Kitendo cha mabeberu kufungasha na ongezeko la utitiri wa kodi

Kitendo cha mabeberu kufungasha na ongezeko la utitiri wa kodi

Beatrice Kamugisha

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2019
Posts
762
Reaction score
6,984
Mwaka 2021 umeanza kwa kutangazwa kodi au tozo ambazo awali hazikuwepo. Tumesikia ukaguzi wa magari, garama za kuagiza magari zimepanda mara mia, tozo katika bidhaa nyingi za nje nk.

Hii inaashiria vyanzo vya mapato vilivyomo nchini vikilinganishwa na miradi tunayoanzisha nakusimamia vinakinzana. Gharama za miradi zipo juu kuliko uwezo wetu wa kukusanya. Misaada nayo imeshuka kutokana na covid na diplomasia yetu ya kimataifa kukosa mwelekeo na mtu sahihi wakuisimamia.

Tunachokwenda kuvuna huko tuendako ni ongezeko la watu wasio na ajira kwa sababu sekta binafsi inakwenda kudidimia....Bora Kodi ndogo inayolipwa na watu wengi kuliko kutegemea Kodi kubwa inayolipwa na watu wachache, Wizara ya fedha irudi kwenye maltiplier effects zitokanazo na kila transaction yakibiashara nchini.
 
😂😂 uchumi wakati
cc8e35321b9b4f9e8dfa954dcc528303.jpg
 
Umeongea ukweri mtupu ndugu yangu na msema kweri Ni mpenzi wa Mungu,

Awamu ya Tano ilivyoanza wafanya BIASHARA tulitandikwa watumishi wakawa wanacheka, baada ya mda Rungu likawashukia, Sasa naona imerudi Kama ilivyoanza WAFANYABIASHARA tunatandikwa trip ya pili, wakimaliza wanawarudia wafanyakazi,

MAJI TUTAYAITA MAA...

CCM HOYEE,
 
Mwaka 2021 umeanza kwa kutangazwa kodi au tozo ambazo awali hazikuwepo. Tumesikia ukaguzi wa magari, garama za kuagiza magari zimepanda mara mia, tozo ya gari ndogo zinazosafirisha maiti, tozo katika bidhaa nyingi za nje nk.

Hii inaashiria vyanzo vya mapato vilivyomo nchini vikilinganishwa na miradi tunayoanzisha nakusimamia vinakinzana. Gharama za miradi zipo juu kuliko uwezo wetu wa kukusanya. Misaada nayo imeshuka kutokana na covid na diplomasia yetu ya kimataifa kukosa mwelekeo na mtu sahihi wakuisimamia.

Tunachokwenda kuvuna huko tuendako ni hongezeko la watu wasio na ajira kwa sababu sekta binafsi inakwenda kudidimia....Bora Kodi ndogo inayolipwa na watu wengi kuliko kutegemea Kodi kubwa inayolipwa na watu wachache, Wizara ya fedha irudi kwenye maltiplier effects zitokanazo na kila transaction yakibiashara nchini.
Serikali lazima itoze kodi ili iweze kufikia malengo yake ya kuwatumikia Watanzania. Tozo za magari kila mwaka hata ulaya zipo, huwezi kuwa na gari barabarani ambalo halijaangaliwa kwamba lipo imara kuwa barabarani na ni salama, kila mwaka unless lina miaka mitatu tangu liwe jipya vinginevyo kila mwaka lazima likaguliwe na mwenye gari alipie ukaguzi huo kila mwaka. (Ulitaka nani alipie wakati wewe ndiye unatumia hilo gari?) Tmechoka na ajai ambazo hazina mkia.

Nchi haiwezi kutegemea misaada, kwani Watanzania wote ni vilema? Nchi inatakiwa ijiwezeshe yenyewe hatuna mjomba huko nje wa kutusaidia.

Sekta binafsi ilijisahau kwa kufikiria ni lazima Serikali iwape unafuu kufanya shughuli zao. Je, kama sekta binafsi inataka kodi nafuu inafikiria Serikali itapata wapi fedha za kujiendesha? Je, ni nani alipe hiyo gharama? Tanzania ina watu millioni 60 na ushee hatuwezi kuwa wakinga bakuli!

