Kitendo cha mabeberu kufungasha na ongezeko la utitiri wa kodi

Kitendo cha mabeberu kufungasha na ongezeko la utitiri wa kodi

Hapa ndipo nabaki kushangaa akili ya mwafrica. Kwa hiyo serikali iko tayari iwape favour wafanyabiashara wakubwa wa nje au wenye mitaji mikubwa ambao hawafikibhata 1% kuliko iwasaidie makapuku walio wengi ambao yenyewe inawaita wanyonge?
Contributing factors ya kuto kukua kwa hizi biashara ndogo nimezitaja. Kuna zinavitozo tozo vingi vya ajabu ambazo hazijawekwa na wizara ya fedha bali halmashauri na regulators.

Na kuna swala la kutoelewa namna ya kufanya hesabu zao kwa mujibu wa sheria ili wapunguze kodi zao; you can’t cheat on VAT or PAYE hizo kama una akili zako timamu lipa na tumia EFD ili usigombane na TRA; but income/corporate taxes is another story there are so many loopholes to reduce the bill.
 
Mwaka 2021 umeanza kwa kutangazwa kodi au tozo ambazo awali hazikuwepo. Tumesikia ukaguzi wa magari, garama za kuagiza magari zimepanda mara mia, tozo katika bidhaa nyingi za nje nk.

Hii inaashiria vyanzo vya mapato vilivyomo nchini vikilinganishwa na miradi tunayoanzisha nakusimamia vinakinzana. Gharama za miradi zipo juu kuliko uwezo wetu wa kukusanya. Misaada nayo imeshuka kutokana na covid na diplomasia yetu ya kimataifa kukosa mwelekeo na mtu sahihi wakuisimamia.

Tunachokwenda kuvuna huko tuendako ni ongezeko la watu wasio na ajira kwa sababu sekta binafsi inakwenda kudidimia....Bora Kodi ndogo inayolipwa na watu wengi kuliko kutegemea Kodi kubwa inayolipwa na watu wachache, Wizara ya fedha irudi kwenye maltiplier effects zitokanazo na kila transaction yakibiashara nchini.
Hizi kodi zitaleta demokrasia Nchini. Mark my words.
 
Mwaka 2021 umeanza kwa kutangazwa kodi au tozo ambazo awali hazikuwepo. Tumesikia ukaguzi wa magari, garama za kuagiza magari zimepanda mara mia, tozo katika bidhaa nyingi za nje nk.

Hii inaashiria vyanzo vya mapato vilivyomo nchini vikilinganishwa na miradi tunayoanzisha nakusimamia vinakinzana. Gharama za miradi zipo juu kuliko uwezo wetu wa kukusanya. Misaada nayo imeshuka kutokana na covid na diplomasia yetu ya kimataifa kukosa mwelekeo na mtu sahihi wakuisimamia.

Tunachokwenda kuvuna huko tuendako ni ongezeko la watu wasio na ajira kwa sababu sekta binafsi inakwenda kudidimia....Bora Kodi ndogo inayolipwa na watu wengi kuliko kutegemea Kodi kubwa inayolipwa na watu wachache, Wizara ya fedha irudi kwenye maltiplier effects zitokanazo na kila transaction yakibiashara nchini.
Mkuu Tatizo Watanzania tulizoea kuishi kiujanja ujanja Ndio maana tunaumia
Tii sheria bila shuruti
Lipa kodi
Utafaidi matunda ya awamu hii ya Rais mwema mwenye Moyo wa huruma na upendo kwa RAIA wake
Vinginevyo utaumia sana maana mianya ya wapiga dili imeziba kabisa
 
M
Umeongea ukweri mtupu ndugu yangu na msema kweri Ni mpenzi wa Mungu,

Awamu ya Tano ilivyoanza wafanya BIASHARA tulitandikwa watumishi wakawa wanacheka, baada ya mda Rungu likawashukia, Sasa naona imerudi Kama ilivyoanza WAFANYABIASHARA tunatandikwa trip ya pili, wakimaliza wanawarudia wafanyakazi,

MAJI TUTAYAITA MAA...

