Kitendo cha kocha wa Yanga, Cedric Kaze kuomba ajira Simba SC kimenishtua sana

Kitendo cha kocha wa Yanga, Cedric Kaze kuomba ajira Simba SC kimenishtua sana

Napenyezewa habari hapa kutoka Simba SC jikoni kuhusu maombi ya ajira ya ukocha Simba SC. Nimeambiwa mpaka jana kuna makocha 108 ndani na nje ya bara la Afrika wametupa maombi.

Kati ya makocha hao kocha Kaze wa Yanga SC naye ametuma maombi kujaribu habati yake. Wapo pia Mwinyi Zahera na Uchebe.

Kitendo cha huyo kocha wa Yanga kutaja kujiunga na wekundu mabingwa na timu tishio Afrika ni jambo zuri lakini limenishtua sana.
Umeshaosha vyombo lakini?
 
Nani kakwambia kaze ANALIPWA MSHAHARA wa Dola 8,000?
Njaa kali mshahara wa dola elfu 8,huyo kishingo tu mshahara wake ulikua aumfikii kaze,kaze hajaombea kutoka kwa wasanii wa south africa,alikua canada kwenye academy kaka
 
Napenyezewa habari hapa kutoka Simba SC jikoni kuhusu maombi ya ajira ya ukocha Simba SC. Nimeambiwa mpaka jana kuna makocha 108 ndani na nje ya bara la Afrika wametupa maombi.

Kati ya makocha hao kocha Kaze wa Yanga SC naye ametuma maombi kujaribu habati yake. Wapo pia Mwinyi Zahera na Uchebe.

Kitendo cha huyo kocha wa Yanga kutaja kujiunga na wekundu mabingwa na timu tishio Afrika ni jambo zuri lakini limenishtua sana.
Ajira ni ngumu kila mahali, chunga uliyonayo
 
Njaa kali mshahara wa dola elfu 8,huyo kishingo tu mshahara wake ulikua aumfikii kaze,kaze hajaombea kutoka kwa wasanii wa south africa,alikua canada kwenye academy kaka
Endelea kujidanganya tu Eti dola 8,000.
 
Endeleeni kujitekenya na kucheka wenyewe. Kipindi kile ilivyoshindikana mara ya kwanza kuja Yanga, Mikia walimfuata na hawakuweza kumchukua.
Sasa hivi ndiyo wataweza?
 

Attachments

  • 20210111_165505.jpg
    20210111_165505.jpg
    149.9 KB · Views: 1
Mikia bana.....

Kutwa kupika majungu tu....

Haya tumeshatangulia FAINALI....

Njooni na YULE PAKA WENU MWEUSI......
 
Back
Top Bottom