Ni lazima kila sekta ilipe kodi, wafanyakazi wanakatwa kila mwezi kwa nini wafanya biashara wanafikiri wao ni muhimu zaidi kuliko wengine? Kila mahali watu ni lazima walipe kodi stahiki bila kupepesa macho. Nchi haitaendelea kwa sababu kuna watu au kikundi ambacho kinafikiri lazima kihurumiwe kulipa kodi.
 
Serikali lazima itoze kodi ili iweze kufikia malengo yake ya kuwatumikia Watanzania. Tozo za magari kila mwaka hata ulaya zipo, huwezi kuwa na gari barabarani ambalo halijaangaliwa kwamba lipo imara kuwa barabarani na ni salama, kila mwaka unless lina miaka mitatu tangu liwe jipya vinginevyo kila mwaka lazima likaguliwe na mwenye gari alipie ukaguzi huo kila mwaka. (Ulitaka nani alipie wakati wewe ndiye unatumia hilo gari?) Tmechoka na ajai ambazo hazina mkia.

Nchi haiwezi kutegemea misaada, kwani Watanzania wote ni vilema? Nchi inatakiwa ijiwezeshe yenyewe hatuna mjomba huko nje wa kutusaidia.

Sekta binafsi ilijisahau kwa kufikiria ni lazima Serikali iwape unafuu kufanya shughuli zao. Je, kama sekta binafsi inataka kodi nafuu inafikiria Serikali itapata wapi fedha za kujiendesha? Je, ni nani alipe hiyo gharama? Tanzania ina watu millioni 60 na ushee hatuwezi kuwa wakinga bakuli!


Ni lazima kila sekta ilipe kodi, wafanyakazi wanakatwa kila mwezi kwa nini wafanya biashara wanafikiri wao ni muhimu zaidi kuliko wengine? Kila mahali watu ni lazima walipe kodi stahiki bila kupepesa macho. Nchi haitaendelea kwa sababu kuna watu au kikundi ambacho kinafikiri lazima kihurumiwe kulipa kodi.
Mkuu, umejieleza vizuri. Wanacholalamikia wafanyabiashara ni fairness katika makadirio kulingana na ukubwa au udogo wa biashara. Rais wa Zanzibar Dr. Mwinyi amelisemea hili last week.
Kuna wimbi kubwa la " business shifting" nchini ambalo kwa miaka ya nyuma halijawahi kutokea. Wenye biashara rasmi na zenye kutozwa kodi wanafunga na kuhamia kulima nyanya ambayo haina kodi, pita Dodoma utajua ninachosema! Soko la mitamba wa ngombe wa maziwa limeongezeka, watu wanashift kuanza kufuga au kufanya ambavyo havina direct kodi au kodi ni kidogo.
Kuna haja ya kupunguza kodi naadhi ya maeneo,kuongeza motisha wa ufunguaji biashara nyingi zotakazozalisha walipa kodi wengi!
 
Kodi za kibiashara zenye mitaji mikubwa Tanzania ni rafiki mno, labda kama unamsikiliza Tundu Lissu au usumbufu wanaopata hapa na pale wenye hizi biashara kutoka kwa wanasiasa clueless katika kuwapangia business strategy zao.

Vinginevyo kiuhalisia mabeberu wanaangalia capital allowances zilizopo (hayo magari na mashine wanazoingiza kwa sababu ya biashara wenzako they claim that cost back over time before paying their income taxes), kuna rebate on incomes losses which they take full advantage off and our income tax is reasonable to global rates; believe me hiyo ni sehemu ambayo wizara ya fedha ime match policies za huko kwao ndio maana kampuni kubwa zinazo tumia proper accountants or firms usikii zikilalamika kodi.

Malalamiko ya kodi Tanzania for the most part ni kwa wafanyabiashara wa kati na wadogo ambao wengi ni watanzania tena wale ambao kodi zao zinafanyiwa estimates na TRA without businesses using their own accountants, biashara ambazo kwa mujibu wa sheria mamlaka ya serikali za mitaa zinaruhusiwa kuweka tozo za vibali, levy and taxes. Biashara ambazo zinasimamiwa na regulatory bodies ambazo hazina vyanzo vya mapato za kulipa mishahara inabidi waanzishe tozo zao za ajabu ajabu, na hizi zote ndio biashara za watanzania wakaiwada kwa asilimia hapo ndio shida ilipo.

