Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hivi mnafikiri hao wazungu ni wajinga sana?
Wazungu wanajua kila kitu, isitoshe wana mabalozi wao hapa, kwahiyo kama kuna hali mbaya hawahitaji kinca Lema wakimbie ndio wajue kuna hali mbaya.
Wanajua kabisa kwamba hao kina Lema wanaenda tu kula bata baada ya kushindwa ubunge ila kwamba kuna hali mbaya au la, wanajionea wenyewe.
Kwa taarifa yako hao wazungu mpaka wakupe ukimbizi lazima wajiridhishe na vielelezo vyako. Huyo Lema kapata ukimbizi maana ana ushahidi wa kutosha na ambao hata sisi tunaujua. Siasa zetu ndani ya hii miaka mitano wote tumeziona, uonevu na unyanyasaji kwa wapinzani uko wazi.
Na kwa kukusaidia tu ni kuwa Lema kaula, watoto wake watapata elimu nzuri, yeye na mkewe watapata kazi zinazowalipa kuliko wangekaa hapa. Yaani kakutana na bonge la neema ya kimaisha.