Shujaa Mwendazake
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 4,016
- 6,759
Kwa elimu yetu ndogo ya uraia tulisomasoma kidogo kuhusu Equality Before the Law (The principle which requires a systematic rule of law that observes due process to provide equal justice, and requires equal protection ensuring that no individual nor group of individuals be privileged over others by the law.). Sitaki kwenda mbali nabaki hapo kwenye Rule of Law na pia kwenye "nor group of individuals be privileged over others"
Si kwamba nami mathibitisha kuwa Mbowe ni gaidi La hasha lakini hizi harakati za vyuoni ambazo mnazileta mpaka ukubwani siyo sawa na mnasumbua Taifa. Ni wazi kuwa hata ninyi hamuheshimu utawala wa Sheria . Utawala gani wa Sheria ambao mnaulilia sasa? Sote tunatambua kuwa "no one is guilty unless proven by the court" . Sasa mnasema yeye siyo Guilty tujiulize je ninyi ni mahakama? . Lakini mnavyokazania kwamba Mbowe si gaidi kwani nani amesema Mbowe ni gaidi ?.
Kitendo ch kumpa Mbowe privilege kuwa hastahili kushtakiwa kwa ugaidi si sawa kisheria na ni kinyume na dhana ya "Equality before the law" lakini pia tujiulize nani anajua Nyendo zote za Mbowe kiasi cha kumtetea namna hii. Ni kweli inafikirisha kuwa ukaribu wa Mbowe (kutokana na nafasi yake) kwa Viongozi mbalimbali na tuhuma zake ni kama haziingii akilini lakini kwani treason cases nyingi zinatokea mbali?, masterminds wa ugaidi na treasons wanatokaga mbali?
Kuchafua Kuta za watu haiwezi kuwa ushaidi wa Makosa ya Mbowe, Mpaka anashutumiwa na kukamatwa manake kuna Dalili za Makosa ya Ugaidi. Mnapaswa kutafuta Ushaidi wakisheria utkaaomtoa kwenye makosa au kusubiri ushahidi wa upande wa mashtake ili mpate kutengeneza hizo reasonable doubts na kumnasua. Lakini si kwa huu utopolo wakuchafua Kuta za Watu na Kuandamana kwenda Mahakamani huku mkichafua mitandao ya kijamii kwa jambo ambalo liko kwenye meza za kisheria.
Mnapaswa kuwa mfano wa vita ya katiba mnayopigania kwa maana ya kuwa "All people are equal under the law" . Kwani Freeman ni mtu wa kwanza kushtakiwa kwa makosa hayo au kwamba watanzania wengine wanaoshtakiwa ni wapumbavu?. Je Mnatufundisha nini mkishika dola. Viongozi wenu wa Chama wataguswa kweli na sheria?. Mbowe akiwa waziri mkuu akifanya kosa ataguswa kweli?. Mnawasema CCM kila siku kuwa hawaheshimu sheria lakini nanyi mnaonesha kuwa ni walewale. What went wrong?, sasa si ni bora hata ya ACT mnaowadharau!
Mnalaumu viongozi kuwa wanaingilia uhuru wa mahakama, Vipi hiki mnachokifanya ninyi siyo kuingilia uhuru wa mahakama?. Mlipaswa kupiga kelele za "JUSICE FOR MBOWE" na si kelele za "MBOWE SIYO GAIDI" na kuchorachora kuta za watu ambapo ni makosa pia kisheria.
Kesi ya Mbowe ni sensitive ndo maana mawakili waki HAWALIPUKI NA KAULI za hovyohovyo bali wanasubiri facts waanza kucounter na wala hakuwaambia mchorechore nyumba za na kuta za watu.
GROW UP CDM
Si kwamba nami mathibitisha kuwa Mbowe ni gaidi La hasha lakini hizi harakati za vyuoni ambazo mnazileta mpaka ukubwani siyo sawa na mnasumbua Taifa. Ni wazi kuwa hata ninyi hamuheshimu utawala wa Sheria . Utawala gani wa Sheria ambao mnaulilia sasa? Sote tunatambua kuwa "no one is guilty unless proven by the court" . Sasa mnasema yeye siyo Guilty tujiulize je ninyi ni mahakama? . Lakini mnavyokazania kwamba Mbowe si gaidi kwani nani amesema Mbowe ni gaidi ?.
Kitendo ch kumpa Mbowe privilege kuwa hastahili kushtakiwa kwa ugaidi si sawa kisheria na ni kinyume na dhana ya "Equality before the law" lakini pia tujiulize nani anajua Nyendo zote za Mbowe kiasi cha kumtetea namna hii. Ni kweli inafikirisha kuwa ukaribu wa Mbowe (kutokana na nafasi yake) kwa Viongozi mbalimbali na tuhuma zake ni kama haziingii akilini lakini kwani treason cases nyingi zinatokea mbali?, masterminds wa ugaidi na treasons wanatokaga mbali?
Kuchafua Kuta za watu haiwezi kuwa ushaidi wa Makosa ya Mbowe, Mpaka anashutumiwa na kukamatwa manake kuna Dalili za Makosa ya Ugaidi. Mnapaswa kutafuta Ushaidi wakisheria utkaaomtoa kwenye makosa au kusubiri ushahidi wa upande wa mashtake ili mpate kutengeneza hizo reasonable doubts na kumnasua. Lakini si kwa huu utopolo wakuchafua Kuta za Watu na Kuandamana kwenda Mahakamani huku mkichafua mitandao ya kijamii kwa jambo ambalo liko kwenye meza za kisheria.
Mnapaswa kuwa mfano wa vita ya katiba mnayopigania kwa maana ya kuwa "All people are equal under the law" . Kwani Freeman ni mtu wa kwanza kushtakiwa kwa makosa hayo au kwamba watanzania wengine wanaoshtakiwa ni wapumbavu?. Je Mnatufundisha nini mkishika dola. Viongozi wenu wa Chama wataguswa kweli na sheria?. Mbowe akiwa waziri mkuu akifanya kosa ataguswa kweli?. Mnawasema CCM kila siku kuwa hawaheshimu sheria lakini nanyi mnaonesha kuwa ni walewale. What went wrong?, sasa si ni bora hata ya ACT mnaowadharau!
Mnalaumu viongozi kuwa wanaingilia uhuru wa mahakama, Vipi hiki mnachokifanya ninyi siyo kuingilia uhuru wa mahakama?. Mlipaswa kupiga kelele za "JUSICE FOR MBOWE" na si kelele za "MBOWE SIYO GAIDI" na kuchorachora kuta za watu ambapo ni makosa pia kisheria.
Kesi ya Mbowe ni sensitive ndo maana mawakili waki HAWALIPUKI NA KAULI za hovyohovyo bali wanasubiri facts waanza kucounter na wala hakuwaambia mchorechore nyumba za na kuta za watu.
GROW UP CDM