CCM HOYEE,
Mkuu Tatizo Watanzania tulizoea kuishi kiujanja ujanja Ndio maana tunaumia
Kwa sasa nchi yetu ipo Uchumi wa kati na wote tunafaidi sana
Kuanzia Wafanyabiashara. Wafanyakazi hata Wakulima maisha ni bam bam isipokua nyie wapiga dili poleni lazima mumchukie na muumie sana maana mianya ya wapiga dili imeziba kabisa
 
Kodi za kibiashara zenye mitaji mikubwa Tanzania ni rafiki mno, labda kama unamsikiliza Tundu Lissu au usumbufu wanaopata hapa na pale wenye hizi biashara kutoka kwa wanasiasa clueless katika kuwapangia business strategy zao.

Vinginevyo kiuhalisia mabeberu wanaangalia capital allowances zilizopo (hayo magari na mashine wanazoingiza kwa sababu ya biashara wenzako they claim that cost back over time before paying their income taxes), kuna rebate on incomes losses which they take full advantage off and our income tax is reasonable to global rates; believe me hiyo ni sehemu ambayo wizara ya fedha ime match policies za huko kwao ndio maana kampuni kubwa zinazo tumia proper accountants or firms usikii zikilalamika kodi.

Malalamiko ya kodi Tanzania for the most part ni kwa wafanyabiashara wa kati na wadogo ambao wengi ni watanzania tena wale ambao kodi zao zinafanyiwa estimates na TRA without businesses using their own accountants, biashara ambazo kwa mujibu wa sheria mamlaka ya serikali za mitaa zinaruhusiwa kuweka tozo za vibali, levy and taxes. Biashara ambazo zinasimamiwa na regulatory bodies ambazo hazina vyanzo vya mapato za kulipa mishahara inabidi waanzishe tozo zao za ajabu ajabu, na hizi zote ndio biashara za watanzania wakaiwada kwa asilimia hapo ndio shida ilipo.

Lakini huko kwa mabeberu au watanzania wenye mitaji mikubwa issue yao ipo kwenye contract through ‘terms implied by law’ (stability of our investment laws and policies) pale ambapo sheria inabadilika and it impacts their rights ndio utasikia kelele otherwise kwenye kodi sio tatizo kabisa ni nzuri mno if you use qualified accountants.
Mkuu unaposema kodi ni nzuri unamaanisha nn?

Unalinganisha na nchi jirani zetu mfano kenya, ug, burundi au zambia?

Ni kwenye siasa tu ndo unaweza kusema kuwa red maana yake ni nyeupe na ukaeleweka.
Kwenye maisha ya kawaida huwezi mdanganya mtu kwa sababu kila mtu anaishi na uhalisia wa maisha anauona.

Baada ya kuwamaliza wapiga dili sasa madili wanapiga wao.
 
Umeongea ukweri mtupu ndugu yangu na msema kweri Ni mpenzi wa Mungu,

Awamu ya Tano ilivyoanza wafanya BIASHARA tulitandikwa watumishi wakawa wanacheka, baada ya mda Rungu likawashukia, Sasa naona imerudi Kama ilivyoanza WAFANYABIASHARA tunatandikwa trip ya pili, wakimaliza wanawarudia wafanyakazi,

MAJI TUTAYAITA MAA...

CCM HOYEE,
[emoji1787]
 
Mkuu unaposema kodi ni nzuri unamaanisha nn?

Unalinganisha na nchi jirani zetu mfano kenya, ug, burundi au zambia?

Ni kwenye siasa tu ndo unaweza kusema kuwa red maana yake ni nyeupe na ukaeleweka.
Kwenye maisha ya kawaida huwezi mdanganya mtu kwa sababu kila mtu anaishi na uhalisia wa maisha anauona.

Baada ya kuwamaliza wapiga dili sasa madili wanapiga wao.
Taxes nyingi za kibiashara Tanzania zipo sambamba na global average; issue labda import duty.
 
Safi sana! JPM piga kazi baba... Wakwepa kodi hawana tofauti na majambazi 😄
 
Serikali lazima itoze kodi ili iweze kufikia malengo yake ya kuwatumikia Watanzania. Tozo za magari kila mwaka hata ulaya zipo, huwezi kuwa na gari barabarani ambalo halijaangaliwa kwamba lipo imara kuwa barabarani na ni salama, kila mwaka unless lina miaka mitatu tangu liwe jipya vinginevyo kila mwaka lazima likaguliwe na mwenye gari alipie ukaguzi huo kila mwaka. (Ulitaka nani alipie wakati wewe ndiye unatumia hilo gari?) Tmechoka na ajai ambazo hazina mkia.

