dindilichuma
JF-Expert Member
- Dec 19, 2015
- 1,736
- 2,699
Mugabe alikufa akiwa rais mstaafu hakuwa rais alie madarakani.Hivi alipokufa Mugabe(Member mwenzetu wa SADC) Magu alienda au alituma Mwakilishi.?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mugabe alikufa akiwa rais mstaafu hakuwa rais alie madarakani.Hivi alipokufa Mugabe(Member mwenzetu wa SADC) Magu alienda au alituma Mwakilishi.?
huyu jamaa hataki utani kabisa mambo ya kuingia kwny "closed ofisi" hataki kabisa yeye anataka asaini kwny open space'hewa nyingiii'.#HABARI RAIS Yoweri Museveni akiwa na mkewe mama Janet Museveni wameongoza raia wa Uganda katika maombolezo ya Hayati Dk.John Pombe Magufuli kwa kusaini kitabu cha maombolezo kwenye Ubalozi wa Tanzania uliopo mtaa wa Kagera mjini Kampala.
#ripmagufuli💔💔💔 https://t.co/0HAqXETttlView attachment 1731873
Museveni katinga MUNGU aonyeshwe Ukuu wake kupitia huu msiba.Kagame ana chronic disease na yeye akinasa kwenye new variant ya Covid-19 hachomoi.
Museven na ule uzee wake hata maji haiombi.
Na wanajua Tanzania ina New variant virut wa Covid, wale majasusi wameruka hiki kiunzi Cha huu msiba.
Ila Kuna siku watajua kwanini Tundu aliitwa Lissu na sio Tundu Bovu linalonasa wajanja Kama wao.
Hivi wale ndg zetu wa damu Burundi rais wao amekuja?Duh mzee Museveni haruki anaogopa Corona kuliko Simba!!!
Umri wao ni mkubwa na changamoto zao kiafya hatuzijui. Ninawasifu sana Usalama wa Taifa wa nchi hizo. Wanajua kulinda viongozi wao.Heee! Bai huu utakuwa unafiki uliovuka mipaka. Mkusanyiko wa kumuaga kiongozi mwenzao wa EAC sio wa lazima? Makubwa hayo😳😳😳😳
Na Nkurunziza alipokufa Mzee baba alienda?Mugabe alikufa akiwa rais mstaafu hakuwa rais alie madarakani.
MkurunzinzaHiyo misiba ya wenzake ndio kama ipi mkuu? Kuna "residing president" yupi wa nchi jirani aliyekufa wakati wa miaka hii mi-5 ya uongozi wa Dr. JPM ambapo kamanda/mpiganaji hakwenda?
Kwamba alikosa nauli sio mkuu?Nadhani alikwenda mkuu. Au inawezekana hakwenda kwa sababu ya kukosa nauli ya ndege. Sasa Museveni na Kagame nini kimewakwamisha kuja wakati wangeweza kuja hata kwa usafiri wa basi?
Yaani waje kuzoa Corona kisa ujirani. Nimeangalia hakuna social distancing kabisa na barakoa ni mtihani. Hao ni maraisi wa nchi na wanashauriwa na ualama wao. Mseven anavaa barakoa na kuzingatia masharti sana. Huwezi kuja muexposed na kifo kisa urafiki. Kila mtu apiganie uhai wake. Ukiamua kuweka uhai wako rehani weka na waliojidai mwamba wa kurehani uhai matokeo yapo.Viongozi wote wa Afrika wamekuja Dodoma wao waende Chattle kusababisha usumbufu wa kiusalama kwani wao ni sehemu ya familia?
Sidhani kama hata huko Chattle wataenda ikiwa wameshindwa kuja Dodoma. Hawa jamaa ni wanafiki wakubwa, leo ndio nimewagundua.
Mungu hamfichi mnafiki. Wameumbuka mchana kweupe. Walikuwa wanasifia utawala wake kumbe walikuwa wanampaka mafuta kwa mgongo wa chupa? Wanafiq wakubwa!🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄
Asilimia 90 ya wanaokutwa na corona kila siku huko Marekani na Uingereza ni wavaaji wazuri Sana wa barakoa!! Na wengine wameshachanjwa tayari!!CORONA SUPER SPREADER!!! Na huyu mama akifanya masihara ya kutokuvaa barakoa ataondoka, kwani ni mnene ikimpata hachomoi!! Mafisadi ndio maana wanamtegeshea Nchimbi ili baada ya muda wachukue!!! Mama Samia zinduka.
Mkuu huyu Bashite atakuwa kwenye kamati ya kuchimba kaburi. Hahaha. Imeandikwa hivi Ole wake amtegemeaye mwanadamu. Aliyemtegemea alimpoteza kwenye ramani na sasa kurudi kwenye ramani ni ngumu mno. Yuko shule anasoma.Sio hao tu, hata BASHITEEEE sijamuona
Hiyo misiba ya wenzake ndio kama ipi mkuu? Kuna "residing president" yupi wa nchi jirani aliyekufa wakati wa miaka hii mi-5 ya uongozi wa Dr. JPM ambapo kamanda/mpiganaji hakwenda?
Hiyo ngonjera unayoimba imekosa waitikiaji! Madaktari wake waliomtibu wametoa sababu ya kifo chake ni ugonjwa wa moyo!! Huyo taahira wenu wa ubelgiji ameshaaibika!! Njia ya mwongo ni fupi!!Afya ya EAC na afya zao ni kipi muhimu? Unafikiria ni wajinga kama Magufuli aliyepuuza corona mpaka ikamuua? Hebu wacheni utani kwenye mambo ya maana tena yanahusu uhai.