Kitendo cha Lema na Familia yake kupewa Asylum Canada kinaashiria Taifa limeanza kutengeneza wakimbizi wa kisiasa, jambo ambalo halina afya

Kitendo cha Lema na Familia yake kupewa Asylum Canada kinaashiria Taifa limeanza kutengeneza wakimbizi wa kisiasa, jambo ambalo halina afya

Kumbuka ni juzi tu wamelipwa "kiinua mgongo" ukisema amefulia sijaelewa
Kiinua mgongo kilipe deni milioni 400 sijui na mambo yake mengine sidhani km inatosha, au huwa wanalipwa kiasi gani?
 
Upo umuhimu wa wasomi na wataalam wetu kuliangalia ili suala kwa macho mapana na kuishauri serikali. Tusione Canada wanatoa hifadhi kwa Watanzania tukakaa kimya, tujiulize tumefikaje hapa?

Ikumbuke kwa mujibu wa sheria za kimataifa ukimbizi ni hadhi unayopata baada ya wataalam kukaa na kujiridhisha kwamba unastahili.

Kama lema na familia yake wamekubaliwa hifadhi ni udhibitisho kwamba wamepita kwenye mchujo nakufauli, wameweka ushahidi nakuishawishi Canada kuwapokea. Familia yake itaishi kwa raha na watoto watasoma vizuri zaidi ya hapa ila kila siku kwa maika dahari ya Taifa letu watabaki kusomwa kwenye hiztoria ya Taifa letu Kama tunavyowasoma akina Kambona.

Tujitafakari mara nyingine Tena, Tanzania si sehemu salama? Kama Ni sehemu salama kwanini marafiki zetu wa muda mrefu Canada wanautangazia Ulimwengu kwamba tuna wakimbizi wakisiasa? Tujadiliane nao tulifute doa ili na lema na familia yake warejee nchini kuendelea na siasa.

Tulizoea haya kutokea kwa majirani zetu na tuliyakemea ikiwemo viongozi wetu waandamizi kushiriki kuwarejesha nchini kwao wakimbizi wakisiasa...tunalo jukumu lakufuta sifa hii mbaya iliyomea na inayostawi.

Wabunge wengi wa Upinzani ukiachia wachache ambao walikubali kujiuza kirahisi kwa kuwa mawakala wakiwa ndani kama kina Silinde ....hawa wengine ambao wengine wamelazimika kuunga mkono juhudi Mioyo yao ina madonda makubwa sana , siku wakifungua mdomo wa matendo na vitisho walivyopitia watu wataumia sana .......sio wote wanaoamua kuunga mkono juhudi ...wamesaliti , wako wengi tu wamefanya hivyo kuepuka vitisho na kusalimisha roho zao .....kuna simulizi za kutisha ....
Sasa jiulize mtu aliyepitia mambo magumu kama Lema ikiwemo kupigwa ,kudhalilishwa, kufungwa gerezani karibu mwaka mzima na mengine safari hii ni jambo gani zito ambalo limemtokea akashindwa kulibeba hadi kuamua kukimbia nchi , unajua kukimbia nchi sio jambo rahisi , kuacha familia kwa maana ya ukoo wake , ndugu, jamaa na marafiki ....hasa kwa mtu ambaye pesa ndogo ndogo za kula hazikupi tabu, hakuna kitu kigumu kama kuishi ugenini ... hivyo ni bora hata hawa waliohama , hata hao wanaitwa convid tuwape staha ...iko siku hizi simulizi zote zitakuwa hadharani ya mambo yaliyotendeka ndani ya kipindi hiki kufupi .....we will need truth and reconcilliation to set us free.
 
Upo umuhimu wa wasomi na wataalam wetu kuliangalia ili suala kwa macho mapana na kuishauri serikali. Tusione Canada wanatoa hifadhi kwa Watanzania tukakaa kimya, tujiulize tumefikaje hapa?

Ikumbuke kwa mujibu wa sheria za kimataifa ukimbizi ni hadhi unayopata baada ya wataalam kukaa na kujiridhisha kwamba unastahili.

