- Thread starter
- #21
Lucas Mwashambwa anawaza tumbo lake tu!Haya ndo mambo ambayo CHAWA km Mwashambwa wangekuwa wanapigia kelele tena MBOZI ndo kwao kabisa, Yani ni the NYIA BOY lakini yeye utamkuta anabwabwaja mambo yasio ya msingi. Kusifia tu mambo ya hovyo hovyo wakati mambo nyeti km haya huwezi kumuona.