WALOLA VUNZYA
JF-Expert Member
- Nov 20, 2020
- 7,154
- 7,155
Kajitakia unaweka mwizi kuwa Waziri wa fedha si kujiletea laana nchini?Samia hili jibwa kafuga mwenyewe
Watajuana huko huko 🤪🤪Mwigulu Nchemba kwenye utetezi wake bungeni amemtaja Rais kuwa ndiye anayeidhinisha fedha zote za Serikali jambo ambalo limezua utata na hisia kubwa kwa wananchi kuhusiana na ufisadi mkubwa uliotajwa na CAG kwenye maeneo mbalimbali .
Ufisadi mkubwa umetajwa kwenye Wizara ya Fedha, Wizara ya Nishati, Wizara ya Afya, Wizara ya Ujenzi, Wizara ya Habari na Wizara ya Maji, TAMISEMI na maendeleo mbalimbali.
Mbona amesema jambo kubwa kama Hilo lazima mamlaka ijue?Kwani anayeidhinisha mwigulu yupo sahihi mama hajui lolote yeye ni kusaini tu
USSR
Kuidhinisha ni jambo Moja na kutumia inavyotakiwa ni jambo jingineSasa kwa nini Rais analalamika wapigaji na yeye ndiye muidhinisha malipo?
Na mimi naamini kuwa hili deal lilifanywa na mwendazake akiwa na watu wake kule BOT na Hazina tayari palikuwa na MTU wake SASA mama kaingia akafanya mabadiliko ya ghafla hapo ndipo lilipobumbuluka na vocha ilipokuja ikabidi wafanye nao "Betting" wapime kina cha maji wakakuta mzanzibari kiberiti kimejaa sio Tena kama vile viberiti vya zamani vya Kibo match box toka Moshi.,MKEKA UMECHANIKAKama ni Rais yule mwendazake inawezekana Mwigulu anasema ukweli mtupu.
Si ilikuwa tunasema hii ni Serekali ya JPM na akawa anaamua atakavyo yeye maana ni Serekali yake.
Ila Mwigulu bhana, hivi waziri hujui kabisa kuwa hata yeye hapo yupo kwa niaba ya raisi mpaka azunguke wee na kuleta mambo ya ceiling 😃Mwigulu Nchemba kwenye utetezi wake bungeni amemtaja Rais kuwa ndiye anayeidhinisha fedha zote za Serikali jambo ambalo limezua utata na hisia kubwa kwa wananchi kuhusiana na ufisadi mkubwa uliotajwa na CAG kwenye maeneo mbalimbali .
Ufisadi mkubwa umetajwa kwenye Wizara ya Fedha, Wizara ya Nishati, Wizara ya Afya, Wizara ya Ujenzi, Wizara ya Habari na Wizara ya Maji, TAMISEMI na maendeleo mbalimbali.
Mwinguru hapo amesema toka awamu ya nne imekuwa ikifanyika hivyo... Mm kama mwananchi wa kawaida nimepata majibu... ndio maana hakuna wa kukamatwa hata kama wageiba fedha zote za bajeti ya mwaka fedha... so far rais hashitakiwi... Asanteni Sana.Mwigulu Nchemba kwenye utetezi wake bungeni amemtaja Rais kuwa ndiye anayeidhinisha fedha zote za Serikali jambo ambalo limezua utata na hisia kubwa kwa wananchi kuhusiana na ufisadi mkubwa uliotajwa na CAG kwenye maeneo mbalimbali .
Ufisadi mkubwa umetajwa kwenye Wizara ya Fedha, Wizara ya Nishati, Wizara ya Afya, Wizara ya Ujenzi, Wizara ya Habari na Wizara ya Maji, TAMISEMI na maendeleo mbalimbali.
Mbona watu wanazunguka mbuyu?Mwigulu Nchemba kwenye utetezi wake bungeni amemtaja Rais kuwa ndiye anayeidhinisha fedha zote za Serikali jambo ambalo limezua utata na hisia kubwa kwa wananchi kuhusiana na ufisadi mkubwa uliotajwa na CAG kwenye maeneo mbalimbali .
Ufisadi mkubwa umetajwa kwenye Wizara ya Fedha, Wizara ya Nishati, Wizara ya Afya, Wizara ya Ujenzi, Wizara ya Habari na Wizara ya Maji, TAMISEMI na maendeleo mbalimbali.
Ndio nimsiki hapa hyo kauli ya mwigulu imemake headlight kwenye vyombo vingi vya hbrMwigulu Nchemba kwenye utetezi wake bungeni amemtaja Rais kuwa ndiye anayeidhinisha fedha zote za Serikali jambo ambalo limezua utata na hisia kubwa kwa wananchi kuhusiana na ufisadi mkubwa uliotajwa na CAG kwenye maeneo mbalimbali .
Ufisadi mkubwa umetajwa kwenye Wizara ya Fedha, Wizara ya Nishati, Wizara ya Afya, Wizara ya Ujenzi, Wizara ya Habari na Wizara ya Maji, TAMISEMI na maendeleo mbalimbali.
Wewe si chawa wake kulikoni?Kwani anayeidhinisha mwigulu yupo sahihi mama hajui lolote yeye ni kusaini tu
USSR
Zimponze Kwa kusema ukweliZile basi 60 za EASTER zitamponza mtu we subiri
Hata Simba,vichaa nk Huwa wanaogopa Moto.Mwigulu Nchemba ana matatizo sehemu, hasa gholofani
Yule sidhani, Kwa kibri kile!!!!Utenguzi, utenguzi, utenguzi nisuala la muda tu Zuhura atalijulisha taifa kwamba mtu ameondolewa huko jikoni
Unataka kusema rais hajui? Basi kama hajui malipo na kuzuia, tatizo kubwaMzee wa TRAB na TRAT ni kawaida yake kujikanyaga anapobanwa ila anakula mno "Stupid"
Mwigulu Nchemba kwenye utetezi wake bungeni amemtaja Rais kuwa ndiye anayeidhinisha fedha zote za Serikali jambo ambalo limezua utata na hisia kubwa kwa wananchi kuhusiana na ufisadi mkubwa uliotajwa na CAG kwenye maeneo mbalimbali .
Ufisadi mkubwa umetajwa kwenye Wizara ya Fedha, Wizara ya Nishati, Wizara ya Afya, Wizara ya Ujenzi, Wizara ya Habari na Wizara ya Maji, TAMISEMI na maendeleo mbalimbali.
Ametoboa Siri nyingine ya baraza la mawaziri.. anasahau alishika vile vitabu na kusema sitotoa Siri ya .....ameitendea haki, ile kanuni ya chama " ntaisema kweli daima"