Kitendo cha kutengua maamuzi wafugwa wa kunyogwa ni cha kisiasa

Kitendo cha kutengua maamuzi wafugwa wa kunyogwa ni cha kisiasa

Huyu jiwe mpenda sifa alinikera Sana. Eti anadai hawezi kutia saini kunyonga watu 250. Lkn alileta mamluki toka Burundi kuuwa wazanzibar wakati wa uchaguzi mkuu.

Halafu haina maana kujimwambafai eti yy hataki kuwanyongwa wafungwa hao. Yeye siyo wa kwanza kutokunyonga. Marais wote waliopita hawakunyonga, lkn hawakuji-proud.

Nyerere ktk kipindi chake Cha urais Cha 23 aliwanyonga watu 3 tu. Marais wengine wote hawakunyonga mfungwa hata mmoja.

Huyu mpenda sifa anajipa sifa pasipo na sifa. Rubbish!!
Mh hizi records zako hapana.Mwinyi na Nyerere wamenyonga watu wengi tu.Ila Mkapa na Kikwete ndo hawakunyonga
 
Mkapan alinyonga wangapi? Kikwete alinyonga wangapi?

Wakati dunia inaendelea kukemea capital punishment wengine hapa wanatetea.
 
Nilisoma kwenye gazeti kwamba mkuu wetu hawezi kuuwa mtu hata waliohukumiwa kunyongwa. Tujue mpaka mtu ahukumiwe kunyogwa ni kwamba aliuwa binadamu mwingine au wengine. Kama ni kwa sababu ya dini basi upendo huo na katazo hilo basi lisingeishia kwenye wafugwa.

Kitendo cha Lissu kupigwa risasi na wanasema kwa maamuzi ya hao hao wanasema eti hawawezi kuwauwa wauaji! ni unafiki na kutafuta kupendwa kinafiki. Lakini ni unafiki hata kwa Mungu na Watanzania wanajua hilo. Wakati wa Mwinyi kuna wafugwa walinyogwa haina maana Mwinyi alikuwa hana upendo lakini alifuata maagizo ya mahakama na kuwatendea haki washitaki kama nafasi yake inavyo ruhusu. Lakini Mwinyi mzee mwenye upendo hajawahi kumpiga mwanasiasa, kuweka jela wala kutoa maagizo ya kumpiga mtu risasi kwasababu ni mashuhuri kuliko yeye!

Hivyo tusidanganyane vijana wanaita hizi ni kiki. Msishangae wanataka kubadilisha historia kwasababu tu ya upinzani na watu wamepedwa kuliko wao yaani ukipnda upinzani wanataka watoto wajue si uzalendo! kwasababu tu wana mawazo tofauti. Hao mabeberu tunaowaita mawazo tofauti ndiyo yamefanya watoto wao wawe wabunifu. Tutakuwa na vizazi ambayo havina ubunifu kama tutaanza kufundisha uongo ili tu wachache wakae madarakani.

Mkapa alinyonga wangapi? Kikwete alinyonga wangapi? Tuanzie hapo.
 
Nilisoma kwenye gazeti kwamba mkuu wetu hawezi kuuwa mtu hata waliohukumiwa kunyongwa. Tujue mpaka mtu ahukumiwe kunyogwa ni kwamba aliuwa binadamu mwingine au wengine. Kama ni kwa sababu ya dini basi upendo huo na katazo hilo basi lisingeishia kwenye wafugwa.

Kitendo cha Lissu kupigwa risasi na wanasema kwa maamuzi ya hao hao wanasema eti hawawezi kuwauwa wauaji! ni unafiki na kutafuta kupendwa kinafiki. Lakini ni unafiki hata kwa Mungu na Watanzania wanajua hilo. Wakati wa Mwinyi kuna wafugwa walinyogwa haina maana Mwinyi alikuwa hana upendo lakini alifuata maagizo ya mahakama na kuwatendea haki washitaki kama nafasi yake inavyo ruhusu. Lakini Mwinyi mzee mwenye upendo hajawahi kumpiga mwanasiasa, kuweka jela wala kutoa maagizo ya kumpiga mtu risasi kwasababu ni mashuhuri kuliko yeye!

