Kitendo cha Lema na Familia yake kupewa Asylum Canada kinaashiria Taifa limeanza kutengeneza wakimbizi wa kisiasa, jambo ambalo halina afya

Kitendo cha Lema na Familia yake kupewa Asylum Canada kinaashiria Taifa limeanza kutengeneza wakimbizi wa kisiasa, jambo ambalo halina afya

Upo umuhimu wa wasomi na wataalam wetu kuliangalia hili suala kwa macho mapana na kuishauri serikali. Tusione Canada wanatoa hifadhi kwa Watanzania tukakaa kimya, tujiulize tumefikaje hapa?

Ikumbuke kwa mujibu wa sheria za kimataifa ukimbizi ni hadhi unayopata baada ya wataalam kukaa na kujiridhisha kwamba unastahili.

Kama lema na familia yake wamekubaliwa hifadhi ni udhibitisho kwamba wamepita kwenye mchujo na kufaulu, wameweka ushahidi nakuishawishi Canada kuwapokea. Familia yake itaishi kwa raha na watoto watasoma vizuri zaidi ya hapa ila kila siku kwa maika dahari ya Taifa letu watabaki kusomwa kwenye hiztoria ya Taifa letu Kama tunavyowasoma akina Kambona.

Tujitafakari mara nyingine Tena, Tanzania si sehemu salama? Kama Ni sehemu salama kwanini marafiki zetu wa muda mrefu Canada wanautangazia Ulimwengu kwamba tuna wakimbizi wakisiasa? Tujadiliane nao tulifute doa ili na lema na familia yake warejee nchini kuendelea na siasa.

Tulizoea haya kutokea kwa majirani zetu na tuliyakemea ikiwemo viongozi wetu waandamizi kushiriki kuwarejesha nchini kwao wakimbizi wakisiasa. Tunalo jukumu lakufuta sifa hii mbaya iliyomea na inayostawi.
Lema anakimbia kivuli chake mwenyewe.
angalia mbona Mdee, Bulaya, Matiko, Sugu, Mbilinyi, Msigwa na Mbowe wote hao bado wapo hapahapa Tanzania na wanaendelea na mishemishe zao bila tatizo?
wanachama wote wa chadema tupo nchini tunaendelea na shughuli za ujenzi wa taifa letu bila bugudha. tupo nyumbani salama salimini.
Lema rudi nyumbani huna sifa za kuitwa mkimbizi wakati wanachama wenzio tupo hapa Arusha tunajenga nchi salama salimini
 
Upo umuhimu wa wasomi na wataalam wetu kuliangalia hili suala kwa macho mapana na kuishauri serikali. Tusione Canada wanatoa hifadhi kwa Watanzania tukakaa kimya, tujiulize tumefikaje hapa?

Ikumbuke kwa mujibu wa sheria za kimataifa ukimbizi ni hadhi unayopata baada ya wataalam kukaa na kujiridhisha kwamba unastahili.

Kama lema na familia yake wamekubaliwa hifadhi ni udhibitisho kwamba wamepita kwenye mchujo na kufaulu, wameweka ushahidi nakuishawishi Canada kuwapokea. Familia yake itaishi kwa raha na watoto watasoma vizuri zaidi ya hapa ila kila siku kwa maika dahari ya Taifa letu watabaki kusomwa kwenye hiztoria ya Taifa letu Kama tunavyowasoma akina Kambona.

Tujitafakari mara nyingine Tena, Tanzania si sehemu salama? Kama Ni sehemu salama kwanini marafiki zetu wa muda mrefu Canada wanautangazia Ulimwengu kwamba tuna wakimbizi wakisiasa? Tujadiliane nao tulifute doa ili na lema na familia yake warejee nchini kuendelea na siasa.

Tulizoea haya kutokea kwa majirani zetu na tuliyakemea ikiwemo viongozi wetu waandamizi kushiriki kuwarejesha nchini kwao wakimbizi wakisiasa. Tunalo jukumu lakufuta sifa hii mbaya iliyomea na inayostawi.
Hata kenya wapo usihofu, jambazi la kuiba Magari usisahau
 
Hahudumiwi kila kitu maana sio mlemavu, anachotaka ni usalama wake na uhakika wa maisha yake. Na huko Canada vyote hivyo vipo kuliko akiwa hapa. Yeye sio Mbowe, kama Mbowe yuko salama hilo sio jukumu lake.
Haya ni vzr kafanikiwa alichokuwa anakitaka.
 
Lema anakimbia kivuli chake mwenyewe.
angalia mbona Mdee, Bulaya, Matiko, Sugu, Mbilinyi, Msigwa na Mbowe wote hao bado wapo hapahapa Tanzania na wanaendelea na mishemishe zao bila tatizo?
wanachama wote wa chadema tupo nchini tunaendelea na shughuli za ujenzi wa taifa letu bila bugudha. tupo nyumbani salama salimini.
Lema rudi nyumbani huna sifa za kuitwa mkimbizi wakati wanachama wenzio tupo hapa Arusha tunajenga nchi salama salimini
Wizi wa Magari Arusha unamkimbiza
 
Mkuu,

This quoted clause is derogatory to persevere "...Kawaambie mafala wa huko vijijini......."

