Uchaguzi 2020 Kitendo cha kuzima mitandao ya kijamii kitawagharimu kura nyingi sana CCM

Tulia dogo, Kama taifa hatuoni shida na chochote kile Robert Amsterdam na kundi lake la mashoga na mabeberu watasema, tunachojari ni kutoruhusu vijana wetu ambayo Wana mtindio wa ubongo kupokea maelekezo ya kifedhuri kuvunja Sheria na sisi kulazimika kuwaumiza vijana wetu Hawa! Tutaendelea kuwalinda vijana wetu wasiojitambua wasijefanya wasiyatambua!
Pia kumbuka uchaguzi wa 2015 tulikuwa hatujaletewa msukule wa mabeberu live Kama ilivyo Sasa kwa Kuwa tulikuwa hatujayakanyaga maslahi yao! Ulinzi wa nchi yetu ni muhimu kuliko maneno yao!
 
Groups za WhatsApp za uchaguzi zinahaha , lol
 
Na inawezekana mitandao ndio imefikia mwisho wake kabisa.

Kama mtakumbuka vizuri,kuna kauli iliwahi kutolewa ya kuomba malaika ashuke azime mitandao.Naona ombi limesikiwa na bila shaka jambo hili ndio limefanyika na hatutarudi kama tulivyozoea.
 
CCM kama imeweza kuzima mtandao na una uhakika basi tutazima ngebe zenu kesho na mtafyata mkia
Na hizi kampuni za simu ccm .zitayarishe kurudisha data zitu kama zilivyo kuwa walipo tuzimia .vinginevyo tutawashitaki kwa kula njama na ccm kutuibia pesa zetu Kununulia data .we fikiria data za elfu mara labda watu milioni 3 = ni Bilioni 3 .wajitayarishe
 
On the point mkuu.
the same na Ofisini kwetu kazi kuanzia jana zimesimama Internet Akuna,
kwasababu ya kujinga na upumbavu wa Genge la watu wachache wenye lengo la kuivuruga hii Inchi.
Nasema hivi Kura yangu aitakwenda bure lazima JIWE tumtoe madarakani.
 
Nasema hivi tukimuacha JIWE Aendelee kuiongoza hii Inchi kwa mara nyengine tena ,Wallah watanzania tumekwisha.
 
L
Hongera Sana jf kweli huu Ni mtambo mkubwa Sana ....

App imegoma funguka lakin on-line ( Google) imekubali madini Kama kawa
 
WhatSapp, you tube vyote vimepigwa pin
 
Hapo kenya ni chama gani kina grassroots
 
Hata Mimi nashangaa mbona apps za google YouTube na Instagram hazifanyi kazi kabisa nikadhani ni Mimi tu kumbe imezimwa. Hapo nimeelewa.
 
Shoga anapigia kura shoga! Kitundu na wanaompigia kura mnajijua acha kubwabwaja! Vidume hatuendekezi ujuha huo, warembo tunao wa kuitisha! Ww na mashoga wenzio mtasubiri Sana! JPM ndio mpango mzima 5tena!
muuaji hana lake kwenye sanduku la kura,ategemee huruma za nec
 
Na inawezekana mitandao ndio imefikia mwisho wake kabisa.

Kama mtakumbuka vizuri,kuna kauli iliwahi kutolewa ya kuomba malaika ashuke azime mitandao.Naona ombi limesikiwa na bila shaka jambo hili ndio limefanyika na hatutarudi kama tulivyozoea.
This is worse towards coward Magufuli.
 
Wamefungia mpaka google map. Nimeenda kulipiza kwenye kura yangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…