Hivyo tusidanganyane vijana wanaita hizi ni kiki. Msishangae wanataka kubadilisha historia kwasababu tu ya upinzani na watu wamepedwa kuliko wao yaani ukipnda upinzani wanataka watoto wajue si uzalendo! kwasababu tu wana mawazo tofauti. Hao mabeberu tunaowaita mawazo tofauti ndiyo yamefanya watoto wao wawe wabunifu. Tutakuwa na vizazi ambayo havina ubunifu kama tutaanza kufundisha uongo ili tu wachache wakae madarakani.
Akili yako haina akili
 
Nilisoma kwenye gazeti kwamba mkuu wetu hawezi kuuwa mtu hata waliohukumiwa kunyongwa. Tujue mpaka mtu ahukumiwe kunyogwa ni kwamba aliuwa binadamu mwingine au wengine. Kama ni kwa sababu ya dini basi upendo huo na katazo hilo basi lisingeishia kwenye wafugwa.

Kitendo cha Lissu kupigwa risasi na wanasema kwa maamuzi ya hao hao wanasema eti hawawezi kuwauwa wauaji! ni unafiki na kutafuta kupendwa kinafiki. Lakini ni unafiki hata kwa Mungu na Watanzania wanajua hilo. Wakati wa Mwinyi kuna wafugwa walinyogwa haina maana Mwinyi alikuwa hana upendo lakini alifuata maagizo ya mahakama na kuwatendea haki washitaki kama nafasi yake inavyo ruhusu. Lakini Mwinyi mzee mwenye upendo hajawahi kumpiga mwanasiasa, kuweka jela wala kutoa maagizo ya kumpiga mtu risasi kwasababu ni mashuhuri kuliko yeye!

Hivyo tusidanganyane vijana wanaita hizi ni kiki. Msishangae wanataka kubadilisha historia kwasababu tu ya upinzani na watu wamepedwa kuliko wao yaani ukipnda upinzani wanataka watoto wajue si uzalendo! kwasababu tu wana mawazo tofauti. Hao mabeberu tunaowaita mawazo tofauti ndiyo yamefanya watoto wao wawe wabunifu. Tutakuwa na vizazi ambayo havina ubunifu kama tutaanza kufundisha uongo ili tu wachache wakae madarakani.
Maamuzi ya Rais sio ya kisiasa.
Amefanya jambo linalokubalika kisheria na katiba ya Nchi imempa Mamlaka hayo.
Kasome Ibara ya 45 alafu urudi hapa
 
Nilisoma kwenye gazeti kwamba mkuu wetu hawezi kuuwa mtu hata waliohukumiwa kunyongwa. Tujue mpaka mtu ahukumiwe kunyogwa ni kwamba aliuwa binadamu mwingine au wengine. Kama ni kwa sababu ya dini basi upendo huo na katazo hilo basi lisingeishia kwenye wafugwa.

Kitendo cha Lissu kupigwa risasi na wanasema kwa maamuzi ya hao hao wanasema eti hawawezi kuwauwa wauaji! ni unafiki na kutafuta kupendwa kinafiki. Lakini ni unafiki hata kwa Mungu na Watanzania wanajua hilo. Wakati wa Mwinyi kuna wafugwa walinyogwa haina maana Mwinyi alikuwa hana upendo lakini alifuata maagizo ya mahakama na kuwatendea haki washitaki kama nafasi yake inavyo ruhusu. Lakini Mwinyi mzee mwenye upendo hajawahi kumpiga mwanasiasa, kuweka jela wala kutoa maagizo ya kumpiga mtu risasi kwasababu ni mashuhuri kuliko yeye!

Hivyo tusidanganyane vijana wanaita hizi ni kiki. Msishangae wanataka kubadilisha historia kwasababu tu ya upinzani na watu wamepedwa kuliko wao yaani ukipnda upinzani wanataka watoto wajue si uzalendo! kwasababu tu wana mawazo tofauti. Hao mabeberu tunaowaita mawazo tofauti ndiyo yamefanya watoto wao wawe wabunifu. Tutakuwa na vizazi ambayo havina ubunifu kama tutaanza kufundisha uongo ili tu wachache wakae madarakani.

Kanywe maji, utulie halafu hasira ikipungua soma ulichoandika kisha kifanyie marekebisho muhimu.
Nashauri hivyo kwa sababu, mtu akisoma hapa, anaona hisia zaidi kuliko maudhui.
 
Halafu mtu ukimwambia kuwa wewe humkosoi Magufuli bali unamchukia,anakataa. Yani mtu hataki huyo Magufuli afanye lolote anataka aendelee kufanya mabaya ili azidi kumchukia na kumsema na watu wengine zaidi nao wamchukie,sasa huku sio kukosoa bali ni chuki.

Yani watu walikuwa wanyongwe wafe, ila kwa kuwa aliyetengua uamuzi huo wa kunyongwa ni Magufuli basi mtu hajapendezwa na huo uamuzi sababu tu umefanywa na Magufuli,ni kwamba bora wangenyogwa wale watu ili Magufuli azidi kuonekana mbaya na hicho ndio anachokipenda.