Lakini huko kwa mabeberu au watanzania wenye mitaji mikubwa issue yao ipo kwenye contract through ‘terms implied by law’ (stability of our investment laws and policies) pale ambapo sheria inabadilika and it impacts their rights ndio utasikia kelele otherwise kwenye kodi sio tatizo kabisa ni nzuri mno if you use qualified accountants.
 
Serikali lazima itoze kodi ili iweze kufikia malengo yake ya kuwatumikia Watanzania. Tozo za magari kila mwaka hata ulaya zipo, huwezi kuwa na gari barabarani ambalo halijaangaliwa kwamba lipo imara kuwa barabarani na ni salama, kila mwaka unless lina miaka mitatu tangu liwe jipya vinginevyo kila mwaka lazima likaguliwe na mwenye gari alipie ukaguzi huo kila mwaka. (Ulitaka nani alipie wakati wewe ndiye unatumia hilo gari?) Tmechoka na ajai ambazo hazina mkia.

Nchi haiwezi kutegemea misaada, kwani Watanzania wote ni vilema? Nchi inatakiwa ijiwezeshe yenyewe hatuna mjomba huko nje wa kutusaidia.

Sekta binafsi ilijisahau kwa kufikiria ni lazima Serikali iwape unafuu kufanya shughuli zao. Je, kama sekta binafsi inataka kodi nafuu inafikiria Serikali itapata wapi fedha za kujiendesha? Je, ni nani alipe hiyo gharama? Tanzania ina watu millioni 60 na ushee hatuwezi kuwa wakinga bakuli!


Ni lazima kila sekta ilipe kodi, wafanyakazi wanakatwa kila mwezi kwa nini wafanya biashara wanafikiri wao ni muhimu zaidi kuliko wengine? Kila mahali watu ni lazima walipe kodi stahiki bila kupepesa macho. Nchi haitaendelea kwa sababu kuna watu au kikundi ambacho kinafikiri lazima kihurumiwe kulipa kodi.
Jee wanaolipa kodi wana haki ya kuuliza kodi zao zinafanywaje? Mbona tunaona pomp za waku kutembea msafara wa magari 50 halafu unakuja hapa kutuambia pumba. Weee inaonesha wazi hulipi kodi.
 
M
Mwaka 2021 umeanza kwa kutangazwa kodi au tozo ambazo awali hazikuwepo. Tumesikia ukaguzi wa magari, garama za kuagiza magari zimepanda mara mia, tozo ya gari ndogo zinazosafirisha maiti, tozo katika bidhaa nyingi za nje nk.

Hii inaashiria vyanzo vya mapato vilivyomo nchini vikilinganishwa na miradi tunayoanzisha nakusimamia vinakinzana. Gharama za miradi zipo juu kuliko uwezo wetu wa kukusanya. Misaada nayo imeshuka kutokana na covid na diplomasia yetu ya kimataifa kukosa mwelekeo na mtu sahihi wakuisimamia.

Tunachokwenda kuvuna huko tuendako ni hongezeko la watu wasio na ajira kwa sababu sekta binafsi inakwenda kudidimia....Bora Kodi ndogo inayolipwa na watu wengi kuliko kutegemea Kodi kubwa inayolipwa na watu wachache, Wizara ya fedha irudi kwenye maltiplier effects zitokanazo na kila transaction yakibiashara nchini.
 
Kodi za kibiashara zenye mitaji mikubwa Tanzania ni rafiki mno, labda kama unamsikiliza Tundu Lissu.

Mabeberu wanaangalia capital allowances zilizopo, rebate on incomes losses and income tax; believe me hiyo ni sehemu ambayo wizara ya fedha ime match policies za huko kwao ndio maana kampuni kubwa zinazo tumia proper accountants or firms usikii zikilalamika kodi.

Malalamiko ya kodi Tanzania for the most ni kwa wafanyabiashara wa kati na wadogo ambao ni watanzania tena wale ambao kodi zao zinafanyiwa estimates na TRA without businesses using their own accountants, biashara ambazo kwa mujibu wa sheria mamlaka ya serikali za mitaa zinaruhusiwa kuweka tozo za vibali, levy and taxes. Biashara ambazo zinasimamiwa na regulatory bodies ambazo hazina vyanzo vya mapato za kulipa mishahara inabidi waanzishe tozo zao; na hizi zote ndio biashara za watanzania wakaiwada hapo ndio shida ilipo.

