Kitendo cha Manara kumpiga madongo ya wazi Barbara ni ukatili, binti wa watu almanusura azimie

Kabla ya kubishana na mtu uwe unaangalia jina lake la bandia kwanza.!
Angalia huo mjadala mm na yeye tulianza wapi usisome post za mwisho anzia tokea mwanzo halafu uje kunipa jibu nani alianza kukosea
 
...Manara amekua home akiona Yellow and Green tu Simba alikuja kusalimia na kupiga hela na kuchota siri zenu tu na sasa unaona matunda yake pale Yanga! Mganga gani wa Simba asiemjua? Njia gani ya kupita kuipasua Simba asiyoijua?
Kwa ufupi tu unatuambia kwamba mafanikio haya ya Yanga yameletwa na Manara. Maneno mengine umeongezea nyama tu
 
Dah! Wanaume tuko tofauti!!
Kaongea Barbara, Senzo, Ahmed wote wamekwenda kwenye point hakuna mpasho, matusi wala majigambo ila Haji pekee ndo kaleta fyoko zake. Ivi umeshindwa kuona tofauti ya hao watatu na huyo unaemsifu?!
Mwanaume unasifia mipasho kutoka kwa mwanaume mwenzio kwenda kwa mwanamke!!!
Dunia inaelekea ukingoni.
 
Dr. Haji Manara amwita Ahmed Ally Dogo
 

Attachments

  • hajismanara~tv~CeXumKVIS1V~1.mp4
    3.7 MB
Ubunifu poa kabisa, lakini kwa maoni yangu mimi wasinunue mabasi ya kusafirishia abiria, very risk kama yakipata ajari hata mawili ujue biashara hapo itakuwa imekufa na simba watapata jambo la kuwapiga nalo Yanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…