Kitendo cha Lema na Familia yake kupewa Asylum Canada kinaashiria Taifa limeanza kutengeneza wakimbizi wa kisiasa, jambo ambalo halina afya

Tupunguze chuki/jazba, maana kwenye uheshimiwa hata wewe umo. Tukiondoa nafasi aliyokuwa nayo Lema kiuongozi, bado anaingia kwenye kundi la waheshimiwa wananchi ukiwemo na wewe.
Labda kwa mantiki hiyo, ila kwa mantiki ya heshima ya ziada big no
 
Peleka utoto mbali, kwahiyo kila anayedaiwa leo akienda ubalozi wa Canada atapewa ukimbizi wa kisiasa? Uza ubongo ubongo huo dogo, maana ni hasara kuendelea kukaa nao.
Mtu akikusoma maandishi yako anaelewa shida yako
 
Maneno meengi kumbe mashudu matupu
 
Amekimbia madeni yake yaliyosomwa bungeni ya milioni zaidi ya 400?

Lema unazidi kuwachafua zaidi wachaga, dawa ya deni ni kulipa siyo kukimbia na kujifanya mkimbizi feki, sasa umekimbilia kwa wazungu watakupa kazi ya kuosha vibibi na vibabu.
Alikukopa wewe?
 
jamani maisha ya ukimbizi sio mazuri imeandikwa hapo eti Lema amekwenda uhamishoni nani aliyemuhamisha? Yeye amekwenda ukimbizini hana tofauti na wale Warundi waliopo Kasulu. Dr. Slaa sio mkimbizi huyu wetu atafikia kambini
Acha tu akapumzike huku mbele.
Huyu jamaa ameteseka sana katika maisha yake.
Alifungwa bila hatia,Gambo angemsumbua sana.
 
Canada ndio mahali pekee huku duniani pa kuishi,ajira zipo nyingi sana.
Na ndo sehemu ambayo karibia raia wote ni wahamiaji,hakuna kufuatiliana.
Rejea wahindi wote walifukuzwa Uganda na IDD Amini wrote waikimbilia canada.
Aslimia 30 ya madereva taxii no wakikuyu toka Kenya.
Miguna miguna ni RAIA Wa Canada.
 
Huenda kweli Bw Lema "kapenyeza rupia kwenye uzia" lakini ni nani wa kulaumiwa?.

Huenda Lema tayari alishaona hakuna mustakabali wowote baada ya kupoteza "chakula"......huenda pia anakimbia madeni n.k. Lakini kwa wakati huu tulionao wala siwezi kushangaa kama Lema ameweza kuwathibitishia "Wanaojali" bila shaka kuwa maisha yake na familia yake yapo hatarini.
 
mawazo alikuwa rafik wa lema sasa yupo wap? nazan ametishwa na kuogopa kutokana na vitendo walivyotendewa kina mawazo,azory,iringa kule mwandishi,tundu mchana kweupe, arusha kule wenyevit wadogo , wale waliokuwa wanapotea lkn nazan kaogopa tu ....lkn pia ni muhim achukue hatua kujilinda maana adui hatabilik kujiokoa pia n haki ya kila mtu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…