Lakini huko kwa mabeberu au watanzania wenye mitaji mikubwa issue yao ipo kwenye contract issues through ‘terms implied by law’ pale ambapo sheria inabadilika and impacts their rights ndio utasikia kelele otherwise kwenye kodi sio tatizo kabisa ni nzuri mno if you use qualified accountants.
Yaani hawa watawala wa sasa wajifanya kama mbuni.....wafanyibiashara kwa maelfu wamekimbia halafu wao bado wasiia tu. Na hilo kubwa lao lasema lataka Watanznia mamilionea. Tangu Lazar kuna miliona gani wamemtengeneza? Wadhania kutengeneza milionea ni wishful thinking? Twaongozwa na sick man. Tukiendelea hivi tutarudi umaskini wa miaka ya 80. Pia tutakufa kwa vile mkulu asema hakuna ugonjwa!
 
Mwaka 2021 umeanza kwa kutangazwa kodi au tozo ambazo awali hazikuwepo. Tumesikia ukaguzi wa magari, garama za kuagiza magari zimepanda mara mia, tozo ya gari ndogo zinazosafirisha maiti, tozo katika bidhaa nyingi za nje nk.

Hii inaashiria vyanzo vya mapato vilivyomo nchini vikilinganishwa na miradi tunayoanzisha nakusimamia vinakinzana. Gharama za miradi zipo juu kuliko uwezo wetu wa kukusanya. Misaada nayo imeshuka kutokana na covid na diplomasia yetu ya kimataifa kukosa mwelekeo na mtu sahihi wakuisimamia.

Tunachokwenda kuvuna huko tuendako ni hongezeko la watu wasio na ajira kwa sababu sekta binafsi inakwenda kudidimia....Bora Kodi ndogo inayolipwa na watu wengi kuliko kutegemea Kodi kubwa inayolipwa na watu wachache, Wizara ya fedha irudi kwenye maltiplier effects zitokanazo na kila transaction yakibiashara nchini.
Mwaka 2021 umeanza kwa kutangazwa kodi au tozo ambazo awali hazikuwepo. Tumesikia ukaguzi wa magari, garama za kuagiza magari zimepanda mara mia, tozo ya gari ndogo zinazosafirisha maiti, tozo katika bidhaa nyingi za nje nk.


Huu uwongo huwa kwa faida nani? facebook.

Hakuna kodi iliyo ongezeka hapo juu labda mtaani kwako na unayo serikali yako na TRA yako. Mtaani kwako.
 
Yaani hawa watawala wa sasa wajifanya kama mbuni.....wafanyibiashara kwa maelfu wamekimbia halafu wao bado wasiia tu. Na hilo kubwa lao lasema lataka Watanznia mamilionea. Tangu Lazar kuna miliona gani wamemtengeneza? Wadhania kutengeneza milionea ni wishful thinking? Twaongozwa na sick man. Tukiendelea hivi tutarudi umaskini wa miaka ya 80. Pia tutakufa kwa vile mkulu asema hakuna ugonjwa!
Sijui unaongelea wafanyabiashara gani kama ni watanzania wadogo na wa kati there is enough blame to be shared kwanini wahitimu wa accountants awaoni fursa ya kusaidia hizi biashara ndogo dhidi ya TRA to balance taxes claims.

Then kuna blame ya wizara ya fedha kuwaachia hao vichaa huko kwenye serikali za mitaa na taasisi za usimamizi kujipangia tozo ambazo zina madhara kwenye costs charged to final consumers wakati sisi bado purchasing power yetu ya hizo services and products bado ndogo, madhara yake ni kupunguza kasi ya ukuaji wa hizo sector na of taxes kwao hizo biashara zinapofungwa na upotevu wa ajira.

In other words hakuna mkakati wa kukuza biashara za watu wa kati na wadogo ambazo zinamilikiwa na watanzania wakawaida, isipokuwa serikali imejikita kuvutia uwekezaji mkubwa wa ndani na nje; wizara ya fedha has no eyes on the bigger picture kuna mijitu inavuruga long term growth strategy.

Lakini kwa biashara kubwa kuondoka Tanzania kwa sababu ya kodi sidhani kama kuna hiyo kesi and no one can prove that.
 
Back
Top Bottom