Kama lema na familia yake wamekubaliwa hifadhi ni udhibitisho kwamba wamepita kwenye mchujo nakufauli, wameweka ushahidi nakuishawishi Canada kuwapokea. Familia yake itaishi kwa raha na watoto watasoma vizuri zaidi ya hapa ila kila siku kwa maika dahari ya Taifa letu watabaki kusomwa kwenye hiztoria ya Taifa letu Kama tunavyowasoma akina Kambona.

Tujitafakari mara nyingine Tena, Tanzania si sehemu salama? Kama Ni sehemu salama kwanini marafiki zetu wa muda mrefu Canada wanautangazia Ulimwengu kwamba tuna wakimbizi wakisiasa? Tujadiliane nao tulifute doa ili na lema na familia yake warejee nchini kuendelea na siasa.

Tulizoea haya kutokea kwa majirani zetu na tuliyakemea ikiwemo viongozi wetu waandamizi kushiriki kuwarejesha nchini kwao wakimbizi wakisiasa...tunalo jukumu lakufuta sifa hii mbaya iliyomea na inayostawi.
Aliyekwenda huko ana historia ya uhalifu.

Waliompokea nao wana historia ya kutuibia rasilimali zetu.

Wakizungumza lugha moja hakuna wa kiwazuia lakini hawatoweza kututenda kwa sababu mwanga hufukuza giza
 
Mamluki wa nchi wote wataondoka tubaki tujenge nchi..huyu si alikuwa anatuambia sie wafuasi ni heri tufe tukitafuta haki kuliko kuishi miaka mia tukiwa tumekaa..ye mbona kashindwa kutafuta haki yake mwenyewe kaamua kwenda kuishi ugenini akiwa amekaa..
 
Upo umuhimu wa wasomi na wataalam wetu kuliangalia ili suala kwa macho mapana na kuishauri serikali. Tusione Canada wanatoa hifadhi kwa Watanzania tukakaa kimya, tujiulize tumefikaje hapa?

Ikumbuke kwa mujibu wa sheria za kimataifa ukimbizi ni hadhi unayopata baada ya wataalam kukaa na kujiridhisha kwamba unastahili.

Kama lema na familia yake wamekubaliwa hifadhi ni udhibitisho kwamba wamepita kwenye mchujo nakufauli, wameweka ushahidi nakuishawishi Canada kuwapokea. Familia yake itaishi kwa raha na watoto watasoma vizuri zaidi ya hapa ila kila siku kwa maika dahari ya Taifa letu watabaki kusomwa kwenye hiztoria ya Taifa letu Kama tunavyowasoma akina Kambona.

Tujitafakari mara nyingine Tena, Tanzania si sehemu salama? Kama Ni sehemu salama kwanini marafiki zetu wa muda mrefu Canada wanautangazia Ulimwengu kwamba tuna wakimbizi wakisiasa? Tujadiliane nao tulifute doa ili na lema na familia yake warejee nchini kuendelea na siasa.

Tulizoea haya kutokea kwa majirani zetu na tuliyakemea ikiwemo viongozi wetu waandamizi kushiriki kuwarejesha nchini kwao wakimbizi wakisiasa...tunalo jukumu lakufuta sifa hii mbaya iliyomea na inayostawi.
0Mkuu,

Your thread is emotionally polarized.

Wewe mpaka unaandika huu uzi uko Tanzania au nje ya Tanzania ?

Kama uko ndani ya Tanzania, je kuna mazingira hayo unayodai yamefanikisha huyo mtu wako kupata hadhi ya ukimbizi?

Hao wasomi unaodai waishauri serikali kutumia rejea ipi iliyothibitishwa na mamlaka halali za kitaifa na kimataifa?

Kupata hifadhi kwenye nchi kama Kanada (Quebec/Ottawa) ni mkakati wa kiuchumi kwa kuwa wawekezaji wengi wa madini ambao mikataba yao iligundulika kuwa ilikuwa ya kitapeli wanatokea huko (Reference Barrick Gold Mines & Associates).

