Kitendo cha Mwigulu kumtaja Rais kuhusika na ufisadi Ripoti ya CAG ni sahihi?

laana ya kuwatukana watanzania waende burundi mara unawaita wabunge wenzako waganga wa kienyeji kama alivyosema mbunge wa Igalula mh venant, mh katani alisema mwigulu ana academic arrogance ndio maana unajikuta unamtaja hadi rais kuhusika na wizi wako mtaendelea kutajana mmoja baada ya mwingine na wallah nakuhakikishia mwigulu laaana hiyo ya watanzania itakutafuna sasa na hadi akhera....

 
Endeleeni kutajana tu ccm mbele kwa mbele.
 
Wenye akili wameelewa! Thanks!
 
Kwa haya yanayoendelea ya report ya CAG ingekua vyema kama tungeona wafia CCM na uvccm hoja zao hapa!! Wakikaa kimya basi Taifa halina vijana thabit wenye kuhoji na kuchukia rushwa na ufisadi. Hata uvccm wasipokemea nao wanatamani nafas za kuiba!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…