Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Paka hakucheza mechi ile na Platinum eee?!!
Basi nakukumbusha mlivyozidi uwanjani....mlikuwa 12....
Peupeee mchezaji wenu huyo aliachiwa acheze....
Akaitoa penalti ya Kapombe nje ya 18 na kuwanyima Platinum Yao....kubwa hatuwezi kubadili matokeo....ila mmeingia Katika historia kwa ZAWADI ILE.....
Msalimie SAHIBU YENU yule refa mtutsi wa pale GISENYI....
Alikua south hana hata wiki toka arudi
Utopolo tangia muanze kuvaa madera mmekuwa wambeyawambeyaPlatinum walikuwa 11...ninyi 12 mkiongozwa na yule mtutsi REFA kutoka Gisenyi.....
Paka alikuwa akihanikiza yasiyoeleweka huko nje....cha ajabu pale si sehemu ya kuuza vyakula...kumuona PAKA MWEUSI AKISHUSHWA NA MTU aliyevaa jezi nyekundu ni jambo la kutafakarisha....
Japo hauonekani...ila uchawi unabaki IMANI YA WATU WENGI WEUSI....
Nisalimie paka wenu na yule refa kutoka Rwanda.....
Anaelishangaa hilo la kuomba ajira, anachanganya kazi na ushabiki. Wachezaji na kocha ni waajiriwa, na ajira ni popote, mapenzi kwa club ni kwa mashabiki.Simba ni timu ya kimataifa.
Simba ni timu rahisi sana kupandisha credit/CV za kocha.
Simba ni timu inayoongozwa kisasa zaidi kwa East Africa.
Simba ni timu yenye sifa ya kuuza wachezaji nje ya nchi na wakafanya vizuri.
Makocha kama Kaze yamkini kabisa kuomba kazi kwenye klabu kubwa ya Simba, yenye mafanikio makubwa kwa nchi za SADC.
Hivi kishingo kwenda moroco inamaanisha simba njaa kali?Tatizo yanga NJAA KALI
Senzo kutoka simba kwenda yanga je?Tatizo yanga NJAA KALI
[emoji23][emoji23]jamii forum kuna watu mnajitia kujuaUlishawahi kujiuliza senzo anafanya kazi gani pale yanga?
Hivi kishingo kwenda moroco inamaanisha simba njaa kali?
Senzo kutoka simba kwenda yanga je?
[emoji23][emoji23]jamii forum kuna watu mnajitia kujua
Senzo kutoka simba kwenda yanga je?
Una uhusiano gani nae? aliwahi kukuambia anataka ofisi?Pale yanga hata ofisi HANAA.
Ila alipokuwa Simba alikuwa na ofisi ya CEO. Na alikuwa anafanya mikutano na body ya Simba
Alikuwa anaheshimika sanaa.
Ila Sasa hivi haeleweki ana cheo gani.
KWELI YANGA WACHAWI.
Una uhusiano gani nae? aliwahi kukuambia anataka ofisi?
Pale msimbazi jengo chafu kama lile kuna ofisi pale?sasaa kiongozi anafanyia kazi zake chini ya mti?
Pale msimbazi jengo chafu kama lile kuna ofisi pale?