Lema anauzandiki mkubwa sana yuko tayari kuuza utu, hadhi ya nchi ili mradi apate mali kwa yeyote.

Siasa huwa ni vichaka vya watu wenye historia mbaya, tabia mbovu na ukosefu wa maadili kwa baadhi yao kukimbilia huko kama kinga ya maovu yao.

Tambua uhalifu wote chanzo chake ni wanasiasa hasa wanaharakati ( Study on criminality, criminology and & crimes Source)

Mleta mada huyo aliyekimbia ni mwenzio kwa kumbukumbu tulizonazo hivyo amekutuma kupima joto la kisiasa litaashiria kitu gani kwa wananchi . The methodology you have agreed on to surface through a vagued political barometer survey shall not sustain teh status quo.

Huyo yumo kwenye mnyororo wa mamluki, usaliti na pandiki uasi dhidi ya nchi yake kwa kisingizio hawakubaliani na kiongozi wa nchi aliyeko madarakani kutokana na kudhibitiwa utukutu wao. Any elect regime that comes to power through the citizens endorsement and performs in accordance with teh citizen will he shall stay until such time.....so do not stir up panic among the good people of the lovely Tanzania and strangers enjoying its gracious haven peace.
 
Vipindi viwili amekuwa mbunge na pension nono plus mishahara mil 12 kila mwezi halafu akose cha kula.
Unaweza kuta wewe unaeongea hivyo ni wale vijana wanaosubiri ajira.
Dogo mie sio kijana kama wewe
 
Kiinua mgongo kilipe deni milioni 400 sijui na mambo yake mengine sidhani km inatosha, au huwa wanalipwa kiasi gani?
Kama alikuwa na deni la milioni 400 kama unavyosema maana yake ni kwamba alikopa akawekeza,maana huwezi kukopa kiasi hicho cha pesa ukaenda "kuzitumbua" na kama aliwekeza amefuliaje?
 
Ukimbizi wanajitengenezea wenyewe, mbona huo Ubalozi wa Canada haukumuuliza Lema kipindi akiwa jambazi wa kuiba magari aliua watu wangapi kama kweli kafanyiwa veting ya kutosha kabla ya kupewa hifadhi ya ukimbizi?
Serikali ya CCM dhaifu sana, kwanini ilimuacha aue watu na kuiba magari.
 
Usiamini kiki za wanasiasa hawa kakimbia baada ya kukosa ajira ya ubunge, angekimbia mbowe ningeshituka kidogo ila huyu kakimbia madeni tuu yake.
 
Vibaraka wote wasepe,kwa staili yoyote ile wanayoona inafaa basi wasepe.
 
Yeah kakimbia madeni milioni mia 400 angezilipaje kwa usawa huu

Ingekuwa ni deni Canada wasingempa ukimbizi wa kisiasa, ili wakupe ukimbizi wa kisiasa lazima wajiridhishe na ushahidi wako. Je wangempa ukimbizi kwa kukimbia deni? Ukisikia propaganda mfu na ww unazivaa kichwa kichwa, na kuona unajua kupoteza watu maboya.
 
Kama alikuwa na deni la milioni 400 kama unavyosema maana yake ni kwamba alikopa akawekeza,maana huwezi kukopa kiasi hicho cha pesa ukaenda "kuzitumbua" na kama aliwekeza amefuliaje?
Huwezi kuwekeza kiasi chote hicho ukahama nchi. Alizitumbua hana kitu
 
Ingekuwa ni deni Canada wasingempa ukimbizi wa kisiasa, ili wakupe ukimbizi wa kisiasa lazima wajiridhishe na ushahidi wako. Je wangempa ukimbizi kwa kukimbia deni? Ukisikia propaganda mfu na ww unazivaa kichwa kichwa, na kuona unajua kupoteza watu maboya. Shubamiit.
Akae huko huko, nchi haijapoteza chochote maisha yanaendelea. CCM oyee
 
Back
Top Bottom