Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeshaosha vyombo lakini?Napenyezewa habari hapa kutoka Simba SC jikoni kuhusu maombi ya ajira ya ukocha Simba SC. Nimeambiwa mpaka jana kuna makocha 108 ndani na nje ya bara la Afrika wametupa maombi.
Kati ya makocha hao kocha Kaze wa Yanga SC naye ametuma maombi kujaribu habati yake. Wapo pia Mwinyi Zahera na Uchebe.
Kitendo cha huyo kocha wa Yanga kutaja kujiunga na wekundu mabingwa na timu tishio Afrika ni jambo zuri lakini limenishtua sana.
Tatizo liko wapi?
Hiyo ni ajira kama zilivyo ajira nyingine.
Maslahi mapana na mkataba mnono unaweza kumleta kocha yoyote, popote.
Njaa kali mshahara wa dola elfu 8,huyo kishingo tu mshahara wake ulikua aumfikii kaze,kaze hajaombea kutoka kwa wasanii wa south africa,alikua canada kwenye academy kakaTatizo yanga NJAA KALI
Njaa kali mshahara wa dola elfu 8,huyo kishingo tu mshahara wake ulikua aumfikii kaze,kaze hajaombea kutoka kwa wasanii wa south africa,alikua canada kwenye academy kaka
Ukimjua ndio inakuaje?senzo tu mmeshindwa kumuafford ndio kaze aje kwenu!gharib kadhamiria endeleeni tu na msanii wenu moNani kakwambia kaze ANALIPWA MSHAHARA wa Dola 8,000?
Ukimjua ndio inakuaje?senzo tu mmeshindwa kumuafford ndio kaze aje kwenu!gharib kadhamiria endeleeni tu na msanii wenu mo
Senzo yupi [emoji2] ndivyo mnavyodanganyana na mzungu pori wenuHuyo senzo mwenyewe KAKIMBIA YANGA.
NJAA KALI
Ajira ni ngumu kila mahali, chunga uliyonayoNapenyezewa habari hapa kutoka Simba SC jikoni kuhusu maombi ya ajira ya ukocha Simba SC. Nimeambiwa mpaka jana kuna makocha 108 ndani na nje ya bara la Afrika wametupa maombi.
Kati ya makocha hao kocha Kaze wa Yanga SC naye ametuma maombi kujaribu habati yake. Wapo pia Mwinyi Zahera na Uchebe.
Kitendo cha huyo kocha wa Yanga kutaja kujiunga na wekundu mabingwa na timu tishio Afrika ni jambo zuri lakini limenishtua sana.
Endelea kujidanganya tu Eti dola 8,000.Njaa kali mshahara wa dola elfu 8,huyo kishingo tu mshahara wake ulikua aumfikii kaze,kaze hajaombea kutoka kwa wasanii wa south africa,alikua canada kwenye academy kaka
Kama hutaki kachambie wembeEndelea kujidanganya tu Eti dola 8,000.
Sven mpaka anaondoka Simba ndio alikuwa kocha anaelipwa mshahara mkubwa Dollar 9,000 ( Mil 20 ).Kama hutaki kachambie wembe
Hapo kwenye 😻😻 senzo kamaanisha paka fcHuyo senzo mwenyewe KAKIMBIA YANGA.
NJAA KALI
Senzo yupi [emoji2] ndivyo mnavyodanganyana na mzungu pori wenu