Kitendo cha Lema na Familia yake kupewa Asylum Canada kinaashiria Taifa limeanza kutengeneza wakimbizi wa kisiasa, jambo ambalo halina afya

Kitendo cha Lema na Familia yake kupewa Asylum Canada kinaashiria Taifa limeanza kutengeneza wakimbizi wa kisiasa, jambo ambalo halina afya

Upo umuhimu wa wasomi na wataalam wetu kuliangalia hili suala kwa macho mapana na kuishauri serikali. Tusione Canada wanatoa hifadhi kwa Watanzania tukakaa kimya, tujiulize tumefikaje hapa?

Ikumbuke kwa mujibu wa sheria za kimataifa ukimbizi ni hadhi unayopata baada ya wataalam kukaa na kujiridhisha kwamba unastahili.

Kama lema na familia yake wamekubaliwa hifadhi ni udhibitisho kwamba wamepita kwenye mchujo na kufaulu, wameweka ushahidi nakuishawishi Canada kuwapokea. Familia yake itaishi kwa raha na watoto watasoma vizuri zaidi ya hapa ila kila siku kwa maika dahari ya Taifa letu watabaki kusomwa kwenye hiztoria ya Taifa letu Kama tunavyowasoma akina Kambona.

Tujitafakari mara nyingine Tena, Tanzania si sehemu salama? Kama ni sehemu salama kwanini marafiki zetu wa muda mrefu Canada wanautangazia Ulimwengu kwamba tuna wakimbizi wakisiasa? Tujadiliane nao tulifute doa ili na lema na familia yake warejee nchini kuendelea na siasa.

Tulizoea haya kutokea kwa majirani zetu na tuliyakemea ikiwemo viongozi wetu waandamizi kushiriki kuwarejesha nchini kwao wakimbizi wakisiasa. Tunalo jukumu lakufuta sifa hii mbaya iliyomea na inayostawi.
Ndiyo lengo kubwa la CCM
 
Upo umuhimu wa wasomi na wataalam wetu kuliangalia hili suala kwa macho mapana na kuishauri serikali. Tusione Canada wanatoa hifadhi kwa Watanzania tukakaa kimya, tujiulize tumefikaje hapa?

Ikumbuke kwa mujibu wa sheria za kimataifa ukimbizi ni hadhi unayopata baada ya wataalam kukaa na kujiridhisha kwamba unastahili.

Kama lema na familia yake wamekubaliwa hifadhi ni udhibitisho kwamba wamepita kwenye mchujo na kufaulu, wameweka ushahidi nakuishawishi Canada kuwapokea. Familia yake itaishi kwa raha na watoto watasoma vizuri zaidi ya hapa ila kila siku kwa maika dahari ya Taifa letu watabaki kusomwa kwenye hiztoria ya Taifa letu Kama tunavyowasoma akina Kambona.

Tujitafakari mara nyingine Tena, Tanzania si sehemu salama? Kama ni sehemu salama kwanini marafiki zetu wa muda mrefu Canada wanautangazia Ulimwengu kwamba tuna wakimbizi wakisiasa? Tujadiliane nao tulifute doa ili na lema na familia yake warejee nchini kuendelea na siasa.

Tulizoea haya kutokea kwa majirani zetu na tuliyakemea ikiwemo viongozi wetu waandamizi kushiriki kuwarejesha nchini kwao wakimbizi wakisiasa. Tunalo jukumu lakufuta sifa hii mbaya iliyomea na inayostawi.
Ila mimi naamini hadi Pepso mbaya aliyetua 2015 atakapotoweka ndipo tutapata fursa ya kujadili tulipokosea.
 
Unawatukana askari wetu ee?
Lema alikuwa mwizi na askari wetu walishimdwa kumtia hatiani. Vipi wewe bwana.

Wacha porojo zako
Walishindwaje na mtu mmoja tena Lema hasimu wa watawala? Husomeki unajua?
 
Ukimbizi wanajitengenezea wenyewe, mbona huo Ubalozi wa Canada haukumuuliza Lema kipindi akiwa jambazi wa kuiba magari aliua watu wangapi kama kweli kafanyiwa veting ya kutosha kabla ya kupewa hifadhi ya ukimbizi?
Naona mlikuwa na Lema mkiiba magari, utafutwe ili ueleze mlikuwa mnayauza wapi?
 
0Mkuu,

Your thread is emotionally polarized.

Wewe mpaka unaandika huu uzi uko Tanzania au nje ya Tanzania ?

