Kitendo cha Museveni na Kagame kutokuja kumuaga hayati Rais Magufuli kinaashiria nini?

The moment wameacha ikulu the moment wamepinduliwa
 
Ushirika wa wachawi huwa haudumu.
 
Huyu mama Janeth anaumwa safura au ana utapiamlo? Mbona miguu yake imefura hivi?
 
Sasa kama ni hivyo, si wangeweza kuja lakini wakakaa mbali wasisogelee karibu au wanasubiri azikwe ndipo waje? Hii sio sawa hata kidogo na sio afya kwa mustakabali wa EAC.
Yaani Mzee ingekuwa wao ndio wamekufa lazima angeenda binadamu ni wanafiki sana tena ndio walionekana wa karibu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…