Kitendo cha Museveni na Kagame kutokuja kumuaga hayati Rais Magufuli kinaashiria nini?

Kitendo cha Museveni na Kagame kutokuja kumuaga hayati Rais Magufuli kinaashiria nini?

Bado hajazikwa. Wakitokea huko Chato utafuta hii thread yako? Si ungesubiri next week ndo uandike?
 
Kwamba mafisadi wanataka wakae watu wa muda mfupi mfupi [emoji23][emoji23][emoji23]

Ndio maana yake. Huoni mafisadi yameanza kupanga safu zao hata kabla Magufuli hajazikwa!!! Hapo hapo wanajitia wana majonzi huku wananoa sime!! Wanafiki wakubwa hawa.
 
Sasa kama ni hivyo, si wangeweza kuja lakini wakakaa mbali wasisogelee karibu au wanasubiri azikwe ndipo waje? Hii sio sawa hata kidogo na sio afya kwa mustakabali wa EAC.
Afya ya EAC na afya zao ni kipi muhimu? Unafikiria ni wajinga kama Magufuli aliyepuuza corona mpaka ikamuua? Hebu wacheni utani kwenye mambo ya maana tena yanahusu uhai.
 
Museveni age na bob mvinyo kamchezesha cheusi chekundu kwenye uchaguzi. Bideni kamkamia. Kagame age, masoko ya madini yaliyo anzishwa na JPM. Pia iliyo kuwa mipango ya JPM kuhusu Congo havimpendezi. Kovu la chanjo halijapona vizuri anasikilizia.
 
Bado hawajachomwa chanjo za covid19.mwenzao ws sauz,wa kenya wameshachanja na ndio maana walikuwa wanasalimia kwa kupeana mikono na wenyeji wao.
 
#HABARI RAIS Yoweri Museveni akiwa na mkewe mama Janet Museveni wameongoza raia wa Uganda katika maombolezo ya Hayati Dk.John Pombe Magufuli kwa kusaini kitabu cha maombolezo kwenye Ubalozi wa Tanzania uliopo mtaa wa Kagera mjini Kampala.

#ripmagufuli💔💔💔 https://t.co/0HAqXETttl
20210322_185818.jpg
 
Kagame ana chronic disease na yeye akinasa kwenye new variant ya Covid-19 hachomoi.

Museven na ule uzee wake hata maji haiombi.

Na wanajua Tanzania ina New variant virut wa Covid, wale majasusi wameruka hiki kiunzi Cha huu msiba.

Ila Kuna siku watajua kwanini Tundu aliitwa Lissu na sio Tundu Bovu linalonasa wajanja Kama wao.
 
M7, PK & JPM wanashabihiana sana kifikra. Wote ni madikteta na tabia ya udikteta ni ubinafsi.

So kwa muktadha huu, ni wazi mwendazake JPM alikuwa muhimu kwao alipokuwa hai na siyo akiwa mfu.
 
Hivi kweli nchi itaendelea kama mpaka sasa tunakaa kwenye misiba kuangalia nani kaja nani hakuja na kwa nini hata kama nao wanakaguliwa kaguliwa na vimafua na vijihoma unataka wakwambie
 
Ukiusikiliza wimbo wa super matimila,Remmy ongala alishawahi kuimba,"ukiwa mtenda mabaya unapokwenda pia ni papaya na ukiwa na roho mbaya ee kweli watakuogopa...."ngoja nishie hivyo ni vzr ukausikiliza mwenyewe.
 
Back
Top Bottom