Kama uko ndani ya Tanzania, je kuna mazingira hayo unayodai yamefanikisha huyo mtu wako kupata hadhi ya ukimbizi?

Hao wasomi unaodai waishauri serikali kutumia rejea ipi iliyothibitishwa na mamlaka halali za kitaifa na kimataifa?

Kupata hifadhi kwenye nchi kama Kanada (Quebec/Ottawa) ni mkakati wa kiuchumi kwa kuwa wawekezaji wengi wa madini ambao mikataba yao iligundulika kuwa ilikuwa ya kitapeli wanatokea huko (Reference Barrick Gold Mines & Associates).

Lema anauzandiki mkubwa sana yuko tayari kuuza utu, hadhi ya nchi ili mradi apate mali kwa yeyote.

Siasa huwa ni vichaka vya watu wenye historia mbaya, tabia mbovu na ukosefu wa maadili kwa baadhi yao kukimbilia huko kama kinga ya maovu yao.

Tambua uhalifu wote chanzo chake ni wanasiasa hasa wanaharakati ( Study on criminality, criminology and & crimes Source)

Mleta mada huyo aliyekimbia ni mwenzio kwa kumbukumbu tulizonazo hivyo amekutuma kupima joto la kisiasa litaashiria kitu gani kwa wananchi . The methodology you have agreed on to surface through a vagued political barometer survey shall not sustain teh status quo.

Huyo yumo kwenye mnyororo wa mamluki, usaliti na pandiki uasi dhidi ya nchi yake kwa kisingizio hawakubaliani na kiongozi wa nchi aliyeko madarakani kutokana na kudhibitiwa utukutu wao. Any elect regime that comes to power through the citizens endorsement and performs in accordance with teh citizen will he shall stay until such time.....so do not stir up panic among the good people of the lovely Tanzania and strangers enjoying its gracious haven
Utakuwa ujawahi kuishi Tanzania wewe Kama ungekua tz usingeandika hii kivuli.
 
Maneno ya kijinga kabisa haya na ni maneno ya mtu aliyetumwa kuchafua.Unfortunately yupo,na yupo for the next five years,and there is nothing you can do,so you better join him.
... or seek asylum like Lema, right?
 
Mwandishi ameleta hoja Malini,baada ya watu kujadili hoja wanaanzia kumponda aliezungumziwa,mbona tunatoka nje ya hoja? Kwa Nini tusijadili hoja? Tunakwama wapi?
 
Ukimbizi wanajitengenezea wenyewe, mbona huo Ubalozi wa Canada haukumuuliza Lema kipindi akiwa jambazi wa kuiba magari aliua watu wangapi kama kweli kafanyiwa veting ya kutosha kabla ya kupewa hifadhi ya ukimbizi?
Aliiba magari ya mjomba wako? Wivu hautakufanya ufike hata 0.0001%t ya maisha ya Lema kamwe.

Hayo magari aliyoiba mbona police hawakuwahi kumkamata?
 
Amekimbia madeni yake yaliyosomwa bungeni ya milioni zaidi ya 400?

Lema unazidi kuwachafua zaidi wachaga, dawa ya deni ni kulipa siyo kukimbia na kujifanya mkimbizi feki, sasa umekimbilia kwa wazungu watakupa kazi ya kuosha vibibi na vibabu.
Ni bora kuliko angebaki huku usalama wake ukawa mashakani.
Usalama kwanza ndg mengine baadae
 
Aliiba magari ya mjomba wako? Wivu hautakufanya ufike hata 0.0001%t ya maisha ya Lema kamwe.

Hayo magari aliyoiba mbona police hawakuwahi kumkamata?
Kujibishana na mjinga we ndo utaonekana una mapungufu achana nae huyo
 
Ukimbizi wanajitengenezea wenyewe, mbona huo Ubalozi wa Canada haukumuuliza Lema kipindi akiwa jambazi wa kuiba magari aliua watu wangapi kama kweli kafanyiwa veting ya kutosha kabla ya kupewa hifadhi ya ukimbizi?
Kwa hiyo Tanzania tulikubali tuwe na mbunge, waziri kivuli jambazi?! Mahakama ipi ilithibitisha hili?
 
Amekimbia madeni yake yaliyosomwa bungeni ya milioni zaidi ya 400?

Lema unazidi kuwachafua zaidi wachaga, dawa ya deni ni kulipa siyo kukimbia na kujifanya mkimbizi feki, sasa umekimbilia kwa wazungu watakupa kazi ya kuosha vibibi na vibabu.
Wachagga wanaingiaje hapo mbwa wewe.
 
Back
Top Bottom