Kitendo cha Serikali ya Sweden kumpa kibali muislamu kuchoma Biblia na Torah nje ya Ubalozi wa Israel ni kitendo cha kijasiri sana

Kitendo cha Serikali ya Sweden kumpa kibali muislamu kuchoma Biblia na Torah nje ya Ubalozi wa Israel ni kitendo cha kijasiri sana

Artifact Collector

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2019
Posts
6,617
Reaction score
10,205
Kitendo cha serekali kumpa mtu ambaye ni muislamu mhamiaji kutoka Syria kuchoma biblia na torah nje ya ubalozi wa Israel kama njia ya kulipiza kisasi kwa kuchomwa quran nje ya ubalozi wa Iraq mwezi uliopita ni kitendo cha ujasiri sana.

Na pia kimeonyesha pasipo shaka wazungu wako mbali sana kifikra, Sweden sio nchi ya kikristo lakin ina wakristo wengi mda huo huo serekali inatoa kibali biblia ichomwe sio tukio la kawaida.

Japokua aliyekua anataka kuchoma biblia na torah katika hali isiyo ya kawaida kasitisha lengo lake ila kimeonyesha wazungu wako mbali sana kifikra tofauti na race nyingine.
 
Wamebalance mambo,Kuvutana vutana huleta Hali mbaya zaidi kwa machafuko hasa ya kidini,Sasa Hapo haitakiwi kichomwe kitabu kingine
 
Nikiwa Tanga kuna jamaa alisema mama yake alikuwa akimwaambia kuwa ukichukua hata kipande kidogo cha msahafu na ukakitupa chooni, utapata matatizo, mara utakufa na bra brah kibao, jamaa alichukua ile karatasi ya msaafu na kwenda kuitupa chooni kwa siri, hakuwahi kupata matatizo yoyote.
mwishoni alisema kikubwa heshimu imani za watu, usifanye hadharani maana watu wenye itikadi kali za kidini watakudhuru na siyo mungu atakayekudhuru. atakayekudhuru.
 
Nikiwa Tanga kuna jamaa alisema mama yake alikuwa akimwaambia kuwa ukichukua hata kipande kidogo cha msahafu na ukakitupa chooni, utapata matatizo, mara utakufa na bra brah kibao, jamaa alichukua ile karatasi ya msaafu na kwenda kuitupa chooni kwa siri, hakuwahi kupata matatizo yoyote.
mwishoni alisema kikubwa heshimu imani za watu, usifanye hadharani maana watu wenye itikadi kali za kidini watakudhuru na siyo mungu atakayekudhuru. atakayekudhuru.
Mambo mengine sio kweli
Hata yule aliyechoma quran bado anadunda
 
Wamebalance mambo,Kuvutana vutana huleta Hali mbaya zaidi kwa machafuko hasa ya kidini,Sasa Hapo haitakiwi kichomwe kitabu kingine
... halafu utashangaa waliochomewa kitabu chao mwanzo kwa tukio hili roho zao kwatu as if kwamba vikichomwa vingine pia huko kwa Mungu ina-neutralize kuchomwa cha kwao; ajabu sana! Walitakiwa wakomae no matter vimechomwa vingine au la!
 
Nikiwa Tanga kuna jamaa alisema mama yake alikuwa akimwaambia kuwa ukichukua hata kipande kidogo cha msahafu na ukakitupa chooni, utapata matatizo, mara utakufa na bra brah kibao, jamaa alichukua ile karatasi ya msaafu na kwenda kuitupa chooni kwa siri, hakuwahi kupata matatizo yoyote.
mwishoni alisema kikubwa heshimu imani za watu, usifanye hadharani maana watu wenye itikadi kali za kidini watakudhuru na siyo mungu atakayekudhuru. atakayekudhuru.
Ndio ukweli wenyewe,possibly wengi tunaamini visivyokuwepo
 
Kitendo cha serekali kumpa mtu ambaye ni muislamu mhamiaji kutoka Syria kuchoma biblia na torah nje ya ubalozi wa Israel kama njia ya kulipiza kisasi kwa kuchomwa quran nje ya ubalozi wa Iraq mwezi uliopita ni kitendo cha ujasiri sana.

Na pia kimeonyesha pasipo shaka wazungu wako mbali sana kifikra, Sweden sio nchi ya kikristo lakin ina wakristo wengi mda huo huo serekali inatoa kibali biblia ichomwe sio tukio la kawaida.

Japokua aliyekua anataka kuchoma biblia na torah katika hali isiyo ya kawaida kasitisha lengo lake ila kimeonyesha wazungu wako mbali sana kifikra tofauti na race nyingine.


Una copy ya hicho kibali? Na ili ki qualify kuwa kibali lazima kiwe kimetoka kabla ya tukio.
 
Kila Mara kuchoma qurani, wawasomee albadili ili iwe fundisho, wakichoma biblia lile kubwa la Roma, kwa Papa huko watakesha na novena, na ndomana Papa akipita hata waislam wanaenda kumuona na kusujudu Kama huku alivyokuja kongo na Sudan.
 
Kitendo cha serekali kumpa mtu ambaye ni muislamu mhamiaji kutoka Syria kuchoma biblia na torah nje ya ubalozi wa Israel kama njia ya kulipiza kisasi kwa kuchomwa quran nje ya ubalozi wa Iraq mwezi uliopita ni kitendo cha ujasiri sana.

Na pia kimeonyesha pasipo shaka wazungu wako mbali sana kifikra, Sweden sio nchi ya kikristo lakin ina wakristo wengi mda huo huo serekali inatoa kibali biblia ichomwe sio tukio la kawaida.

Japokua aliyekua anataka kuchoma biblia na torah katika hali isiyo ya kawaida kasitisha lengo lake ila kimeonyesha wazungu wako mbali sana kifikra tofauti na race nyingine.

Walikataa kwanza ..
Wakaona aibu...
Wamekubali shingo upande
 
Hao washenzi wanaochoma hivyo vitabu wametumwa na illuminat, jamii ya siri duniani ili kuleta vurugu ulimwenguni. Serikali ya sweden ni chombo tu cha kupitisha agenda ya washenzi hao wanaotawala na kupanga matukio ya njama duniani New world order
 
Hao washenzi wanaochoma hivyo vitabu wametumwa na illuminat, jamii ya siri duniani ili kuleta vurugu ulimwenguni. Serikali ya sweden ni chombo tu cha kupitisha agenda ya washenzi hao wanaotawala na kupanga matukio ya njama duniani New world order
Hapana kila Mungu ajipiganie ndo nafasi ya wao kuonekana na kujidhihirisha
 
Back
Top Bottom