Njia rahisi tu bunge ni la chama kimoja ni rahisi kupeleka sheria ya kifo ikafutwa! Sio kuweka siasa. Kama Maraisi hawawezi kufuata sheria basi wabadilishe.
 
Yaani kwa mfano jitu linachoma moto bweni la shule na kuua watoto halafu unajifanya eti una huruma sana?

Ina Maana Magufuli ana huruma kuliko Mungu kwenye biblia na Kuruani aliyeweka adhabu ya kifo?

Ina maana Magufuli anajifanya mwingi wa rehma kuliko Mungu?
Shida kubwa MUNGU anasema neno moja tu USIUE. Kwa njia yoyote hutakiwi uue. MTU anayekujia ili AKUUE huyo inabidi KUJILINDA kwa njia yoyote ikiwa pamoja ikishindikana kumwua. Hapa hakuna neno. Hao waliohukumiwa wengine wamesingiziwa. Yule mfungwa aliyetolewa baada ya miaka 18 marais wangekuwa wametoa ruhusa wanyongwe si angekuwa amekufa kwa uonevu? Ametoka na kusema wako wenzake wengi waliohukumiwa kifo na hawamjui hata waliemwua. HALI hii ukiwa rais huna haja ya kuidhinisha hukumu kwa vile kuna huo uonevu. Sijui ni nini lakini nasikia ukishikwa wanakubandikia murder unaunganishwa kwenye kesi ambayo huijui. FIKIRIA HUYU ALIYETOKA ALIUNGANISHWA VIPI KTK KESI ILE NDIO UJUE HAKUNA HAJA YA KUTOA VIBALI VYA KUNYONGWA. Mfungwa aliyenyongwa anajutaje alilofanya?
 
Nilisoma kwenye gazeti kwamba mkuu wetu hawezi kuuwa mtu hata waliohukumiwa kunyongwa. Tujue mpaka mtu ahukumiwe kunyogwa ni kwamba aliuwa binadamu mwingine au wengine. Kama ni kwa sababu ya dini basi upendo huo na katazo hilo basi lisingeishia kwenye wafugwa.

Kitendo cha Lissu kupigwa risasi na wanasema kwa maamuzi ya hao hao wanasema eti hawawezi kuwauwa wauaji! ni unafiki na kutafuta kupendwa kinafiki. Lakini ni unafiki hata kwa Mungu na Watanzania wanajua hilo. Wakati wa Mwinyi kuna wafugwa walinyogwa haina maana Mwinyi alikuwa hana upendo lakini alifuata maagizo ya mahakama na kuwatendea haki washitaki kama nafasi yake inavyo ruhusu. Lakini Mwinyi mzee mwenye upendo hajawahi kumpiga mwanasiasa, kuweka jela wala kutoa maagizo ya kumpiga mtu risasi kwasababu ni mashuhuri kuliko yeye!

Hivyo tusidanganyane vijana wanaita hizi ni kiki. Msishangae wanataka kubadilisha historia kwasababu tu ya upinzani na watu wamepedwa kuliko wao yaani ukipnda upinzani wanataka watoto wajue si uzalendo! kwasababu tu wana mawazo tofauti. Hao mabeberu tunaowaita mawazo tofauti ndiyo yamefanya watoto wao wawe wabunifu. Tutakuwa na vizazi ambayo havina ubunifu kama tutaanza kufundisha uongo ili tu wachache wakae madarakani.
Well said. Wako wapi Azory, Ben Saanane na chupuchupu Lissu? Nani kaua? Tuache kiki za kipuuzi.
 
Tatizo nyie mnawasikiliza sana wanasiasa..ulizeni askari walioko pale Gereza la Isanga Dodoma kama unapita mwezi bila watu kula kitanzi.sio Jiwe,kikwete wala watangulizi wao ambao hawajanyonga watu...huku kwenye makamera wanawaongopea tu..
 
Lakini inakuwa fundisho. Kungekuwa kuna kunyongwa kwa wauwaji hata mauaji yangepungua.
Kumnyonga binadamu hadi afe sio kitu kidogo kiboboso
Pamoja na kwamba ni sheria lakini watekelezaji ni binadamu wenye imani zao na mioyo☺
 
Kama huwezi kuuwa basi huwezi kuwa Amiri Jeshi mkuu maana unapoliamiri Jeshi kwenda vitani, unawapeleka wanajeshi kwenda kuuwa watu. Simple as that.
 
