Kitendo cha Museveni na Kagame kutokuja kumuaga hayati Rais Magufuli kinaashiria nini?

Kitendo cha Museveni na Kagame kutokuja kumuaga hayati Rais Magufuli kinaashiria nini?

Ndani ya muungano wa EAC nchi ya Kenya imekuwa mstari wa mbele katika kuleta chokochoko za hapa na pale, hasa ikiichokonoa Tanzania mara kwa mara. Ingawa hivyo, Rais wa Kenya Hon Uhuru Kenyatta amefika yeye mwenyewe mubashara kuja kumuaga hayati Dr Magufuli....
Sio hao tu, hata BASHITEEEE sijamuona
 
Yaani hata Kagame ameshindwa kuja kumuaga pacha wake? Inahudhunisha sana aisee!!
Unaweza kuta mawazo yake yakamtuma kuwa ni njama za Mabeberu. Nae kwa intelijesnia yake anahisi kuwa maadamu Dunia inafahamu ni marafiki, so atakuja Bongo, na Mabeberu watatumia nafasi hiyo kwake.
 
Vip ukiwaona tarehe 26 siku ya mazishi
Viongozi wote wa kitaifa wamealikwa rasmi kuja kuaga hapa Dodoma, hawamo kwenye ratiba ya Chattle. Washindwe kuja Dodoma kujumuika na wenzao halafu waende Chattle kupitia mlango wa nyuma huoni kuwa huo ni unafiq uliopindukia?
 
CORONA SUPER SPREADER!!! Na huyu mama akifanya masihara ya kutokuvaa barakoa ataondoka, kwani ni mnene ikimpata hachomoi!! Mafisadi ndio maana wanamtegeshea Nchimbi ili baada ya muda wachukue!!!
Hawapati kitu....maza yupo makini *****
 
Heee! Bai huu utakuwa unafiki uliovuka mipaka. Mkusanyiko wa kumuaga kiongozi mwenzao wa EAC sio wa lazima? Makubwa hayo😳😳😳😳

Risks outweigh rewards!! Tungekuwa tunafanya hesabu hizi angalau tungevaa barakoa!! Plus hatujui afya zao, huenda wana vitu nyemelezi.

Wamewakilishwa kama ambavo hata sisi tuliwakilishwa huko kwingine.
 
Kusema ukweli tpaul Tanzania kwa sasa hatuko vizuri ktk sakata la Corona. Na ujue wale jamaa wana investigate kabla ya kuja kwao.

Na viongozi wa Tz wamekuwa careless hata kuhimiza tu barakoa hamna. Wakati tetesi zipo kuwa Corona ni chanzo cha tatizo letu. Tusiwalaumu wengine kwa uangalifu wetu mdogo
 
Wanaweza kuwa na matatizo ya kiafya kwanini tuwahukumu na wametuma uwakilishi.
Matatizo ya kiafya wote wawili kwa mpigo na kwa siku moja? This flimsy excuse is unacceptable to any same being. Usiwatetee hawa wanafiq mkuu.
 
Kagame na museven hawa jamaa washaanzq kiweweseka kwanzq wanajua ili hali kuwa wamechokwa na ni wasanii usipime hawa jamaa wakijikwaa kwisha habar yao
 
Back
Top Bottom