Mwanga Mkali
JF-Expert Member
- Jul 8, 2018
- 1,302
- 2,473
Wewe mwenyewe unachukua hatua gani?🤔Kusema ukweli tpaul Tanzania kwa sasa hatuko vizuri ktk sakata la Corona. Na ujue wale jamaa wana investigate kabla ya kuja kwao.
Na viongozi wa Tz wamekuwa careless hata kuhimiza tu barakoa hamna. Wakati tetesi zipo kuwa Corona ni chanzo cha tatizo letu. Tusiwalaumu wengine kwa uangalifu wetu mdogo
Inaweza kuwa ni moja ya sababu who knows! But kunamijitu ina negative thought kila linapotajwa jina la Mwamba JPM.Burundi Vs Rwanda Vs Uganda
viongozi wa hizi nchi zote hawajaja maana. Inawezekana wamekwepa kukutana ana kwa ana maana wana mabifu baina yao.
Burundi Vs Rwanda
Rwanda Vs Uganda
Rafiki yake ke'shatangulia mbele ya haki.Mimi naimani m7 bado ni rafiki yetu ila naona umri wake unampa wasi wasi of which I can understand!
Unataka umtafutie matatizo mzee wa watu, muache aomboleze akiwa 'isolated'.Hivi Lowasa alikuja kuaga jamani? Mbona sijamwona wala kumsikia? Yuko wapi huyu mzee?
Wameshasahau.!Aende kwenye msiba wa watu waliokuwa wakimtangazia kifo?
Inshort anajitambua, 'mjanja janja' na anakwenda kwa timing!M7 hana shida labda uzee na kuogopa msongamano ...ila huyu pK ni mnafiki flan hivi anaishi kimachale machale
Nkurunzinza alikufa baada ya kuwa alikwishatoka madarakani mkuu
Siyo kesi mama D, kwanza wameshakutana watamalizana wenyewe huko.Watu wazima wale wana sababu zao za msingi tuu.
Kwani Magufuli aliposhindwa kwenda kumzika Mugabe ilikua kesi?
Yah kabisa.. nadhani sababu za kutokuja kwao haiwezi kuwa kwamba wana issue na JPM itakuwa ni wao kwa wao.. wanaogopana kukutanaInaweza kuwa ni moja ya sababu who knows! But kunamijitu ina negative thought kila linapotajwa jina la Mwamba JPM.
Usiendelee kuniamini kwa maana sio lazimaNilikuwa nakuamini ila sikujua kuwa ni mpotoshaji kwa ajili ya kutetea udhaifu wa wazi.
Pole. Unaipenda sana Corona ee?Wale jamaa ni Covid conscious, Museveni akidaka hii kitu hachomoi, Kagame ni msanii.
Hawataki kufanya kosa kama la JPM kudharau na kuichukulia poa covid 19 jambo ambalo limegharimu maisha yake.
Museven yuko makini Sana barakoa Hadi chooni. Ngumu kukamatika Museveni... general wa Vita! [emoji1787][emoji1787]Museveni katinga MUNGU aonyeshwe Ukuu wake kupitia huu msiba.
Sasa wataogopa mpaka lini mkuu? Si wangevaa barakoa kwani kuna mtu kawazuia kuvaa?
Spana mkononi hofu uenda asirudiM7 alishakwenda Chato nadhani mwaka huu huu na pengine walishaagana. Kagame hata sijui, maana jamaa huyu haeleweki. Ila nasikia huwa anaogopaga sana kwenda hata hospitali kuwaona viongozi wenzake wakilazwa huko.
Wao wanasubilia siku ya mazishi chato