Kitendo cha Serikali ya Sweden kumpa kibali muislamu kuchoma Biblia na Torah nje ya Ubalozi wa Israel ni kitendo cha kijasiri sana

Hakuna Muislamu anayeweza kuchoma Biblia na Torah. Uislamu umekataza mambo kama hayo

Huyo aliomba ili kuprove point fulani na Waswede wakajua kwamba muislamu hawezi kufanya hivyo wakampa tu
 
Anaesujudiwa ni mmoja tu naye ni Mwenyezi Mungu mtukufu na siyo papa wala mwengine yo yote. Huyo papa naye hufa na kuzikwa kama akina sisi tusiyokuwa papa, sote ni 'kwa udongo' tu.
Imekukera, kasomeni albdili, mnachezewa live hamna la kufanya.
 
Hakuna Muislamu anayeweza kuchoma Biblia na Torah. Uislamu umekataza mambo kama hayo

Huyo aliomba ili kuprove point fulani na Waswede wakajua kwamba muislamu hawezi kufanya hivyo wakampa tu
Kweli kabisa bila shaka huyo atakuwa Muislamu ambaye hajausoma vizuri uislamu wake , uislamu unakataza kutukana viongozi wa kidini wa imani nyingine hata katika jihadi(ya kisheria) mtu akiingia katika kanisani au hekaluni basi anapewa usalama .
 
Mwenyewe nataka kuomba kuchoma Quran 10 hapa Mjini Magharibi.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Kinachonishangaza hivyo vitabu mnavyo viita eti vitabu vitakatifu, ukienda Kwa waganga vimejaa kibao Tena vimezagaa tu, na wanavitumia kuloge watu.
 
Wanazidanganya nafsi zao tu, Iko siku watasomewa yote waliyokuwa wakiyatenda nawala hawatomdanganya aliyewaumba kwa LOLOTE,,,
 
Kinachonishangaza hivyo vitabu mnavyo viita eti vitabu vitakatifu, ukienda Kwa waganga vimejaa kibao Tena vimezagaa tu, na wanavitumia kuloge watu.
Uislam umspiga marufuku kuhusu uganga, ukuhan, upigaji wa Ramli,,
Hizo zote ni kazi za SHETAN,,
πŸ‘†πŸ‘†πŸ‘†πŸ‘†πŸ‘†πŸ‘†

TAMBUI MUISLAM AKIENDA KWA MGANGA HAKUBALIWI SWALA ZAKE SIKU 40 NA LAZIMA AFANYE IBADA NA AKIFA ATAKUWA MWENYE HASARA,,
KUNA RIWAYA ZINGINE MUISLAM AKIENDA KWA MPIGA RAMLI ANAKUWA AMEKUFURU MPAKA ASILIMU UPYAA,


HUWEZI KUKUTA QORAN ANATUMIA MGANGA SEMA YANAKUCHANGANYA MANDISHI TU
 
Acha uongo wa kijinga , Sweden ni nchi ya kikristo Tena sana ndo maana baadhi ya
 

Wote hao, hawamjui adui yao ni nani. Wenyewe wanafikiri vitabu ndiyo adui wao.
 
Hakuna Muislamu anayeweza kuchoma Biblia na Torah. Uislamu umekataza mambo kama hayo

Huyo aliomba ili kuprove point fulani na Waswede wakajua kwamba muislamu hawezi kufanya hivyo wakampa tu
ila uislamu umeruhusu kuwapiga wale wwanaokula hadharani wakati wa ramadhani hata kama sio waislamu?
 
Sio inch ya kikristo bali ina wakristo wengi ndo maana hakuna sheria za dini ya kikristo ukitoa vatican hakuna nchi ya kikristo duniani
Acha uongo wewe. Hata hapa Africa tu nchi ya Kikristo ipo, inaitwa Zambia.

Zambia Ni nchi ya Kikristo Kikatiba kabisa. Nemda hata Google au Wikipedia ujielimishe
 
Wazungu wote ni wakristo, Ukijua dhima ya Ukristo ndo utajua kwamba ukristo ni dhima ya Wazungu wote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…