Nchi haiwezi kutegemea misaada, kwani Watanzania wote ni vilema? Nchi inatakiwa ijiwezeshe yenyewe hatuna mjomba huko nje wa kutusaidia.

Sekta binafsi ilijisahau kwa kufikiria ni lazima Serikali iwape unafuu kufanya shughuli zao. Je, kama sekta binafsi inataka kodi nafuu inafikiria Serikali itapata wapi fedha za kujiendesha? Je, ni nani alipe hiyo gharama? Tanzania ina watu millioni 60 na ushee hatuwezi kuwa wakinga bakuli!

Ni lazima kila sekta ilipe kodi, wafanyakazi wanakatwa kila mwezi kwa nini wafanya biashara wanafikiri wao ni muhimu zaidi kuliko wengine? Kila mahali watu ni lazima walipe kodi stahiki bila kupepesa macho. Nchi haitaendelea kwa sababu kuna watu au kikundi ambacho kinafikiri lazima kihurumiwe kulipa kodi.
Kuwaza kuwa Kuna mtu anapinga kutozwa Kodi ni upumbavu mwingine.
Issue hapa ni viwango visivyoendana na kipato cha mlipaji.

Sekta binafsi inauawa kwa makusudi mazima
1. Ulinzi ni Suma jkt
2. Ujenzi no Suma jkt nk
Hapo utasemaje ilibweteka?
 
Kodi za kibiashara zenye mitaji mikubwa Tanzania ni rafiki mno, labda kama unamsikiliza Tundu Lissu au usumbufu wanaopata hapa na pale wenye hizi biashara kutoka kwa wanasiasa clueless katika kuwapangia business strategy zao.

Vinginevyo kiuhalisia mabeberu wanaangalia capital allowances zilizopo (hayo magari na mashine wanazoingiza kwa sababu ya biashara wenzako they claim that cost back over time before paying their income taxes), kuna rebate on incomes losses which they take full advantage off and our income tax is reasonable to global rates; believe me hiyo ni sehemu ambayo wizara ya fedha ime match policies za huko kwao ndio maana kampuni kubwa zinazo tumia proper accountants or firms usikii zikilalamika kodi.

Malalamiko ya kodi Tanzania for the most part ni kwa wafanyabiashara wa kati na wadogo ambao wengi ni watanzania tena wale ambao kodi zao zinafanyiwa estimates na TRA without businesses using their own accountants, biashara ambazo kwa mujibu wa sheria mamlaka ya serikali za mitaa zinaruhusiwa kuweka tozo za vibali, levy and taxes. Biashara ambazo zinasimamiwa na regulatory bodies ambazo hazina vyanzo vya mapato za kulipa mishahara inabidi waanzishe tozo zao za ajabu ajabu, na hizi zote ndio biashara za watanzania wakaiwada kwa asilimia hapo ndio shida ilipo.

Lakini huko kwa mabeberu au watanzania wenye mitaji mikubwa issue yao ipo kwenye contract through ‘terms implied by law’ (stability of our investment laws and policies) pale ambapo sheria inabadilika and it impacts their rights ndio utasikia kelele otherwise kwenye kodi sio tatizo kabisa ni nzuri mno if you use qualified accountants.
Mtafanikiwa Sana, lakini ngo'ombe anatoa damu badala ya maziwa
 
Inabidi ulipe tuu hamna namna
Hapo huchomoi ila washughulie jinsi ya kuwakamata madereva wenye majina yanayo daiwa maana kuna jamaa yangu anadai wakati hajawahi mpa mtu gari na jina la mwenye leseni sio lake na wanataka alipe
 
Hapo huchomoi ila washughulie jinsi ya kuwakamata madereva wenye majina yanayo daiwa maana kuna jamaa yangu anadai wakati hajawahi mpa mtu gari na jina la mwenye leseni sio lake na wanataka alipe
Kwanini unanisema hadharani😂😂😂
 
Back
Top Bottom