwa alilenga kubomoa na kudhalilisha mamlaka.
Jaji Stella Mugasha alikuwa nayo nafasi ya kumshauri hata Prof. Jaji Mkuu aliyepo kabla ya kusambaza mabarua yake.
Je? kulikuwa na haja ya kuandika baru kwa Mhe. Rais na kisha kutoa nakala kila ofisi ambazo zipo chini ya Rais?! Mugasha alikuwa na lengo gani?
wakati mwengine ukijifanya mjuaji sana unakuwa na Kiburi na dharau.
mimi ni mwananchi Mkulima, sijui sheria ila nimesema kitendo cha Jaji Mugasha kuandika Barua kwa Rais kisha kuinakilisha ktk ofisi za chini ya Rais na kusambaza kwenye vyombo na mitandao je? huo sio utovu wa nidhamu?
Je, kulikuwa na haja ya sisi wananchi kujua mawasiliano yao ya kiofisi?
Pia soma: Profesa Ibrahim Juma kuendelea kuwa Jaji Mkuu, Rais Samia anavunja Katiba ya JMT?