Are you serious as a Chadema addict to insult the people living in the villages that are 'fools' to be able to discern what is written in the mining contrcats entered between teh state and elaborative investors.

Thuis is too pathetic and you are still desirously struggling to convince them support your bourgeoise activism?

If you are fed up with Tanzania you are not in sanctions therefore you better pack off and migrate to your favorable destination as soon as practicable at which you can continue spitting the hatred for futility.

Nasema hivi, katafute mafala ndio uwaambie huu utoto unaouongea hapa. Lema ameamua kwenda mahali ambapo atakuwa salama na kuendesha maisha yake kwa ubora. Siko Tanzania kwa bahati mbaya wala kwa hisani ya kiongozi yoyote, hivyo nikitaka nitaondoka kwa utashi wangu na kurejea siku na saa yoyote. Lakini Lema kaenda Canada kulinda usalama wake na kuendesha maisha yake kiuhakika.

Ww kawatafute hao wenzio mnaopakia VX za umma kwa kodi za wanaume, muulizane nani alisaini mikataba ya madini, na mlisaini nini fullstop.
 
Kwa hiyo wewe unaamini hakuna vitisho dhidi ya uhai wake?
Why yeye tu na sio Mbowe, mnyika, halima na wengine? Lissu lazima aogope kwasababu ya yale yaliyomtokea tusimuongelee sana ila Lema hana lolote ni kutafuta attention na urahisi wa maisha.
 
Amekimbia madeni yake yaliyosomwa bungeni ya milioni zaidi ya 400?

Lema unazidi kuwachafua zaidi wachaga, dawa ya deni ni kulipa siyo kukimbia na kujifanya mkimbizi feki, sasa umekimbilia kwa wazungu watakupa kazi ya kuosha vibibi na vibabu.
Inauma Sana ndugu yako wa damu taifa moja kukukejeli hivi katikati ya shida zako.Wakati mwingine tusiwachukie wanaoiombea serikali mabaya they have reasons including this.
 
Why yeye tu na sio Mbowe, mnyika, halima na wengine? Lissu lazima aogope kwasababu ya yale yaliyomtokea tusimuongelee sana ila Lema hana lolote ni kutafuta attention na urahisi wa maisha.
Swali lako linawafaa uliowataja, na wala si mimi.
 
Amekimbia madeni yake yaliyosomwa bungeni ya milioni zaidi ya 400?

Lema unazidi kuwachafua zaidi wachaga, dawa ya deni ni kulipa siyo kukimbia na kujifanya mkimbizi feki, sasa umekimbilia kwa wazungu watakupa kazi ya kuosha vibibi na vibabu.

Ukizingatia kichwani kwake "This is a book" HAKUNA.
 
Upo umuhimu wa wasomi na wataalam wetu kuliangalia hili suala kwa macho mapana na kuishauri serikali. Tusione Canada wanatoa hifadhi kwa Watanzania tukakaa kimya, tujiulize tumefikaje hapa?

Ikumbuke kwa mujibu wa sheria za kimataifa ukimbizi ni hadhi unayopata baada ya wataalam kukaa na kujiridhisha kwamba unastahili.

Kama lema na familia yake wamekubaliwa hifadhi ni udhibitisho kwamba wamepita kwenye mchujo na kufaulu, wameweka ushahidi nakuishawishi Canada kuwapokea. Familia yake itaishi kwa raha na watoto watasoma vizuri zaidi ya hapa ila kila siku kwa maika dahari ya Taifa letu watabaki kusomwa kwenye hiztoria ya Taifa letu Kama tunavyowasoma akina Kambona.

Tujitafakari mara nyingine Tena, Tanzania si sehemu salama? Kama Ni sehemu salama kwanini marafiki zetu wa muda mrefu Canada wanautangazia Ulimwengu kwamba tuna wakimbizi wakisiasa? Tujadiliane nao tulifute doa ili na lema na familia yake warejee nchini kuendelea na siasa.

Tulizoea haya kutokea kwa majirani zetu na tuliyakemea ikiwemo viongozi wetu waandamizi kushiriki kuwarejesha nchini kwao wakimbizi wakisiasa. Tunalo jukumu lakufuta sifa hii mbaya iliyomea na inayostawi.
Tusitafute mchawi. Jibu ni rahisi na wazi: Hakuna haki na Uhuru katika nchi yetu kwa sasa. Watawala na kundi linalowashabikia wanafanya lolote wanalotaka. Ref: Uchafuzi wa 28 October 2020 na yanayoendelea baada ya hapo.
 
Back
Top Bottom