0Mkuu,
Your thread is emotionally polarized.
Wewe mpaka unaandika huu uzi uko Tanzania au nje ya Tanzania ?
Kama uko ndani ya Tanzania, je kuna mazingira hayo unayodai yamefanikisha huyo mtu wako kupata hadhi ya ukimbizi?
Hao wasomi unaodai waishauri serikali kutumia rejea ipi iliyothibitishwa na mamlaka halali za kitaifa na kimataifa?
Kupata hifadhi kwenye nchi kama Kanada (Quebec/Ottawa) ni mkakati wa kiuchumi kwa kuwa wawekezaji wengi wa madini ambao mikataba yao iligundulika kuwa ilikuwa ya kitapeli wanatokea huko (Reference Barrick Gold Mines & Associates).
Lema anauzandiki mkubwa sana yuko tayari kuuza utu, hadhi ya nchi ili mradi apate mali kwa yeyote.
Siasa huwa ni vichaka vya watu wenye historia mbaya, tabia mbovu na ukosefu wa maadili kwa baadhi yao kukimbilia huko kama kinga ya maovu yao.
Tambua uhalifu wote chanzo chake ni wanasiasa hasa wanaharakati ( Study on criminality, criminology and & crimes Source)
Mleta mada huyo aliyekimbia ni mwenzio kwa kumbukumbu tulizonazo hivyo amekutuma kupima joto la kisiasa litaashiria kitu gani kwa wananchi . The methodology you have agreed on to surface through a vagued political barometer survey shall not sustain teh status quo.
Huyo yumo kwenye mnyororo wa mamluki, usaliti na pandiki uasi dhidi ya nchi yake kwa kisingizio hawakubaliani na kiongozi wa nchi aliyeko madarakani kutokana na kudhibitiwa utukutu wao. Any elect regime that comes to power through the citizens endorsement and performs in accordance with teh citizen will he shall stay until such time.....so do not stir up panic among the good people of the lovely Tanzania and strangers enjoying its gracious haven peace.