Tatizo nyie mnawasikiliza sana wanasiasa..ulizeni askari walioko pale Gereza la Isanga Dodoma kama unapita mwezi bila watu kula kitanzi.sio Jiwe,kikwete wala watangulizi wao ambao hawajanyonga watu...huku kwenye makamera wanawaongopea tu..
Amini kwambaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Yani huwaga nakuwa mgumu sana kuamini kuwaa watu hawanyongwiii...!!
 
Mimi nampongeza hata kama maamuzi yake yalikuwa ya kinafiki. Nikuambie tu. Hukumu ya kunyoga haimfanyi aliyeua kupata funzo
Si kila adhabu hutolewa ili kumfunza mkosaji...adhabu nyingine hutolewa ili iwe funzo kwa wengine...mkosaji unakua tu case study,unatolewa sadaka ili ipatikane jamii safi...na ndo mana makosa mengi yana minimum and maximum sentences... unajua kwanini?
 
Mimi nampongeza hata kama maamuzi yake yalikuwa ya kinafiki. Nikuambie tu. Hukumu ya kunyoga haimfanyi aliyeua kupata funzo
hivi hujiulizi kwanini SIRIKALE imeweka sheria ya hukumu ya kunyongwa ujinyee mpaka ufeee au ndio utopolo wa lumumba unakusumbua kwenye makalio maana nsikia akili zenu zimikimbilia HUKO
 
Hii nchi tangu ilivyoingia mikataba ya kimataifa ya haki za binadamu hukumu ya kunyongwa mpaka kufa ilikua haitekelezwi badala yake mtu aliyehukumiwa hivyo alikua anakaa kusubiri sahihi ya raisi ambayo haiwezi kuja kutokana na hiyo mikataba.

So mtu hujikuta amekaa kifungo cha maisha.

Nyerere na Mwinyi labda na Mkapa kwa mbali ndiyo waliwahi kutia sahihi za hukumu ya kunyongwa mpaka kufa. So Magufuli amefanya rasmi ambacho wenzake walikua wanakifanya kwa usiri.

Tunavyokua tunalilia haki za binadamu lazima tujue nini na nini vinakuja na hiyo package.
Ukiongelea haki za binadamu unageneralize sana...ongelea death penalty na uonyeshe ni wapi na lini Tanzania imeiondoa hiyo adhabu ya kifo? hivi vitu so vya siri...tusiweke conspiracy kwenye kila kitu...Art 14 ya CURT inaonyesha kila kitu kuhusu hilo.

Hao Marekani wenyewe bado wanatekeleza adhabu ya kifo.
 
Njia rahisi tu bunge ni la chama kimoja ni rahisi kupeleka sheria ya kifo ikafutwa! Sio kuweka siasa. Kama Maraisi hawawezi kufuata sheria basi wabadilishe.
Hata wewe hapa unaleta siasa,mambo ya bunge kuwa chama kimoja yamekujaje?ndio maana nasema tatizo hapa ni magufuli na si suala la kutofuata sheria wala nini kwa sababu hata angewanyonga bado angeonekana ameweza kutekeleza sheria hiyo bila tabu kwa sababu anajulikana ni muuwaji kama kawaida.

Kumchukia mtu ambaye huwezi kumfanya kitu ni kujitia stress tu.
 
Ukiongelea haki za binadamu unageneralize sana...ongelea death penalty na uonyeshe ni wapi na lini Tanzania imeiondoa hiyo adhabu ya kifo? hivi vitu so vya siri...tusiweke conspiracy kwenye kila kitu...Art 14 ya CURT inaonyesha kila kitu kuhusu hilo.

Hao Marekani wenyewe bado wanatekeleza adhabu ya kifo.
Wewe jamaa mimi siandiki conspiracy. Hizo ishu zinafundishwa madarasani.

Wapi hujaelewa?

Mbona sijakataa kwamba watu hawahukumiwi? Nilichosema ambacho ndicho hali halisi ni kwamba utekelezaji hua haufanywi badala yake aliyehukumiwa hukaa for life.

Kitu rahisi kama hicho unataka kukianzishia ubishi?

Marekani hawatekelezi hiyo adhabu. Kuna majimbo yanatekeleza na mengine hayatekelezi.

Sadam Hussein kesi yake iliendeshwa Marekani ila adhabu ikatolewa ikatekelezwe Iraq. Kwanini? Kwasababu Marekani akiwa kama advocate wa Human Rights ingemuwekea picha mbaya kuitekeleza ile adhabu kwenye ardhi yake.
 
Back
Top Bottom